Hivi inawezekana kumaliza chuo bila kuingia kwenye mahusiano

Dec 13, 2023
30
106
Habari wanajf,

Kipindi tupo O level tulikuwa tunakatazwa kuingia kwenye mahusiano huku tukiambiwa tutayakuta chuo.

Tukaenda advance tukaendelea kutiwa moyo zaidi huku tukisisitiziwa kwamba chuo hata boy anatongozwa.
Lakini sasa ni miezi kadhaa tangu nifike chuo sioni dalili zozote za kupata girlfriend. 😊.

Sasa hapa ni aidha nianze kuwa mtongozaji kama jamaa wengine au niishi maisha yangu bila kujali mahusiano.
Nipo kupokea mawazo yenu wakuu.
 
Habari wanajf
Kipindi tupo O level tulikuwa tunakatazwa kuingia kwenye mahusiano huku tukiambiwa tutayakuta chuo...
kama kuna shida ya kiafya au kiuchumi achana nayo hiyo kitu sio nzuri kabisa, kiafya na kiuchumi tena ukiwa masomoni....

lakin pia kama huna muda wa ziada baada ya masomo, nayo ni vizuri kutojihusisha na hiyo kitu, ili upate muda mzuri na wakutosha zaid, wa kupumzika na kupata nguvu zaid ya kuzingatia masomo na kusoma kwa bidii ili kufauli vizuri...

watoto wazuri wapo tu, harakaharaka haina baraka, punyeto, sio nzuri kwa afya, ni miongoni mwa sababu ya tatizo la upungufu wa nguvu za kijunsia hasa mijini....
 
Habari wanajf
Kipindi tupo O level tulikuwa tunakatazwa kuingia kwenye mahusiano huku tukiambiwa tutayakuta chuo.

Tukaenda advance tukaendelea kutiwa moyo zaidi huku tukisisitiziwa kwamba chuo hata boy anatongozwa.
Lakini sasa ni miezi kadhaa tangu nifike chuo sioni dalili zozote za kupata girlfriend. 😊.

Sasa hapa ni aidha nianze kuwa mtongozaji kama jamaa wengine au niishi maisha yangu bila kujali mahusiano.
Nipo kupokea mawazo yenu wakuu.
Kwa mwanaume kama huna jambo inawezekana ila kwa mwanamke ni ngumu sana.
 
Habari wanajf
Kipindi tupo O level tulikuwa tunakatazwa kuingia kwenye mahusiano huku tukiambiwa tutayakuta chuo.

Tukaenda advance tukaendelea kutiwa moyo zaidi huku tukisisitiziwa kwamba chuo hata boy anatongozwa.
Lakini sasa ni miezi kadhaa tangu nifike chuo sioni dalili zozote za kupata girlfriend. .

Sasa hapa ni aidha nianze kuwa mtongozaji kama jamaa wengine au niishi maisha yangu bila kujali mahusiano.
Nipo kupokea mawazo yenu wakuu.

Hivi mahusiano chuoni yanawapa faida gani? Mbona Kama hasara nyingi kuliko faida my

Dada ako hapa nilimaliza chuo sikuwai kuwa na mahusiano yoyote watu walikuwa wanahisi tu ila nilikuwa single chuo… shemeji yako alikuwa mtaani huko anapambana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom