Kukamatwa kwa watekaji watanzania na meli ya madawa ya kulevya ni wazi Tanzania imeingia kwenye list ya nchi yenye wahalifu wa kimataifa

Kukamatwa kwa watekaji watanzania na meli ya madawa ya kulevya ni wazi Tanzania imeingia kwenye list ya nchi yenye wahalifu wa kimataifa

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Kukamatwa kwa watekaji watanzania na meli ya madawa ya kulevya ni wazi Tanzania imeingia kwenye list ya nchi yenye wahalifu wa kimataifa.

Haya ndio malipo ya Serikali haramu mnategemea nini ?

Watekaji hawa huko kenya wanakamtwa tu nje ya nchi na sio kwenye shamba la bibi huku hawakamatwi vipi wauza madawa ya kulevya ?
 
Trump hapendi madawa ya kulevya
Tungoje labda atafanya ya Maduro
 
Kuna mwandishi aliwahi kusema kuwa
Sehemu yoyote Ile duniani yenye vitu vifuatavyo
Madini
Madawa ya kulevya
Udikiteta
Ugaidi
Huwa sio mbali kwa marekani na mwisho akamalizia kwa kuhuliza kuwa
Tujiulize Je hivyo vitu tunavyo?
 
Jinsi serikali hii haramu ya CCM inavyoteka,kutesa, kuua na kupoteza wakosoaji wake haina tofauti na yale magenge ya wauza madawa ya kulevya ya Amerika ya Kusini maana wao wakipishana kidogo tu ni kuteka,kutesa na kuua washindani wao wa kibiashara, sifa yao kubwa ni ukatili na unyama sawasawa na polisiccm na TISS wanavyotumika na CCM kuwashughulikia Chadema,mfano hai ni mauaji ya kikatili ya Ali Kibao. CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu.
 
Back
Top Bottom