Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,536
- 4,532
Mmhhh
Hivi hujajua mapenzi ni uchafu??
Kama utajali usafi kwenye mapenzi basi utakosa vingi Lol
hehehehe nimenyosha mikono, ndo maana hutakiwa kuwa na mmoja tu mwenye kupata huo uchafu. Kama ilivyoandikwa 'na hao wawili watakuwa mwili mmoja' full stop.