Kukaa kimya ni hekima na kuepusha madhara yasiyo ya lazima! Kusakwa kwa wanaharakati ni kukuza jambo na kuongeza joto la upinzani wa mkataba

Nsanzagee

JF-Expert Member
Jun 28, 2023
1,939
4,122
Ikiendelea hivi kama ambavyo wao wanaona ni busara kuwasaka na kuwakamata wanaharakati na wanapigia kelele mkataba!

Ni kukuza joto la upinzani na kuongeza kelele zaidi na hata kuchochea vitu vingine visivyotarajiwa!

Ilikuwa sawa kabisa kwa serikali kupuuza hizi kelele huku wao wakijikita kwenye kuweka sawa mkataba huo

Kitendo cha kuanza kuagiza kukamatwa kwa wanaharakati, ni kuongeza makelele na kuongeza joto la wananchi na hata kusababisha mambo ambayo yanaweza yasidhibitiwe kwa wepesi na badala yake kukawepo matumizi ya nguvu isivyo lazima

Wakati wa utawala wa Magufuli, kulianza kidogokidogo kelele za hapa na pale, mwishoni tuliona mambo magumu kwa serikali kuyadhibiti kiasi kwamba hata Rais alikuwa akiishi kwenye presha ya wananchi wake

Serikali ningeiomba, iendelee kukaa kimya na kuwanyazia hawa watu ingawa ni kweli wana hoja za msingi huku serikali ikifanyia upembuzi yakinifu kuhusu hoja za wananchi

Tumeshuhudia mawaziri wakuu wa zamani, viongozi wa dini mbalimbali, wasomi wa kada mbalimbali na wanazuoni, wanaccm na wasio wanaccm wenye kada mbali mbali wakiungana na watanzan wengine kuhoji mkataba jinsi ulivyo,

Hiyo inamaanusha kwamba, watu wa kada mbali mbali kutoka ndani ya ccm na nje ya ccm, kwa umoja wao wameungana katika hili!

Kwa maana hiyo, sioni kama itakuwa ni busara kuanza kukamatwa kwa wanaohoji mambo hayo

Hii inaweza kuleta shida huko tuendako
 
Ikiendelea hivi kama ambavyo wao wanaona ni busara kuwasaka na kuwakamata wanaharakati na wanapigia kelele mkataba!

Ni kukuza joto la upinzani na kuongeza kelele zaidi na hata kuchochea vitu vingine visivyotarajiwa!

Ilikuwa sawa kabisa kwa serikali kupuuza hizi kelele huku wao wakijikita kwenye kuweka sawa mkataba huo

Kitendo cha kuanza kukamatwa kwa wanaharakati, ni kuongeza makelele na kuongeza joto la wananchi na hata kusababisha mambo ambayo yanaweza yasidhibitiwe kwa wepesi na badala yake kukawepo matumizi ya nguvu isivyo lazima

Wakati wa utawala wa Magufuli, kulianza kidogokidogo kelele za hapa na pale, mwishoni tuliona mambo magumu kwa serikali kuyadhibiti kiasi kwamba hata Rais alikuwa akiishi kwenye presha ya wananchi wake

Serikali ningeiomba, iwapuuze hawa watu ingawa ni kweli wana hoja za msingi

Tumeshuhudia mawaziri wakuu wa zamani, wasomi wa kada mbalimbali na wanazuoni, wanaccm na wasio wanaccm wenye kada mbali mbali wakiungana na watanzan wengine kuhoji mkataba jinsi ulivyo,

Hiyo inamaanusha kwamba, watu wa kada mbali mbali kutoka ndani ya ccm na nje ya ccm, kwa umoja wao wameungana katika hili!

Kwa maana hiyo, sioni kama itakuwa ni busara kuanza kukamatwa kwa wanaohoji mambo hayo

Hii inaweza kuleta shida huko tuendako
Wasakwe hao wapotoshaji.Serikali ilikaa kimya ila wakasema ni goigoi na kutukana Rais Sasa ngoja waone moto.
 
Ikiendelea hivi kama ambavyo wao wanaona ni busara kuwasaka na kuwakamata wanaharakati na wanapigia kelele mkataba!

Ni kukuza joto la upinzani na kuongeza kelele zaidi na hata kuchochea vitu vingine visivyotarajiwa!

Ilikuwa sawa kabisa kwa serikali kupuuza hizi kelele huku wao wakijikita kwenye kuweka sawa mkataba huo

Kitendo cha kuanza kukamatwa kwa wanaharakati, ni kuongeza makelele na kuongeza joto la wananchi na hata kusababisha mambo ambayo yanaweza yasidhibitiwe kwa wepesi na badala yake kukawepo matumizi ya nguvu isivyo lazima

Wakati wa utawala wa Magufuli, kulianza kidogokidogo kelele za hapa na pale, mwishoni tuliona mambo magumu kwa serikali kuyadhibiti kiasi kwamba hata Rais alikuwa akiishi kwenye presha ya wananchi wake

Serikali ningeiomba, iwapuuze hawa watu ingawa ni kweli wana hoja za msingi

Tumeshuhudia mawaziri wakuu wa zamani, wasomi wa kada mbalimbali na wanazuoni, wanaccm na wasio wanaccm wenye kada mbali mbali wakiungana na watanzan wengine kuhoji mkataba jinsi ulivyo,

Hiyo inamaanusha kwamba, watu wa kada mbali mbali kutoka ndani ya ccm na nje ya ccm, kwa umoja wao wameungana katika hili!

