Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Hivi Boflo yu wapi? au ni MARHUM siku hizi...
<br />Kwa Jinsi TGNP ilivyojaa watu wenye msongo wa mawazo ni rahisi sana wakaibuka na hoja ya kulianzisha ili mashoga wapewe haki ya kunajisi uanaume...Sidhani kama itakuwa rahisi sana kwa mashoga kuweza kupeta kwenye hii jamii ambayo bado imejaa watu wenye heshima dhidi ya nafsi za watu.USHOGA NI UHALIFU DHIDI YA UBINADAMU.
<br />mmmhh hapa kuna kazi hawa jamaa wamebugi sana.. watu wamtandao wa jinsia sasa hao mashoga wako kwenye jinsia ipi..
<br />Mwisho wa DUNIA!!!
<br />Hivi Boflo yu wapi? au ni MARHUM siku hizi...
<br />Mashoga nao ni sehemu ya jamii yetu wapewe hata nafasi za uingozi ni binadamu kama sisi
Nimeamini Ujinga mwingine huwa unazidi kipimo cha ujingaMashoga nao ni sehemu ya jamii yetu wapewe hata nafasi za uingozi ni binadamu kama sisi
<br />Nimeamini Ujinga mwingine huwa unazidi kipimo cha ujinga
kilema si lazima uwe na upungufu wa viungo mwilini mwako hata mtindio wa ubongo wewe ni kilema pia.Mashoga nao ni sehemu ya jamii yetu wapewe hata nafasi za uingozi ni binadamu kama sisi
hivi wewe si ndie yule uliyeleta topic ya kusifia mashoga na kutaka wapewe haki? Hiv we jinsia gani? No homo!Mashoga nao ni sehemu ya jamii yetu wapewe hata nafasi za uingozi ni binadamu kama sisi
<br />ushoga sio asili ya mwafrika....hasa mtanzania, hatukuwaga na mashoga katika pre-colonial era.. Tusikubali kuipitisha hiyo sheria..
<br />hivi wewe si ndie yule uliyeleta topic ya kusifia mashoga na kutaka wapewe haki? Hiv we jinsia gani? No homo!
<br />Nimeamini Ujinga mwingine huwa unazidi kipimo cha ujinga
Mashoga nao ni sehemu ya jamii yetu wapewe hata nafasi za uingozi ni binadamu kama sisi
sina uhakika na hilo ndugu.Niliwai pata taarifa kuwa kuna viongozi weengi waandamiz wanapenda sana MASHOGA,,,,,,,,<br /><br />
<br />
huyu jamaa anawatetea kweli. Mimi nina mashaka naye.Ana agenda huyo