miss chagga wewe najua kila idara unajitosheleza hivyo hata huo mkia hapo kwako ni cha mtoto
Yaani mmechangamka kama mmetiwa ndimu na pilipili. Hivi niwaulize nyie wakaka, mnapata faida gani kuona makalio mapana? Yaani sie kina sony wega why hatuwastui?
Cc Kongosho
Asante sana my dear miss chagga
usijali baby wangu ile hela usisahahu
Namalizia process za ule mkopo aise utaikuta tuu utakapokkuja aise usiwe na wasi wasi miss chagga
Kama Kasinde ana umbo la namba 8 mkuu Tized wewe yapaswa kutuachia sisi tuserebuke nae wewe kapambane na akina miss neddy na miss chagga ambao wanakufaa
Bora nibakie hivi hivi kimbau mbau mie la hivyo silitaki
Umenisoma vibaya my dear
usjiteee hakuna asiependa neema lol
Utanifanya niweke picha yako hapo
haha at ur own risk