Dhana ya kukaa kimya rais Samia anamaanisha ni aibu kutoa maamuzi ya mkataba wa bandari

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,615
3,909
Mama awali nilimsikia kule mkoa wa arusha kwamba ameamua kukaa kimya na watu walimshangilia sasa sijui kukaa kimya ndiyo kutuaminisha kwamba ni mkomavu wa kisiasa! jambo lililopo mbele yake siyo la yeye kukaa kimya huku chawa wake wakiendelea kumpigania yeye inatakiwa aamue nini kifanyike kuhusu mkataba wa bandari na Dp world kwa kuwa yeye ni raisi , mimi naona kama anashauliwa na vijana wake kukaa kimya kwenye sakata hili halimsaidii hata kidogo,

wananchi wameshakataa mkataba huo iweje raisi akae kimya na kama kukaa kimya abamaanisha wananchi watake wasitake mkataba lazima utekelezwe au yeye anamaanisha nini

Raisi wangu Dk Samia suluhu hasan kwa maoni yangu vijana wako wanatetea ugali wao kauli ya mzee kikwete ya changanya na za kwako imamashiko angalia mawazo ya wengi kwenye ukweli uwe ukweli na utoe mwelekeo hata kama mimi ungeniteua lazima ningekupigania kinafiki sasa swala hili la Dp world unaona ukae kimya litapoa lenyewe anayekwambia hivo anakucheka pembeni ! mwenye mamlaka ni wewe chombo kinavyozidi kwenda kikizama utachekwa wewe.


Udhauri wangu kwako swala la mkataba wa bandari na Dp world hauna itikadi za kidini bali vifungu vya mkataba huo ndivyo vinapigiwa kelele ! walioongea wote hakuna anayepinga uwekezaji bali hilo dude la mkataba lilivyokaa.
 
Kutoka "kuupiga mwingi" hadi "kukaa kimya".
Slogans zote hizi wanachama kwa ujinga wao hawaishi kusifu na kuabudu.

Wakuu hapa tumepigwa!!
 
amiri jeshi mkuu kuamua kukaa kmya? anamwogopa nan? vyombo vyote yeye ndio mmiliki!
 
Mama awali nilimsikia kule mkoa wa arusha kwamba ameamua kukaa kimya na watu walimshangilia sasa sijui kukaa kimya ndiyo kutuaminisha kwamba ni mkomavu wa kisiasa! jambo lililopo mbele yake siyo la yeye kukaa kimya huku chawa wake wakiendelea kumpigania yeye inatakiwa aamue nini kifanyike kuhusu mkataba wa bandari na Dp world kwa kuwa yeye ni raisi , mimi naona kama anashauliwa na vijana wake kukaa kimya kwenye sakata hili halimsaidii hata kidogo,

wananchi wameshakataa mkataba huo iweje raisi akae kimya na kama kukaa kimya abamaanisha wananchi watake wasitake mkataba lazima utekelezwe au yeye anamaanisha nini

Raisi wangu Dk Samia suluhu hasan kwa maoni yangu vijana wako wanatetea ugali wao kauli ya mzee kikwete ya changanya na za kwako imamashiko angalia mawazo ya wengi kwenye ukweli uwe ukweli na utoe mwelekeo hata kama mimi ungeniteua lazima ningekupigania kinafiki sasa swala hili la Dp world unaona ukae kimya litapoa lenyewe anayekwambia hivo anakucheka pembeni ! mwenye mamlaka ni wewe chombo kinavyozidi kwenda kikizama utachekwa wewe.


Udhauri wangu kwako swala la mkataba wa bandari na Dp world hauna itikadi za kidini bali vifungu vya mkataba huo ndivyo vinapigiwa kelele ! walioongea wote hakuna anayepinga uwekezaji bali hilo dude la mkataba lilivyokaa.
Soma hii
Hawa watoto mngewafundisha kuandamana kudai vitabu na walimu, ingekuwa kitu Cha maana sana. Hapa mnawafundisha UPUMBAVU, ashakum si matusi
20230826_235010.jpg
 
Mama awali nilimsikia kule mkoa wa arusha kwamba ameamua kukaa kimya na watu walimshangilia sasa sijui kukaa kimya ndiyo kutuaminisha kwamba ni mkomavu wa kisiasa! jambo lililopo mbele yake siyo la yeye kukaa kimya huku chawa wake wakiendelea kumpigania yeye inatakiwa aamue nini kifanyike kuhusu mkataba wa bandari na Dp world kwa kuwa yeye ni raisi , mimi naona kama anashauliwa na vijana wake kukaa kimya kwenye sakata hili halimsaidii hata kidogo,

wananchi wameshakataa mkataba huo iweje raisi akae kimya na kama kukaa kimya abamaanisha wananchi watake wasitake mkataba lazima utekelezwe au yeye anamaanisha nini

Raisi wangu Dk Samia suluhu hasan kwa maoni yangu vijana wako wanatetea ugali wao kauli ya mzee kikwete ya changanya na za kwako imamashiko angalia mawazo ya wengi kwenye ukweli uwe ukweli na utoe mwelekeo hata kama mimi ungeniteua lazima ningekupigania kinafiki sasa swala hili la Dp world unaona ukae kimya litapoa lenyewe anayekwambia hivo anakucheka pembeni ! mwenye mamlaka ni wewe chombo kinavyozidi kwenda kikizama utachekwa wewe.


