kulikoni TGNP na MASHOGA

Nasikitika kusema hata karugendo anasapot ushoga kwa kisingizio kuwa 'sasa tufanyeje'

Umesema kweli,kwa jinsi Karugendo anavyoupigia chapuo naamini kabisa mwenyewe ni SHOGA. Anazuga sana kuongelea direct,kwa hoja zake jamaa ni SHOGA KWISHA KAZI.
 
Labda kwanza wachangiaji wajifunze, je ni nini kinachomfanya mtu awe shoga? Halafu tutajadiliana vizuri zaidi.
Mjadala ulivyoenda mpaka sasa naona wachangaaji wanatumia hisia zaidi kuliko facts.
 
Kwa Jinsi TGNP ilivyojaa watu wenye msongo wa mawazo ni rahisi sana wakaibuka na hoja ya kulianzisha ili mashoga wapewe haki ya kunajisi uanaume...Sidhani kama itakuwa rahisi sana kwa mashoga kuweza kupeta kwenye hii jamii ambayo bado imejaa watu wenye heshima dhidi ya nafsi za watu.USHOGA NI UHALIFU DHIDI YA UBINADAMU.

Du ID yako sasa!!!!
Hii kitu sijawahi kuiona kwa macho......hivi hiyo kwenye avatar yako ndivyo inavyoonekana ikiwa mbichi??

Sorry nimekwenda nje ya mada kidogo......ID ya huyu jamaa imenichengua!!
 
Mkiona hivyo mjue kuna hela ya Masrekani imeingia hapo,na msishangae hata kwenye katiba mpya wakadai walindwe.
 
dah jaman sodoma na gomora itawaua hawa jamaa hatutaki kusikia habari zao
 
Labda kwanza wachangiaji wajifunze, je ni nini kinachomfanya mtu awe shoga? Halafu tutajadiliana vizuri zaidi.
Mjadala ulivyoenda mpaka sasa naona wachangaaji wanatumia hisia zaidi kuliko facts.

Wajifunze toka wapi ? TUFUNDISHE BASI labda unayo hoja...
 
Bajabiri.. mashoga ni frustrated community; they could do anything anywhere at any time

and even ile gender network kwa bahati mbaya ina wanaume na wanawake.... haina in-betweeners!!!

it was wrong to entertain the volatile environment from the beginning
 
TGNP wamepewa Bilions of money for this things hamjui tu wameambiwa wapromote haya mambo
 
Du ID yako sasa!!!!
Hii kitu sijawahi kuiona kwa macho......hivi hiyo kwenye avatar yako ndivyo inavyoonekana ikiwa mbichi??

Sorry nimekwenda nje ya mada kidogo......ID ya huyu jamaa imenichengua!!

pole,sikudhamiria kukuchengua,yap
 
YAH: MAONI BINAFSI JUU YA HALI YA USHOGA NA TAMASHA LA JINSIA

Mimi ni miongoni mwa wanaharakati wa masuala ya haki za binadamu, maliasili na mazingira. Nimekuwa nikipigania haki za kimsingi za kibinadamu kwa nadharia na vitendo. Ushiriki wangu umesaidia kupambana na ukiukwaji wa haki za binadamu kwa namna moja au nyingine katika nchi yetu na nchi jirani.

Nitumie fursa hii kuipongeza kwa dhati kabisa Tanzania Gender Networking Program (TGNP) kwa mchango wake wa kuleta mabadiliko chanya katika jamii ya kitanzania. Mchango wa TGNP ni mkubwa na wanaharakati wa haki za binadamu, rasilimali na Mazingira kwa ujumla wanautambua na kuuthamini.

Baada ya pongezi hizi, napenda kutoa maoni yangu juu ya Tamasha la Jinsia liloandaliwa na TGNP kuanzia tarehe 13-16 katika viwanja vya TGNP.
Ni kweli kuwa kuna mambo mazuri mengi yalifanyika wakati wa Tamasha hili, ikiwemo jamii za pembezoni kutoa na kupaza sauti zao kuhusu masuala mbalimbali nyeti yanayozifanya jamii hizi kukosa au kunyimwa haki zao za kimsingi za kibinadamu.

Pamoja na hayo mazuri, kwa maoni na mtizamo wangu, mazuri hayo yalifutwa kabisa na msimamo na upigiaji chapuo wa TGNP kuhusu masuala ya USHOGA katika jamii ya kitanzania. Binafsi sikatai uwepo wa USHOGA/USENGE katika jamii ya kitanzania. Sina mtizamo wa kihafidhina wala wa kuwatenga watu hawa, lahasha. Tatizo langu ni kupigia chapuo kwa TGNP suala hili la USHOGA/USENGE.

