Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,902
Hivi hawa mabwana (TISS) hawana wavuti?
Haaa haaa Haaa haaa teeeh teeeh.
Mkuu,
Nenda pale , Magogoni au ukiona rais siku anahutubia mahala popote pale wewe waendee wale jamaa walio huku karibu na wananchi wenye viwaya masikioni kisha waombe utapewa anuwani ya wavuti yao mubashara kabisa bila chengachenga.