Mbona kama Miss Nanihii!...
Yule aliyekuwa marekani na mheshimiwa nyala wakitangaza utalii?
Guess who?
nimemuibia hapo tu! sura nimeacha kapuni!
hii mibaraka hii! hm!
![]()
Daaaah raha ya nyumba choo jaman
Ukitaka kupakua uwe na mwiko mrefu
Raha ya dafu lazima licholewa
mkuu ndo maana wahongaji hawaishi eenh?
huyu mrembo ni shiiida! lazima cruiser zigongane tu hapa!
Bora nibakie hivi hivi kimbau mbau mie la hivyo silitaki