Hoja yangu ya kupingana na TGNP kuhusu mtizamo wenu ni jinsi mlivyolichukulia na kulienzi suala hili. Nashindwa kupata dhamira nyingine zaidi ya kuwa TGNP mna malengo kadhaa na suala hili. Nashawishika kuamini kuwa mnapigania kuleta mabadiliko hasi kwa jamii yetu, yaani jamii ya kitanzania ilione suala hili kuwa la kawaida, hivyo watoto wetu wajihusishe na USHOGA/USENGE.

Pengine, utetezi wenu kuwa mnataka jamii ijue kuwa tatizo hili lipo na ichukue hatua. Lakini hoja hii haina mashiko wala miguu.
Utetezi wenu pia kuwa watu hawa, MASGOGA/******* wameingia katika matendo haya machafu kwa sababu za kiuchumi na kibiojia nayo hayana maantiki hata kidogo.

Je, mbona masikini wa Tanzania wapo wengi tu! Na wao mnataka waingia katika USHOGA/USENGE? Je ukishakuwa SHOGA/****** ndiyo matatizo ya kibiolojia na kiuchumi yanaisha? Nini mnataka watoto wetu wafanye zaidi ya kuona USHOGA ndiyo suluhisho la umasikini?
Je kama watoto wenu wangekuwa mashoga/******* mngewaleta kwenye tamasha hili?

Jibu rahisi ni kuwa TGNP mnapata fedha za kuwa na miradi hii toka kwa mashoga/******* wa kimataifa wanaotaka kufanya jamii nzima iwe kama wao. Ni tamaa ya fedha tu ndiyo inayowafanya mpigie debe suala la ushoga/ushoga nchini mwetu na si vinginevyo. Kuna tofauti gani kati ya RUSHWA/UFISADI mnaoukataa katika serikali yetu na kutumia fedha chafu za watetea USHOGA/USENGE. Fedha yao ni chafu, hata ikitumika kuutokommeza USHOGA bado itakuwa chafu tu.

Je, unaweza kutumia fedha ya mtetea USHOGA/USENGE kuwafanya mashoga waache tabia hii? Mbona haiwezekani! Lengo ni kuwatetea tu waendelee na tabia hii chafu na si vinginevyo.

Vile vile naona TGNP kupoteza staha na heshima iliyojijengea katika jamii yetu ya Tanzania kwa muda mrefu. TGNP kwa kujiingiza kwenye suala hili ni kupoteza dira na mwelekeo sahihi. Siwahukumu ila ndiyo ukweli mwenyewe. Mnataka tuwe na taifa la aina gani? La mashoga/*******? Ukuaji wa taifa utakuwaje ikiwa watu wote watakuwa kama dhamira ya ******* ilivyo?

Uungwana huanzia nyumbani. Ikiwa matendo na sera zenu zitakosa staha kwa watanzania kazi yenu itakuwa ni mfu na isiyo na tija. Uungwaji mkono wenu wa kwaida utapotea sana.

Nawasihi mtafakari upya mwelekeo wenu ili heshima na staha yenu irudi kwa watanzania. Kuteleza siyo kuanguka, chukueni hatua hamjachelewa. Chukueni maamuzi magumu ya kukataa fedha za watetea USHOGA/USENGE. Zipo nyingi tu na ndizo zilizowaingiza katika mtego huu mchafu.

Stanslaus Nyembea.
 
Clear vere vere...wafanye family day hao afu wapeleke familia zao zikakae karibu na hao wapumbavu mashoga..manina zao mungu hakuumba utumie sehemu ya kunya kwa burudani..ingekua uwezo wangu ningeua wote mashoga duniani
 
YAH: MAONI BINAFSI JUU YA HALI YA USHOGA NA TAMASHA LA JINSIA

Mimi ni miongoni mwa wanaharakati wa masuala ya haki za binadamu, maliasili na mazingira. Nimekuwa nikipigania haki za kimsingi za kibinadamu kwa nadharia na vitendo. Ushiriki wangu umesaidia kupambana na ukiukwaji wa haki za binadamu kwa namna moja au nyingine katika nchi yetu na nchi jirani.

Nitumie fursa hii kuipongeza kwa dhati kabisa Tanzania Gender Networking Program (TGNP) kwa mchango wake wa kuleta mabadiliko chanya katika jamii ya kitanzania. Mchango wa TGNP ni mkubwa na wanaharakati wa haki za binadamu, rasilimali na Mazingira kwa ujumla wanautambua na kuuthamini.