Kwa maana hiyo, sioni kama itakuwa ni busara kuanza kukamatwa kwa wanaohoji mambo hayo

Hii inaweza kuleta shida huko tuendako
Nani amaekamatwa?
 
Ikiendelea hivi kama ambavyo wao wanaona ni busara kuwasaka na kuwakamata wanaharakati na wanapigia kelele mkataba!

Ni kukuza joto la upinzani na kuongeza kelele zaidi na hata kuchochea vitu vingine visivyotarajiwa!

Ilikuwa sawa kabisa kwa serikali kupuuza hizi kelele huku wao wakijikita kwenye kuweka sawa mkataba huo

Kitendo cha kuanza kukamatwa kwa wanaharakati, ni kuongeza makelele na kuongeza joto la wananchi na hata kusababisha mambo ambayo yanaweza yasidhibitiwe kwa wepesi na badala yake kukawepo matumizi ya nguvu isivyo lazima

Wakati wa utawala wa Magufuli, kulianza kidogokidogo kelele za hapa na pale, mwishoni tuliona mambo magumu kwa serikali kuyadhibiti kiasi kwamba hata Rais alikuwa akiishi kwenye presha ya wananchi wake

Serikali ningeiomba, iwapuuze hawa watu ingawa ni kweli wana hoja za msingi

Tumeshuhudia mawaziri wakuu wa zamani, wasomi wa kada mbalimbali na wanazuoni, wanaccm na wasio wanaccm wenye kada mbali mbali wakiungana na watanzan wengine kuhoji mkataba jinsi ulivyo,

Hiyo inamaanusha kwamba, watu wa kada mbali mbali kutoka ndani ya ccm na nje ya ccm, kwa umoja wao wameungana katika hili!

Kwa maana hiyo, sioni kama itakuwa ni busara kuanza kukamatwa kwa wanaohoji mambo hayo

Hii inaweza kuleta shida huko tuendako
Unajua maana ya neno KUPUUZA linatokana na neno UPUUZI..kwa ulivyoandika wanachokisema wanaharakati kuhusu DPW ni upuuzi..futa hilo neno ulilotumia ili ulichokiandika kilete maana uliyotaka isomeke!
 
Ni hekima ndogo tu inahitajika, si kila jambo unaweza kutumia nguvu!

Joto lililopo linahitaji viongozi watumie hekima na siyo kukurupuka mkuu!
Hekima ipi Kwa watu wasioelewa na wanaotaka kile wanachosema ndicho Jiwe Kwa maslahi Yao ya Kisiasa?

Viongozi wa Serikali wameapa kulinda Nchi hao wengine wameapa wapi?
 
.
 

Attachments

  • Screenshot_20230709-110245_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20230709-110245_WhatsAppBusiness.jpg
    258.6 KB · Views: 2
Hekima ipi Kwa watu wasioelewa na wanaotaka kile wanachosema ndicho Jiwe Kwa maslahi Yao ya Kisiasa?

Viongozi wa Serikali wameapa kulinda Nchi hao wengine wameapa wapi?
Unadhani kule Nigeria hawakuapa kulinda nchi?

Sudani napo hawakuapa kulinda nchi mkuu?
 
Nani amaekamatwa?
SERIKALI imeagiza vyombo vishungulike kikamilifu na Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na Wakili huyo kudaiwa kutoa matamshi yanayohatarisha amani nchini.

Agizo hilo la Serikali limetolewa leo tarehe 9.7.2023 na Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ambapo pia amekiagiza Chama cha Wanasheria Tanganyika TLS kuchunguza kwa kina uhalali wa muhuri wa wakili huyo.

Katika siku za karibuni Wakili Mwabukusi amekuwa akitoa matamshi mbalimbali kuhusu mkataba wa bandari na tayari ameshafikisha shauri hilo Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya.

"Naomba chama cha Wanasheria Tanganyika TLC wachunguze kwa kina Uhalali wa Muhuri wake,Huyu wakili hakuna wakili wanamna hii... wapo wanasheria wabobezi wametoa maoni yao tena wakiwa Kintume na serikali lakini hawakufikia kiwango hiki cha Kuvunja Utu wa watu,Umoja wa Kitaifa,Amani na Mwenendo wa Nchi.

Vyombo vishughulike kikamilifu juu ya Mtu huyu" amesema Kiongozi huyo wa Serikali, Japhari Kubecha.

Soma
 
Hizi kelele za wanaharakati zinaonesha vile wanadamu hatujaumbwa kunyamaza, lazima tuzungumze, wasomi wanaojielewa lazima wahoji, na tukubaliane kitu kimoja, huwezi kuwafunga wote midomo kwa pamoja kila wakati, lazima wapo watakaonyamaza na watakaoongea kila kundi kwa wakati wake, huu ndio ukweli.

Kutishana ni ujinga, mwanadamu sio kuku au mbuzi ukimtisha akimbilie bandani.
 
Back
Top Bottom