Uko sahihi..kabisaHapana sio ngumu,
Kama umemaliza masomo na hukwenda mafunzo ya jeshi mwezi wakwanza, basi jiandae kwenda mwezi wa kwanza mwaka ujao!
Ila nikujuzi kidogo jinsi yakuchukuchua watu kutoka JWTZ,JKT
Wanaweza kuwaandaa watu zaidi ya 30 lakini wakawachukua wawili tu, na siku ya kuwachukua
Anaweza kuja afisa wajeshi katika camp yenu akasema,
"Naomba watu wawili wakazibu choo cha maafisa kule kimeziba sana, Sawa!"
Hapo watakao inuka na kuwahi kwenda basi hao ndio wanaondoka jumla kuelekea kwenye ujasusi na sio kuzibua choo!
Kwahiyo nidhamu na uwezo wa kufikiri/akili tena zile za kipaji ndio msingi wa wewe kupata kazi hiyo
Mkuu huwa ni connection au directory inatoka mbali sana kukutafuta na kukufuatilia ila wengi wanakuwa selected toka kwenye shule na vyuo kwa vigezo maalum.habali ndugu zangu wa jf,kwa watu wanaokaa maeneo ya mbweni kuna chuo pale kinaitwa usalama ambacho
kuna mafunzo na masomo ya usalama yanafundishwa na kuna wanafunzi nawaonaga wanasoma ila hawanaga stori na watu.
kwa mtu anaefahamu atuambiee tuuu...wanangaliaaa sifa zipi....na una apply gani.....tusaidieni wenzenu...ambaoo tupo mtaani
Kwani kuna ulazima kwa watanzania wote tukafanya kazi za ushushushu? Mbona kuna shughuli nyingi sana tu zinaweza kukuingizia kipato cha halali? Komaa sana mkuu
Uminiwahi mkuu, swali muhimu sanaHiyo avatar ni wewe huyo?
Dume hiloHiyo avatar ni wewe huyo?
Dume hiloUminiwahi mkuu, swali muhimu sana
DoohDume hilo
Dume hilo
Waambie hao<br />
<br />
Usipotoshe Umma,CCM WANA USALAMA WAO NA SERIKALI INACHOMBO HICHO ACHEN MAJUNGU GREAT THINKER WA INTERNET,
Mkuu kazi hiyo haitolewi kwa style ya matangazo wala kwa kuitafuta bali kama bahati yako kazi hiyo itakutafuta wewe popote ulipo mradi uwe na sifa na uwe eneo husika wakati sahihi. Hiyo ni kazi ya mheshimiwa Rais. Unafanya kazi sio ya umma kama zingine bali unafanya kazi ya Mh. Raisi.Hello wakuu!!kama kuna mwenye mchongo wa job za hao watu,plz naomba anijulishe!elimu yangu,ni ya vidato 6.sababu ya mimi kutaka kuwa nao ni mapenzi yangu binafc 2 na hyo kazi..
hamna huyu hasomi, check join date fe 24-2011 ni mkongwe sana wa jukwaaWe c unasoma udsm wew! Tena una supplimentary, kasome dogo kwanz kaz utapata tu,
Hivi hukupigwa ban kwa post hii?yaani hapa umenichekesha kwahiyo unaomba kazi uwt ili Kikwete akihongwa suti na wewe upewe vijamba koti hahahah