Kukutana na warembo wa JF raha sana!

Kukutana na warembo wa JF raha sana!

Mkurya oyeeee

shem mzima wewe? namrudisha rasmi miss neddy kwenye castle yangu... i hope this time atatulia tuli kabisa kama maji kwenye mtungi!... ulinzi ntakaompa utakuwa zaidi ya ule wa CIA na FBI! ntakodi kabisaa wale jamaa wa mossad special kwa ajili yake!
 
Last edited by a moderator:
Ah here beibe, namalizia kukutengezea milkshake
Ya tende hiliki na maziwa, love u much much my booboo. :A S 11:

Kasinde kamu this way bebito!!!!!!!

Kaka upogo wewe?
 
Last edited by a moderator:
Hivi vitu wapata afrika tu. Natamani nimuone uchi. Hilo tacko laweza mjengea nyumba. She has the future behind her.

there we go!!!! she really have the bright future in her behind! lol...

wanawake kama hawa hawawezi kufa masikini kamwe! la msingi tu wajue namna ya kutumia their behind..
 
there we go!!!! she really have the bright future in her behind! lol...

wanawake kama hawa hawawezi kufa masikini kamwe! la msingi tu wajue namna ya kutumia their behind..

Kama ni mkeo vipi unamruhusu atoke peke yake na kishuzi kimebanwa kiasi hicho,
 
Mkuu kabanga ni kweli huyu Tized hataki neema ya Mungu waliyopewa hawa viumbe yeye anataka akishika akutana na mifupa badala ya nyamanyama
Mkuu Tized vijiweni ni balaa maana maneno ni mengi sana na ukishindana nao aise unaweza kwenda kwa kalumanzila kwa kutokujiamini ila ukijiamini mambo yote ni poa na kuridhika na kile ulicho nacho mkuu
Kama hao akina kalumanzila wangekuwa wana dawa wangetupa za kupunguza ukubwa wa ghaza tungeamini dawa zao

watu wa mtaani wana maneno wewe acha tu Mr Rocky ni balaa, Tized anajua....
 
Last edited by a moderator:
Binamu hebu nambie... Na weww unapenda Neema za allah??

binamu mimi namshukuru Allah kwa kila kidogo alichowapa watu nasi wakatupatia haijalishi ana neema kama zile anazotaja sheikh kipozeo au hizi anazotaja Tized, kwa ufupi binamu mimi sio m'baguzi kila kitu kinautamu wake, unalijua hilo....
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom