Kukutana na warembo wa JF raha sana!

Kukutana na warembo wa JF raha sana!

Hahahaaaaa... sijui sana mkuu... Naona wapo kawaida kabisa na maumbile swaafi kabisa. so mkiwa vimbau mbau wote ni balaa zaidi... (wanawasingiziaga wanaume vimbau mbau kwamba nyama ilihamia upande wa ghaza ndio maana sio wanene -- hayo pia maneno ya vijiweni)

Ila pia kwa mwanamke mnene anatakiwa mwanaume kimbau mbao (sababu za kimaumbile) au mwanaume mnene lakini anayejua nini cha kufanya na namna ya kufanya. vinginevyo wanakimbilia uvinza kujitafutia mikansa kwa kushindwa kutumika vizuri na upungufu wa nguvu za kiume.

Mkuu wanakuambia wale vimbaumbau ni shideeer kama una kale katunda bamia huwezi kuwafikisha ila hawa wa kwetu hawa tunaenda nao sambamba hata na tunda lile dogo mkuu Tized ila ni story za vijiweni aise hatuwezi jua ukweli wake
 
Inhiinhiinhiiiii... Ila sio mama mzazi!!!!

Watu wamejijengea hisia sana kwa wanawake wenye mikia mikubwa.. bila kujua wao wenyewe ndio wamejijengea hizo hisia na mihemuko.. wanafikiri ndio wamezaliwa hivyo..... Nachekaga kimoyomoto napokuwa na mdada mwenye mkia mkubwa anafikiri na mie ni mmoja wao anakuta hata sina habari naye..... Naona ni aibu mtu na akili zake kunaswa na makalio huku unajiona..... Oooh NOOOOOOO!!!!!.

Hahhahaaaaa..... Nambie utamu wa flat screen??
 
mkuu ndo maana wahongaji hawaishi eenh?

huyu mrembo ni shiiida! lazima cruiser zigongane tu hapa!
Halafu eti kavalishwa pete na kuachwa kupita uswahili. Huyo mwanaume mzima kweli huyo! Kwahio wenzake anafikiri tuangalie tuuuu! Kwani yeye nani banaaaaa! Ana nini? Nani alimwambia vitu kama hivyo ni vya mtu mmoja! Huo ni ubinafsi sana!
 
Mkuu kabanga ni kweli huyu Tized hataki neema ya Mungu waliyopewa hawa viumbe yeye anataka akishika akutana na mifupa badala ya nyamanyama
Mkuu Tized vijiweni ni balaa maana maneno ni mengi sana na ukishindana nao aise unaweza kwenda kwa kalumanzila kwa kutokujiamini ila ukijiamini mambo yote ni poa na kuridhika na kile ulicho nacho mkuu
Kama hao akina kalumanzila wangekuwa wana dawa wangetupa za kupunguza ukubwa wa ghaza tungeamini dawa zao
 
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha katuni moja... madenge alirudi shule akiwa na njaa kali sana, akakuta katengewa kaugali kadooogo.. ikabidi azame ndani kuchukua miwani ya baba ile ya kukuza maandishi. Kaja kupiga ugali wake na magnifying lense kaona bonge la Ugali kama kilima hivi. akala akashiba freshi kabisa.

Kwa hio hii kitu ni mambo ya kisaikolojia tu kaka. Nzama zinazofaa kushikwa kwanzia zinaanzia kilo ngapi?
Mkuu kabanga bora wewe bana Tized na vimbaumbau vyake havina hata nyama za kushika ni balaa tupu mkuu
 
Mkuu Tized sio lazima ziwe kubwa sana au kama za huyo dada hapo juu .ila at least mwili uwe na nyama bana zijae kwenye mikono sio unashika kitu unakutana na mfupa bana au wakati uko kwenye mteremko umegongwa na kiwiko utafikiri kuna jiwe limekuangukia
 
Last edited by a moderator:
Unaona picha wa uzuri wake, ni rahisi kuibeba, Safi sana, haihifadhi buibui, zina functions nyingi zaidi, modern, kioo hakina mipasuo pasuo, zinakamata HD, internet, hazina chogo (kitambi) and many more.
Hahhahaaaaa..... Nambie utamu wa flat screen??
 
Hapo umenena kaka. Vijiwe vina mengi saaana. kazi kwetu kuchuja tu.

Karibu kwenye ulimwengu wa vimbao mbao.
Mkuu kabanga ni kweli huyu Tized hataki neema ya Mungu waliyopewa hawa viumbe yeye anataka akishika akutana na mifupa badala ya nyamanyama
Mkuu Tized vijiweni ni balaa maana maneno ni mengi sana na ukishindana nao aise unaweza kwenda kwa kalumanzila kwa kutokujiamini ila ukijiamini mambo yote ni poa na kuridhika na kile ulicho nacho mkuu
Kama hao akina kalumanzila wangekuwa wana dawa wangetupa za kupunguza ukubwa wa ghaza tungeamini dawa zao
 
Hapo umenena kaka. Vijiwe vina mengi saaana. kazi kwetu kuchuja tu.

Karibu kwenye ulimwengu wa vimbao mbao.


Kaa navyo mwenyewe bana mi vimbaumbau sina appetite navyo kabisa na nina allergy kabisa na hivyo vitu aise
 
nyingine hiyo
 

Attachments

  • 1412759117108.jpg
    1412759117108.jpg
    4.8 KB · Views: 182
Hahahahaaaaa... Hahahahahaaa.... Nyama hata huku zipo sema tu utalaamu wake... we hujaona wali huo huo wengine wanakula kwa mkono, wengine kwa uma, wengine kwa uma na kisu, wengine wanaula kwa vijiti tu..... hahahahaaaa.. wewe ulishawahi kufikiri wali uliwe kwa vijiti mkuu?

Mkuu Tized sio lazima ziwe kubwa sana au kama za huyo dada hapo juu .ila at least mwili uwe na nyama bana zijae kwenye mikono sio unashika kitu unakutana na mfupa bana au wakati uko kwenye mteremko umegongwa na kiwiko utafikiri kuna jiwe limekuangukia
 
Niacheni mie na Kasinde wangu.. nae ni dizaini ya wale wenye figa no.8 matata saaana ... Kiukweli anabamba sana. Hata ukiwa mbaaali you can tell that is a woman. So adorable lady!!!!!

Kaa navyo mwenyewe bana mi vimbaumbau sina appetite navyo kabisa na nina allergy kabisa na hivyo vitu aise
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom