Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
Acha uongoYes uko sahihi mkuu wanawafuatilia sn bila wao kujua....
Mi namfaham 1 kamaliza udsm
Anasema aliitwa hicho chumba kipo full ....kuna wakubwa wa hii nchi waliopo kwenye system wengine hawajui....
Akashangaa wanamjua jina full, alikozaliwa kijijini huko hadi wazazi wake walikotokea....
Mawasiliano yake ya miezi km sita hiv yamedsplay kweny comp. Pale....
Walimtumia hadi wanawake warembo lkn hakudate nao...so alifanya nao kazi akiwa chuo hapo km mpelelezi ninoma!
Yaani kuna mambo dah akikusimulia dah, huwezi kuipenda hyo kazi!