Baada ya pongezi hizi, napenda kutoa maoni yangu juu ya Tamasha la Jinsia liloandaliwa na TGNP kuanzia tarehe 13-16 katika viwanja vya TGNP.
Ni kweli kuwa kuna mambo mazuri mengi yalifanyika wakati wa Tamasha hili, ikiwemo jamii za pembezoni kutoa na kupaza sauti zao kuhusu masuala mbalimbali nyeti yanayozifanya jamii hizi kukosa au kunyimwa haki zao za kimsingi za kibinadamu.

Pamoja na hayo mazuri, kwa maoni na mtizamo wangu, mazuri hayo yalifutwa kabisa na msimamo na upigiaji chapuo wa TGNP kuhusu masuala ya USHOGA katika jamii ya kitanzania. Binafsi sikatai uwepo wa USHOGA/USENGE katika jamii ya kitanzania. Sina mtizamo wa kihafidhina wala wa kuwatenga watu hawa, lahasha. Tatizo langu ni kupigia chapuo kwa TGNP suala hili la USHOGA/USENGE.

Hoja yangu ya kupingana na TGNP kuhusu mtizamo wenu ni jinsi mlivyolichukulia na kulienzi suala hili. Nashindwa kupata dhamira nyingine zaidi ya kuwa TGNP mna malengo kadhaa na suala hili. Nashawishika kuamini kuwa mnapigania kuleta mabadiliko hasi kwa jamii yetu, yaani jamii ya kitanzania ilione suala hili kuwa la kawaida, hivyo watoto wetu wajihusishe na USHOGA/USENGE.

Pengine, utetezi wenu kuwa mnataka jamii ijue kuwa tatizo hili lipo na ichukue hatua. Lakini hoja hii haina mashiko wala miguu.
Utetezi wenu pia kuwa watu hawa, MASGOGA/******* wameingia katika matendo haya machafu kwa sababu za kiuchumi na kibiojia nayo hayana maantiki hata kidogo.

Je, mbona masikini wa Tanzania wapo wengi tu! Na wao mnataka waingia katika USHOGA/USENGE? Je ukishakuwa SHOGA/****** ndiyo matatizo ya kibiolojia na kiuchumi yanaisha? Nini mnataka watoto wetu wafanye zaidi ya kuona USHOGA ndiyo suluhisho la umasikini?
Je kama watoto wenu wangekuwa mashoga/******* mngewaleta kwenye tamasha hili?

Jibu rahisi ni kuwa TGNP mnapata fedha za kuwa na miradi hii toka kwa mashoga/******* wa kimataifa wanaotaka kufanya jamii nzima iwe kama wao. Ni tamaa ya fedha tu ndiyo inayowafanya mpigie debe suala la ushoga/ushoga nchini mwetu na si vinginevyo. Kuna tofauti gani kati ya RUSHWA/UFISADI mnaoukataa katika serikali yetu na kutumia fedha chafu za watetea USHOGA/USENGE. Fedha yao ni chafu, hata ikitumika kuutokommeza USHOGA bado itakuwa chafu tu.

Je, unaweza kutumia fedha ya mtetea USHOGA/USENGE kuwafanya mashoga waache tabia hii? Mbona haiwezekani! Lengo ni kuwatetea tu waendelee na tabia hii chafu na si vinginevyo.

Vile vile naona TGNP kupoteza staha na heshima iliyojijengea katika jamii yetu ya Tanzania kwa muda mrefu. TGNP kwa kujiingiza kwenye suala hili ni kupoteza dira na mwelekeo sahihi. Siwahukumu ila ndiyo ukweli mwenyewe. Mnataka tuwe na taifa la aina gani? La mashoga/*******? Ukuaji wa taifa utakuwaje ikiwa watu wote watakuwa kama dhamira ya ******* ilivyo?

Uungwana huanzia nyumbani. Ikiwa matendo na sera zenu zitakosa staha kwa watanzania kazi yenu itakuwa ni mfu na isiyo na tija. Uungwaji mkono wenu wa kwaida utapotea sana.

Nawasihi mtafakari upya mwelekeo wenu ili heshima na staha yenu irudi kwa watanzania. Kuteleza siyo kuanguka, chukueni hatua hamjachelewa. Chukueni maamuzi magumu ya kukataa fedha za watetea USHOGA/USENGE. Zipo nyingi tu na ndizo zilizowaingiza katika mtego huu mchafu.

Stanslaus Nyembea.

Kama haya ni kweli basi kweli umaskini wetu NOOOMA
 
Mashoga na wasagaji wamemwagiwa fedha nyingi na wafadhili wa ushetani huo na wamekuwa wakisafirishwa nchi za nje kupaza sauti zao huko...hakika hili halikubaliki tena wanataka kuinajisi Katiba yetu mpya "Mungu akijaalia kama tutaipata" ati haki zao ziingizwe humo.
 
Back
Top Bottom