kabanga
Platinum Member
- Dec 12, 2011
- 37,580
- 18,952
Nakumbuka kaka kwa hili siwezi kusahau
pamoja kaka....
Nakumbuka kaka kwa hili siwezi kusahau
Ah here beibe, namalizia kukutengezea milkshake
Ya tende hiliki na maziwa, love u much much my booboo. :A S 11:
wewe hutaki alale sio... itawaka moto hiyo Kasinde!
binamu mimi namshukuru Allah kwa kila kidogo alichowapa watu nasi wakatupatia haijalishi ana neema kama zile anazotaja sheikh kipozeo au hizi anazotaja Tized, kwa ufupi binamu mimi sio m'baguzi kila kitu kinautamu wake, unalijua hilo....
Kama ni mkeo vipi unamruhusu atoke peke yake na kishuzi kimebanwa kiasi hicho,
Tized mbona makatazo mengi hivyo aise. kabanga inabidi tumfuate Tized kwenye mambo zake aise maana hili katazo inaoenekana anafaidi sana kwenye vimbaumbau vyake na gatutaki tena utafiti wa Excel wacha tuende wenyewe
Mmhh Muungano bado ni kero hiyo katiba yako ipeleke kwanza stoo mpaka tukishakubaliana ndo uilete maana kero zetu bado hazijatatuliwa
Bora nibakie hivi hivi kimbau mbau mie la hivyo silitaki
Mkuu unachanganya madesa asee! sweetheart anaitwa Kasinde sio kashinde!
miss chagga anakuchanga nini! msalmie mtaalam Dena Amsi!
Tized mbona makatazo mengi hivyo aise. kabanga inabidi tumfuate Tized kwenye mambo zake aise maana hili katazo inaoenekana anafaidi sana kwenye vimbaumbau vyake na gatutaki tena utafiti wa Excel wacha tuende wenyewe
Mmhh Muungano bado ni kero hiyo katiba yako ipeleke kwanza stoo mpaka tukishakubaliana ndo uilete maana kero zetu bado hazijatatuliwa
Mkuu unachanganya madesa asee! sweetheart anaitwa Kasinde sio kashinde!
miss chagga anakuchanga nini! msalmie mtaalam Dena Amsi!
Mkuu unachanganya madesa asee! sweetheart anaitwa Kasinde sio kashinde!
miss chagga anakuchanga nini! msalmie mtaalam Dena Amsi!
kabanga huyu Excel anatubania bana hataki kufunguka kama kashafanya utafiti wake
mashallah!utakuta anategemea kichuguu chake kama kitega uchumi,neema za kipozeo hizi lol!
Kaka mkubwa tupo bhana.... Wakoloni wametuweka taiti sana mkuu. Hope unafaidi sana kanda maaulumu ya ziwa huko
Thanks sweetlove!!! It was fantstic. kabanga kidogo nifikie ile rekodi ya kuwa hewani kwa masaa 17 kama yule muingereza.
Acha kabisa hio maneno kaka, Kama ni nguvu ya soda, tazima ukapoozewe MOI pale.
Huku kwenye flat screen ni raha mustarehe
Hahahahahaaaa... huna unyanya paa sio... Hii mambo imekaaga poa sana.
Mkuu huku msije... tuacheni wala hatufaidi wala nini... bakini tu huko kwenye mizigo yenu
Msije kaka... mnaweza msirudi tena kukata shingo huko. Just FYI
Jana nimekabidhiwa katiba Mpya... Muungano upo vile vile
Ukitaka kupakua uwe na mwiko mrefu