Kukutana na warembo wa JF raha sana!

Kukutana na warembo wa JF raha sana!

Guess who?

nimemuibia hapo tu! sura nimeacha kapuni!

hii mibaraka hii! hm!

takoo.jpg



Nimeridhika kabisa, yaani kweli Mungu ni Mwema
kashusha kifaa kilichojaa Neema za Allah. ♡♥♧♣↓↑
 
Naaaam Kaka Juzi jana na leo!!!!!! . Aisee mi nataka kipotabo na kimbaombao kama mimi bhana. Hao mabonge namwachia Excel na ndugu yake Ntuzu na kabanga

Mkuu Tized vimbaumbau sio deal bana unabeba kitu kama hicho hapo juu alichoonyesha Excel hapo utakuwa umepata kitu kinachofaa bana
kabanga sijui kapotelea wapi aise

Aiseee Mzee wa miamba hicho kinaitwa kijiji cha Africa! Hatariiiiiii!

Uko pouwa Lkn mkulu? Aiseee posho ya bunge la katiba imekwisha! Hapa Natafuta deal nilipe deni la Hotel mkulu!

Mkuu Ntuzu salama kabisa aise tunapambana
Mhhh na ulivyotunyima hata kuonja pesa za bunge lako la katiba nakuombea wakunyang'anye mpaka boxer zako kulipia deni la hotel
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Tized vimbaumbau sio deal bana unabeba kitu kama hicho hapo juu alichoonyesha Excel hapo utakuwa umepata kitu kinachofaa bana
kabanga sijui kapotelea wapi aise



Mkuu Ntuzu salama kabisa aise tunapambana
Mhhh na ulivyotunyima hata kuonja pesa za bunge lako la katiba nakuombea wakunyang'anye mpaka boxer zako kulipia deni la hotel



Hahaaaaa km boxer nawaachia Aisee! Au Ngoja nimuite Khantwe Au mama Koku aniletee fedhwa hapa!
 
Last edited by a moderator:
Kabisa mkuu only in Africa especially bongo hapa kila kitu aise kipo na usipokuwa makini utakuwa unajianika kwenye mawe kama Excel

Mwambie ila kuna watu wanahudumia hapo awe makini na vitu vya watu
 
Last edited by a moderator:
Vimbao mbao ndio habari ya mujini kaka. Hio mikia ni matatizo matupu, Psychological imprisoment. Neither Mikia nor kutokua na mikia pleases a man... ni namna tu mtu anavyjiweka kwenye mind yake.

Mimi nimechagua vimbaombao kaka. they are very delicious!!!!
Mkuu Tized vimbaumbau sio deal bana unabeba kitu kama hicho hapo juu alichoonyesha Excel hapo utakuwa umepata kitu kinachofaa bana
kabanga sijui kapotelea wapi aise
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom