Kujiunga na Chuo cha Usalama wa Taifa kilichopo Mbweni, Bunju

mbona nafasi zenyewe jkt na jeshi nazoo ni ngumu kupataaa

Hapana sio ngumu,

Kama umemaliza masomo na hukwenda mafunzo ya jeshi mwezi wakwanza, basi jiandae kwenda mwezi wa kwanza mwaka ujao!

Ila nikujuzi kidogo jinsi yakuchukuchua watu kutoka JWTZ,JKT

Wanaweza kuwaandaa watu zaidi ya 30 lakini wakawachukua wawili tu, na siku ya kuwachukua
Anaweza kuja afisa wajeshi katika camp yenu akasema,


"Naomba watu wawili wakazibu choo cha maafisa kule kimeziba sana, Sawa!"

Hapo watakao inuka na kuwahi kwenda basi hao ndio wanaondoka jumla kuelekea kwenye ujasusi na sio kuzibua choo!

Kwahiyo nidhamu na uwezo wa kufikiri/akili tena zile za kipaji ndio msingi wa wewe kupata kazi hiyo
 
zamani zile nafasi zilikuwa zinatoka jkt, unajaza form halafu unasubiri wakuchk kwanza ndo wanakustua some times hata miaka mitatu baadae, ilipovunjwa jkt mabosi wa wilaya ndo walokuwa wanapeleka watu ndo palipoharibika, wajomba marafiki na upuuzi mwingine, ndo hao mkibishana bar anatoa kitambulisho, now tht jkt is back i hope wanarudia mtindo wa zamani
 
tafuta kazh nyingine bhana mbona zinalipa!!!kama vle ualimu nk.hhiyo kazi ya usalama haina ishu yeyote!!!unageuzwa m2mwa,cmu yako itackilizwa na mabosi wako!!!TUPA KULE USALAMA WA TAIFA!!
 
Huwa wanachukua jeshini. Nakumbuka wakati tupo jeshini walikuja na walitangaza wazi anayetaka ajiandikishe na ataingia huko baada ya kumaliza jeshi. Tena walionya kuwa mafunzo yao ni magumu zaidi ya yale yw jkt. Tofautisha wana usalama na informer. Informer ni mtu anayewapa clue au kuwapatia habari hawa ndio wapo wengi sana na ni wa aina mbali mbali. Fuatilia kesi ya uhaini ya mwisho akina lugangira walikamatwa kwa taarifa za dreva taksi alikuwa informer wao
 
Umefanikiwa kupata?
habali ndugu zangu wa jf,kwa watu wanaokaa maeneo ya mbweni kuna chuo pale kinaitwa usalama ambacho
kuna mafunzo na masomo ya usalama yanafundishwa na kuna wanafunzi nawaonaga wanasoma ila hawanaga stori na watu.

kwa mtu anaefahamu atuambiee tuuu...wanangaliaaa sifa zipi....na una apply gani.....tusaidieni wenzenu...ambaoo tupo mtaani
 
Mkuu zipo taratibu za kujiunga kitu cha kufanya nenda pale Wizara ya mambo ya ndani muone muhusika pale mapokezi mueleze shida yako atakupa utaratibu kamili.
 
habali ndugu zangu wa jf,kwa watu wanaokaa maeneo ya mbweni kuna chuo pale kinaitwa usalama ambacho
kuna mafunzo na masomo ya usalama yanafundishwa na kuna wanafunzi nawaonaga wanasoma ila hawanaga stori na watu.

kwa mtu anaefahamu atuambiee tuuu...wanangaliaaa sifa zipi....na una apply gani.....tusaidieni wenzenu...ambaoo tupo mtaani

Mbona leo mkono wako unatetemeka mno leo? tofauti na zile posts zako za 'mambo yetu' yalee! Nina wasiwasi, au ndo unatuchuuza?
 
Nafasi za kazi usalama wa taifa huwa hazitangazwi, bali wao ndio hutafuta watu wa kuwaajili kwakufuata taratibu zao za ndani!

Lakini ninavyofahamu kwa sasa wanachukua mojakwa moja kutoka JWTZ, JKT na mafunzo ya mgambo yanayoendelea sasa nchi nzima!

Kutotangazwa kwa nafasi za TISS ni u pu u z i! Hizi nafasi za kazi zinazotakiwa ziwe wazi kwa kila MTZ na sifa ziwe zinajulikana!

FBI na CIA wanatangaza wazi nafasi zao kwa wa Marekani why not Tanzania?
 
Usalama wa taifa hawatangazi hata siku moja huwa wanachukuaga vijana kutoka mashuleni hii sio kitengo cha mchezo kama polisi wanachukua hata wa vuta bangi
 
Sababu ni nyingi,

Lakini kubwa ni mmomonyoko wa maadili katika jamii,

Hivyo angalau ukichukua kutokea kwenye majeshi hayo ambayo nayo yamebadili mofumo yao ya uajiri, utapata watu wenye weledi na wakifundwa vizuri kwa kazi za ujasusi wanakuwa watu imara zaidi!

Sababu ya uimara hapana. Huwa wanabebana wenyewe tu ndio maana kuna usiri wakati wa kuchagua watu.
 
Mhhh!!!! Kumbe chuo unakijua kilipo si nenda kawaeleze shida yako kaka mkubwa!!!!! Si wenzio hata hivyo vyuo hatuvijui vilipo lkn wewe mwanga unao mpaka chuo unakijua si nenda bro kapate taarifa zen uje utujuze hapa jamvini!1

nenda jiamini usiogope wala nini!!!
 
Habari zenu wakuu,,
limekuwa ni lengo langu siku zote kujiunga na Vikosi vya usalama wa taifa, na kila napouliza naambiwa ni mlolongo mrefu, mara wanatafutwa na hawajiungi,
Basi jamani naomba mnitafute na mm,
Npo interested sana kw sabab chache na za msing nlizonazo,itakuwa vyema nkitaftwa kabla sijamaliza chuo,
Ni mawazo yangu, usiponde tafadhali
 
Habari zenu wakuu,,
limekuwa ni lengo langu siku zote kujiunga na Vikosi vya usalama wa taifa, na kila napouliza naambiwa ni mlolongo mrefu, mara wanatafutwa na hawajiungi,
Basi jamani naomba mnitafute na mm,
Npo interested sana kw sabab chache na za msing nlizonazo,itakuwa vyema nkitaftwa kabla sijamaliza chuo,
Ni mawazo yangu, usiponde tafadhali

Umeambiwa hao wanaowatafuta wako humu JF?
 
Back
Top Bottom