Kujiunga na Chuo cha Usalama wa Taifa kilichopo Mbweni, Bunju

Du ww dogo mbona kila ishara inaonyesha kuwa ww umedisco Ud?, kingine usalama wa taifa/ usalama wa ssem siku zote lazima uwe mtu mwenye proffesional fulan, ni lazima either mtumishai ktk sector ya umma au binafsi, manake usalama wa taifa lazima uwe kwenye jamii ili uweze kupata nyet kutoka raia, so ukiwa tu f 6, huwez pata hiyo kaz, tafuta kaz nyingine dogo.
 
<br />
<br />
wadau leo ngoja nimuumbue huyu dogo anadai c yey nenda jukwaa la elimu kuna thread ya( habari mbaya kwa wanafunzi 2nd year udsm- COET) Utajua kwamba ndo huyu senetor yey, ana supp so c form 6 kama anavyodai. Mim c bahatishi naona kazidi ku2danganya.

Duh!..bingwa ebu turushie hiyo link mitaa hii ili tuprove kwamba mtoto wa kishua katudanganya thinkers!
 
Nenda ofisini kwao karibu na st.Peter church, kwenye jengo kama meli utapata majibu hapo.
 
yote maisha mdogo wetu. Ili kuingia ni kwa mwaliko kwa kuwa kwa sasa imekuwa family based career
 
Duh!..bingwa ebu turushie hiyo link mitaa hii ili tuprove kwamba mtoto wa kishua katudanganya thinkers![/FONT][/SIZE]
<br />
<br />
me co wa kishua mkuu.ni mtoto wa mkulima wa jembe la mkono..nd kwan kama niko chuo mwaka wa 2 nina tofaut gan na form 6?
 
Kwanini watu wanataka kufanya kazi huko? Au ndo mnataka muanze kututisha mtaani: "Unajua mimi nani?". Crap!!
 
Habali ndugu zangu wa jf,kwa watu wanaokaa maeneo ya mbweni kuna chuo pale kinaitwa usalama ambacho
kuna mafunzo na masomo ya usalama yanafundishwa na kuna wanafunzi nawaonaga wanasoma ila hawanaga stori na watu.

kwa mtu anaefahamu atuambiee tuuu wanangaliaaa sifa zipi na una apply gani tusaidieni wenzenu ambaoo tupo mtaani
 
Nafasi za kazi usalama wa taifa huwa hazitangazwi, bali wao ndio hutafuta watu wa kuwaajili kwakufuata taratibu zao za ndani!

Lakini ninavyofahamu kwa sasa wanachukua mojakwa moja kutoka JWTZ, JKT na mafunzo ya mgambo yanayoendelea sasa nchi nzima!
 
Nafasi za kazi usalama wa taifa huwa hazitangazwi, bali wao ndio hutafuta watu wa kuwaajili kwakufuata taratibu zao za ndani!

Lakini ninavyofahamu kwa sasa wanachukua mojakwa moja kutoka JWTZ, JKT na mafunzo ya mgambo yanayoendelea sasa nchi nzima!

mbona nafasi zenyewe jkt na jeshi nazoo ni ngumu kupataaa
 
Yericko Nyerere kwanini kwa sasa wameamua kuchukulia huko????ni udhaifu wa watu wanaowaajiri au?

Sababu ni nyingi,

Lakini kubwa ni mmomonyoko wa maadili katika jamii,

Hivyo angalau ukichukua kutokea kwenye majeshi hayo ambayo nayo yamebadili mofumo yao ya uajiri, utapata watu wenye weledi na wakifundwa vizuri kwa kazi za ujasusi wanakuwa watu imara zaidi!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom