Mwambie ila kuna watu wanahudumia hapo awe makini na vitu vya watu
Kabisa mkuu utafiti
Ila hapo ukiwa na kitu kama hicho kutoka nacho ni lazima uwe na mlinzi binafsi wa kuangalia nyendo zake aise
Last edited by a moderator:
Mwambie ila kuna watu wanahudumia hapo awe makini na vitu vya watu
Safari hii naachika Aisee! Maana kanivumilia sn Huyu mke wangu!
hahaha na log off
Vimbao mbao ndio habari ya mujini kaka. Hio mikia ni matatizo matupu, Psychological imprisoment. Neither Mikia nor kutokua na mikia pleases a man... ni namna tu mtu anavyjiweka kwenye mind yake.
Mimi nimechagua vimbaombao kaka. they are very delicious!!!!
miss chagga wewe najua kila idara unajitosheleza hivyo hata huo mkia hapo kwako ni cha mtotounaweka sahani maji ya kunywa na juice unakula
Hapo Hakuna uzuri! miss chagga ameshatoa jibu!
Vimbao mbao ndio habari ya mujini kaka. Hio mikia ni matatizo matupu, Psychological imprisoment. Neither Mikia nor kutokua na mikia pleases a man... ni namna tu mtu anavyjiweka kwenye mind yake.
Mimi nimechagua vimbaombao kaka. they are very delicious!!!!
Munkari hebu njoo huku, Excel anataka majibu. Hivi huyo ni miss nanihii, miss nanihii
au ni yule miss nanihii wa Kishumundu? Wewe ndo unawafahamu kwa kuwa ni jirani zako...
View attachment 191307
Mhhh may be utuambie aise siri ya kuwa na vimbaumbau maana tusikiavyo mkuu Tized hao ni shideeer
Ila may be tukipata taarifa kutoka kwako tunaweza kujua siri ya urembo kwa vimbaumbau ni ipi ili na sisi tuingiemo
Mikia ni safi kama utakuwa unajua na una uwezo wa kuweza kuwatosheleza hao wako juu sana mkuu
cc Ntuzu
kaka, kama mtu anapendelea nyama za mafuta mafuta au anapenda za kwenye mifupa.
Kwa hio utamu wa kondoo upo tofauti sana... anayekinai mafuta haraka atakimbilia nyama za mifupa, anyependa mafuta atakimbilia mkiani.. na asiye na godoro atakimbilia ngozi yake kaka. hahhahahaaaa
kwa hio usincheke mimi ninayekimbilia ngozi kaka.. hahaaaaa
Hahahaaaa... shida yao ni nini mkuu... Waleteni kwangu hao kaka niyumbeyumbe nao.
Munkari hebu njoo huku, Excel anataka majibu. Hivi huyo ni miss nanihii, miss nanihii
au ni yule miss nanihii wa Kishumundu? Wewe ndo unawafahamu kwa kuwa ni jirani zako...
View attachment 191307
Sema hakyamama.....
Guess who?
nimemuibia hapo tu! sura nimeacha kapuni!
hii mibaraka hii! hm!
![]()