Dr Mabuga 30
JF-Expert Member
- May 8, 2021
- 320
- 330
Huyu ikitokea akahama ccm harafu akahamia chama kingine na kupewa nafasi Kama kiongozi atakuwa na nguvu ya AJABU Sana maana nchi nzima Kila Kona uungwaji mkono ni mkubwa kuliko kawaida,, Japo awe makini wata msumuraizi au kumlowasaraizi au kumwangemberaizi au kumgufuraizi otherwise anatakiwa asome kwa umakini wa hali ya juu Sana alama za nyakati.