Kujiunga na Chuo cha Usalama wa Taifa kilichopo Mbweni, Bunju

&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Unazungumzia usalama wa taifa lipi? Kenya,Uganda au malawi?maana hapa kwetu hatuna usalama wa taifa tuna usalama wa CCM tu.
<br />
<br />
Usipotoshe Umma,CCM WANA USALAMA WAO NA SERIKALI INACHOMBO HICHO ACHEN MAJUNGU GREAT THINKER WA INTERNET,
 
Hizo nafasi huwa hazitangazwi, subiri utajikuta umetekwa tu juu kwa juu
Hello wakuu!!kama kuna mwenye mchongo wa job za hao watu,plz naomba anijulishe!elimu yangu,ni ya vidato 6.sababu ya mimi kutaka kuwa nao ni mapenzi yangu binafc 2 na hyo kazi..
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Usipotoshe Umma,CCM WANA USALAMA WAO NA SERIKALI INACHOMBO HICHO ACHEN MAJUNGU GREAT THINKER WA INTERNET,
<br />
<br />
Hivi wale wanyama walioibiwa wakiwa wazima pamoja maliasiri nyinginezo na kupelekwa nchi nyingine na wajanja,usalama wa taifa walikuwepo nchini?au kazi ya usalama wa taifa nini?
 
Nikukute Tegeta Kibao na Cv zako sawa...vaa vzr upendeze..maana unaenda kwenye usaihili..wa kazi ..hahahahahaha
 
Nikukute Tegeta Kibao na Cv zako sawa...vaa vzr upendeze..maana unaenda kwenye usaihili..wa kazi ..hahahahahaha
<br />
<br />
we unadhan wa2 wote humu jf 2naish dar mkuu.me niko huku sumbawanga.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Siku ikitokea kama libya hata humu jf hakuna wa kukaa kujulishana lolote,ni mwendo wa damu kumwagika tu,muhimbili yote itageuka mochwari, nyie wanaharakati wa kujificha mtachukuliwa mizukule.achen dharau na vyombo vya dola.
<br />
<br />

Acha upuuzi ww!unazungumza habari damu kumwagika?ikifika sehemu kazi ya vyombo vya dola ikawa ni kumwaga damu basi mwisho wa hiyo dola itakuwa imefika.
 
Dogo unataka kuwa shushushu kajipendekeze kwa reez1 yeye ndie anaajiri hao jamaa
 
<br />
<br />
wadau leo ngoja nimuumbue huyu dogo anadai c yey nenda jukwaa la elimu kuna thread ya( habari mbaya kwa wanafunzi 2nd year udsm- COET) Utajua kwamba ndo huyu senetor yey, ana supp so c form 6 kama anavyodai. Mim c bahatishi naona kazidi ku2danganya.
duh,umemkomalia,nathani hana hamu
 
Back
Top Bottom