Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,980
Acha hizo mkuu... Kasinde kanishika sana, nitarenew licence ya bastola yangu ukianza zakuleta hapa
Sio udhaifu.. ni KUJIENDEKEZA.
Acha hizo bhana
Hahahaaaa utafiti upo ndugu yangu?
Msikariri. Sio kila mtu.
Kama Kasinde ana umbo la namba 8 mkuu Tized wewe yapaswa kutuachia sisi tuserebuke nae wewe kapambane na akina miss neddy na miss chagga ambao wanakufaa
Sio udhaifu.. ni KUJIENDEKEZA.
King'asti kuja pande hii, mimi ni Sony mwenzako.
Yaani mmechangamka kama mmetiwa ndimu na pilipili. Hivi niwaulize nyie wakaka, mnapata faida gani kuona makalio mapana? Yaani sie kina sony wega why hatuwastui?
Cc Kongosho
Acha hizo bhana
Hahahaaaa utafiti upo ndugu yangu?
hahahah mi flat screen lol na utafiti kumbe anapenda wenye neema ndo nimejua leo
Msikariri. Sio kila mtu.
usjiteee hakuna asiependa neema lol
Last edited by a moderator: