Kukatika kwa Umeme ni Dar es Salaam yote au baadhi ya maeneo tu?

Ma dikteta duniani kote wana mbinu za hovyo sana,

Miaka fulani huko,Urusi,Raisi wa Russia alikuwa anataka kuvamia nchi moja jirani ambapo kulikuwa Kuna kikundi Cha kijeshi,kigaidi kilichokuwa kinataka kujitenga,alichofanya.

alituma maofisa wake wakalipua mabomu kwenye shule ya watoto wadogo ndani ya Urusi,harafu akautangazia ulimwengu kwamba kile kikundi Cha kigaidi ndio kimefanya mashambulizi.

Hapo akapata sababu ya kuivamia hiyo nchi,na kushambulia hatari,hili tukio la Morogoro Tanesco,kuungua,isije ikawa inatafutwa sababu ya kuifuta Chadema na kumfunga Mbowe,kwamba yeye ndie aliye endesha hii hujuma ya kulipua kituo Cha Tanesco
Umeme umerudi maeneo yote,toka saa sita ya mchana leo.
 
Leo umeme umekatika majira ya saa nne hivi asubuhi, mi niko Kariakoo Jiji la Ilala mkoa wa Dar es Salaam, kwa style ulivyokatika umeme sikuona kama kuna tumaini la umeme huu kurejea mapema.

Nikaamua kuuliza maeneo mengine kama Tabata nk nako hakuna Umeme pia.

Nambie we uko wapi? Kwako kuna umeme?
I think it could just be a technical Fault Mkuu kutokana na Miundombinu mibovu ya TANESCO au haya Matengenezo yao wanayoyafanya kwa sasa sehemu mbalimbali.

Kwani kama unauzungumzia huu uliokatika leo Jijini Dar es Salaam nikutaarifu tu kuwa umekatika hadi yale Maeneo Muhimu ya Watu wanaoogopwa na Taasisi zinazoogopesha nchini Tanzania
 
Umeme unaozalishwa huwa unaingizwa kwenye gridi ya Taifa...

Umesahau kwamba Kihansi na Kidatu zipo Morogoro na ni mabwawa ya kuzalisha umeme wa maji?

Watu wanajua umeme wote unazalishwa DAR!! :D :D :D ,Tuwakumbushe kwamba June 2022 ,Umeme wa bwawa la nyerere nao utaanza kutumika..unatokea rufiji.
 
Back
Top Bottom