Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We c unasoma udsm wew! Tena una supplimentary, kasome dogo kwanz kaz utapata tu,
We c unasoma udsm wew! Tena una supplimentary, kasome dogo kwanz kaz utapata tu,
yaani hapa umenichekesha kwahiyo unaomba kazi uwt ili Kikwete akihongwa suti na wewe upewe vijamba koti hahahah<br />
<br />
hapana,me naona ndo ndoto zangu zko hapo mkuu.
<br />Hello wakuu!!kama kuna mwenye mchongo wa job za hao watu,plz naomba anijulishe!elimu yangu,ni ya vidato 6.sababu ya mimi kutaka kuwa nao ni mapenzi yangu binafc 2 na hyo kazi..
<br /><br /><br />
<br /><br />
Unazungumzia usalama wa taifa lipi? Kenya,Uganda au malawi?maana hapa kwetu hatuna usalama wa taifa tuna usalama wa CCM tu.
Pole sana ndg yangu! Kwa jinsi ninavyokumbuka hao watu hawatangazagi nafasi publicaly. So hii ina maana wana namna yao ya kupata watu wa kufaa kwa taaluma yao. Kwa vyovyote inavyokuwa sidhani kama kuna mtu anayeweza kukwambia cha kufanya na kama atafanya siyo humu kwenye forum. nakushauri jaribu ku switch uelekeo. Wkati flani nafikiri kuliko kusubiria majibu humu ni afadhali ulenge ofisi zao. Najua unaweza usipate jibu la moja kwa moja but utapata pa kushika kama utakuwa unajua kufikiria. Good luckHello wakuu!!kama kuna mwenye mchongo wa job za hao watu,plz naomba anijulishe!elimu yangu,ni ya vidato 6.sababu ya mimi kutaka kuwa nao ni mapenzi yangu binafc 2 na hyo kazi..
<br /><br /><br />
<br /><br />
duh!!mkuu,kwan bongo hamna usalama taifa?me huo wa ccm siujui na wala siuhitaji.
<br /><br /><br />
<br /><br />
umenifananisha mkuu,ujue humu jf kuna senetor ambae ni mim na kuna senator ambae ni m2 mwngne so labda utakua ume2mix.