Janeting
Member
- Feb 20, 2018
- 40
- 76
Wajuvi wa mambo salaam, nimezaliwa 90s mpaka Sasa sioni dalili za kuwa usalama wa taifa kazi ambayo naipenda sana kutoka moyoni licha ya maslahi ambayo wengi wanakimbilia.
Yaani Mimi hata wasiponilipa Niko radhi kutumikia ilimradi tu niingie kwenye system ya usalama. Kwasasa Mimi ni kiongozi kwenye taasisi Fulani ya serikali upande wa elimu.
Naombeni msaada nitimize ndoto wakuu asanteni. ELIMU yangu ni chuo kikuu 1st degree of education.
Yaani Mimi hata wasiponilipa Niko radhi kutumikia ilimradi tu niingie kwenye system ya usalama. Kwasasa Mimi ni kiongozi kwenye taasisi Fulani ya serikali upande wa elimu.
Naombeni msaada nitimize ndoto wakuu asanteni. ELIMU yangu ni chuo kikuu 1st degree of education.