Hahaha poa mkuuMkuu mbona huonekani JF GROUP bhana!
hebu njoo pm kwanza tuongee kuhusu ishu ya manz flani hvi!
Nipo best wangu!
Nilikuwa likizo ndogo...sasa hv nimerudi na moto uleule!
Bado sana, labda mwaka 2019/2020
Duh mkuu Bulldog mbali sana huko aise dah nitakuwa nishamchoka miss chagga
Hehehe, naogopa kulaumiwa na watoto. Ujue nimerithi shepu mbaya kama mshua Mtambuzi. Kawowo kadogoooooo. Paw ana shape ngoja nikomae nae nipate mbegu
Nyama tamu ipo kwenye mifupa Mkuu.... Hii siri nakuvujishia wewe peke yako.
najua sana ila wakati wa kuitoa hiyo nyama kwenye mifupa lazima uwe na sehem ya kushika maana utaishia tuu kuiona nyama illeeee ila kuila huwezi aise inakosa hata ladha