Alipinga kujifukiza au chanjo?Acha kuamisha magoli, usiingize CHADEMA kwenye suala hili ili mpate pa kutokea. Watu wasio na misimamo ni CCM kuanzia mwenyekiti wao mpaka wanachama na imeambukiza mpaka Selikari yote. Miezi 6 nyuma msimamo ulikuwa kujifukiza na mashine ya kujifukiza ikawekwa Mhumbili National Hospital na Waziri huyu Dorothy na manaibu wake wote walikataa chanjo.
Mtu pekee CCM mwenye credibility ya kusapoti chanjo kwa sasa ni Ndungulile maana alikataa bungeni na ikamgharimu uwaziri wake wakati huo
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ninavyokumbuka alipinga kujifukiza.