Udhauri wangu kwako swala la mkataba wa bandari na Dp world hauna itikadi za kidini bali vifungu vya mkataba huo ndivyo vinapigiwa kelele ! walioongea wote hakuna anayepinga uwekezaji bali hilo dude la mkataba lilivyokaa.
Alimsikia Askofu mlutheri Faida za Ukimya
 
Kutoka "kuupiga mwingi" hadi "kukaa kimya".
Slogans zote hizi wanachama wa chama cha mapumBv kwa ujinga wao hawaishi kusifu na kuabudu.

Wakuu hapa tumepigwa!!
Utakua umepigwa mwenyewe

Hapa hapigwi mtu
 
Kukaa kimya siyo suluhu, anadanganywa kwamba kukaa kimya ni busara. Tunafahamu hana majibu na hana cha kuongea. Waziri mkuu ndiye msemaji wake anasema tumuamini.
 
Mama awali nilimsikia kule mkoa wa arusha kwamba ameamua kukaa kimya na watu walimshangilia sasa sijui kukaa kimya ndiyo kutuaminisha kwamba ni mkomavu wa kisiasa! jambo lililopo mbele yake siyo la yeye kukaa kimya huku chawa wake wakiendelea kumpigania yeye inatakiwa aamue nini kifanyike kuhusu mkataba wa bandari na Dp world kwa kuwa yeye ni raisi , mimi naona kama anashauliwa na vijana wake kukaa kimya kwenye sakata hili halimsaidii hata kidogo,

wananchi wameshakataa mkataba huo iweje raisi akae kimya na kama kukaa kimya abamaanisha wananchi watake wasitake mkataba lazima utekelezwe au yeye anamaanisha nini

Raisi wangu Dk Samia suluhu hasan kwa maoni yangu vijana wako wanatetea ugali wao kauli ya mzee kikwete ya changanya na za kwako imamashiko angalia mawazo ya wengi kwenye ukweli uwe ukweli na utoe mwelekeo hata kama mimi ungeniteua lazima ningekupigania kinafiki sasa swala hili la Dp world unaona ukae kimya litapoa lenyewe anayekwambia hivo anakucheka pembeni ! mwenye mamlaka ni wewe chombo kinavyozidi kwenda kikizama utachekwa wewe.


Udhauri wangu kwako swala la mkataba wa bandari na Dp world hauna itikadi za kidini bali vifungu vya mkataba huo ndivyo vinapigiwa kelele ! walioongea wote hakuna anayepinga uwekezaji bali hilo dude la mkataba lilivyokaa.
Hii ni "ostrich strategy" ya kukwepa kuona tatizo lililopo mbele yake ambalo yeye ndiye hasa muasisi wa tatizo hilo. Kupitia kauli hiyo ni kwamba ameridhika kabisa na uamuzi ulokwishafanyika katika sakata hili linaloendelea kuhusu mkataba wa DPW.

Yeye binafsi haoni tatizo lolote lile wala haangaishwi na chochote kile kuhusu baadhi ya vipengele vilivyomo ndani ya mkataba ambavyo Watanganyika wengi wanavilalamikia. Anatuma ujumbe wa wazi kuwa uamuzi wa mwisho kuhusu jambo hili unatoka kwake.
 
Huo ukimya wake ni sawa na kuamua kuficha ujinga wake, kwasababu mara zote anapozungumza ndio huacha maswali mengi zaidi.
 
Ni vizuri aendelee kukaa kimya zaidi hata mpaka atakapomaliza muda wake wa uongozi maana mambo serious ya nchi anayawekea gubu la kike.

Huku ni kujinunisha baada ya kuona amesemwa kwa kosa alilolifanya na hana jinsi ya kujitetea kila kitu kiko wazi.

Jana nimemuona msemaji wa serikali bwana Gerson Msigwa akijibu maswali ya Mwandishi wa habari (John) kuhusu bandari akiwa anababaika sana.(unanisikia John!?,alihoji,aliita mara kwa mara maana walikuwa hawamuelewi kwasababu hai-make sense!)

Serikali inatafuta jinsi ya kuchomoka kwenye huu mkataba, kama hakuna makubaliano yoyote mliyoyafanya na DP WORLD, Bungeni mliupeleka ukafanye nini?

Kama mkataba ulisainiwa tangu mwaka jana ,siku zote mlikuwa wapi msiupeleke mapema Bungeni ukajadiliwa?

MUUNGWANA AKIVULIWA NGUO NA UPEPO HUCHUTAMA.
 
Back
Top Bottom