~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

Mkuu vipi hiyo tamthiliya ndo imeishia hapo au?Ilisemekana itaendelea jumatatu,asa leo ni jumanne-Nisaidie.
 
Mwanakijiji yanii nimeshusha pumzi nzito sana baada ya kumaliza sura ya nne!

Uishi maisha marefu uimalizie hii hadithi!
 
Mzee Mwanakijiji, asante sana kwa hadithi nzuri ya kusisimua, itapendeza kama utaitoa yote mara moja, maana unatuweka roho juu kujua nini kitafuata, please bandika yote. Asante


No style ndo hiyoo!

Hivi hujagundua ndo inanogesha zaidi!

Endelea na kazi kijana leta Mamboz hapa!
 
Amani.. yaani weekend hii yote nimepata maswali haya ya kulipia hadi nashangaa; kuna jamaa wametaka nisiendelee kutoa ili niwauzie watengeneze filamu hapo Bongo kwa hiyo sehemu za mwisho nizimezee ...

Mwanakijiji sio kwamba nataka kupingana na wengi lakini nafahamu kazi ya kuandika hadithi ilivyo ngumu.. kuna kipindi unaweza andika hata kurasa mia lakini ikafika mahali ukasimama.Kwa kutambua hilo sioni kwa nini usikitumbukize sokoni kuona watu wanapokea vipi. Kwanza si watanzania wote wapendao usomaji wa vitabu wana access na JF so inakua umewakosea nafasi watu wengi zaidi.
 
Mwanakijiji sio kwamba nataka kupingana na wengi lakini nafahamu kazi ya kuandika hadithi ilivyo ngumu.. kuna kipindi unaweza andika hata kurasa mia lakini ikafika mahali ukasimama.Kwa kutambua hilo sioni kwa nini usikitumbukize sokoni kuona watu wanapokea vipi. Kwanza si watanzania wote wapendao usomaji wa vitabu wana access na JF so inakua umewakosea nafasi watu wengi zaidi.

Nilikiongelea hiki kitu Mwanakijiji nafurahi kusikia kuna wengine wanaofikiria hivyo pia; nitakupa mfano shem wako ni mpenzi sana wa Bongo movies lakini hajihusishi kabisa na mtandao; yaani hapapatikiii kama mimi haya mambo ya Internet.
 
Mwanakijiji.... chonde chonde usikatishe utamu! Mie nilishakubatiza Harold Robbins wa TZ... sasa ukituletea turiwaya twa kurasa 20.... utaniangusha jamani!
Hebu chukua pause..vuta pumzi uendeleee!!
 
Naona nilipitwa na mengi hizi siku mbili tatu.... hebu nikazane kusoma maana ...chapter three ...natamani kurukia chapter 5!
Hongera Mkuu!
 
Naona nilipitwa na mengi hizi siku mbili tatu.... hebu nikazane kusoma maana ...chapter three ...natamani kurukia chapter 5!
Hongera Mkuu!

WOS mie huwa natamani niingie kichwani mwa Mtunzi nicheki mpaka mwisho lakini uwezo huo ndo sina..jinsi ilivyo na mvuto
 
........Sipati picha Tina anapoambiwa aende amenyoa nywele sehemu zote isipokuwa kichwani tu.Mjamaica ana mambo huyu, haya ngoja tusubirie sehemu inayofuata tuone kwa nini Tina aliambiwa anyoe nywele zote isipokuwa kichwani........kwa nini mjamaica hataki nywele sehemu nyingine? I think majibu nitapata sehemu inayokuja.
 
woow Let me take a printout nikaisomee pale salon while doing my hair...
 
Mwanakijiji hongera!!!
Hii hadithi ni tamu.
Yaani umenichota akili mpaka siku ya leo mawazoni kwangu nafikiri ni Ijumaa kuumbe ni J'tano Loooooooooooooh!
Haya itaendelea lini? Maana I can't wait huo mlipuko watakapo kutana siku ya Jumamosi.
Ningejua wanaenda kukutana wapi I don't mind kwenda kupiga chabo - LOL!! maana unaweza kupata ujuzi ati.
 
Back
Top Bottom