Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,209
- 12,912
Leo umeme umekatika majira ya saa nne hivi asubuhi, mi niko Kariakoo Jiji la Ilala mkoa wa Dar es Salaam, kwa style ulivyokatika umeme sikuona kama kuna tumaini la umeme huu kurejea mapema.
Nikaamua kuuliza maeneo mengine kama Tabata nk nako hakuna Umeme pia.
Nambie we uko wapi? Kwako kuna umeme?
Nikaamua kuuliza maeneo mengine kama Tabata nk nako hakuna Umeme pia.
Nambie we uko wapi? Kwako kuna umeme?