kabanga
Platinum Member
- Dec 12, 2011
- 37,580
- 18,952
Mr Rocky huwezi jua Excel na Tized wakawa lengo lao moja hawa kutunyima utamu wa huko, ila wajue wanamuweka njia panda utafiti, maana anataka kuingia kwenye chama mazima sasa atakuwa anapata shida achague wale au hawa....Excel niko na miss chagga hapa ndo anatype sasa mpaka anakosea badala ya Kasinde anaandika kashinde ni balaa hili Dena Amsi anavuna mahindi yuko salama kabisa na yeye kwa mkia ni balaa unaweza weka mtoto akakaa pale na asianguke
kabanga huyu Excel anatubania bana hataki kufunguka kama kashafanya utafiti wake
Last edited by a moderator: