Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,791
Kuzaliwa tu ukiwa hai ni alama tosha kwamba kwenye universe ulikuwa na nafasi yako! Binafsi sioni ubaya wowote wa kutunza kumbu kumbu za wapendwa wetu waliotutangulia mbele ya haki kwa kutunza maeneo yalipohifadhiwa masalia ya miili yao kwa kunakshi kwa namna ambayo wahifadhi wataona inafaa! Nafikiri ifike mahali hata Architects wadesign makaburi kiusanifu ili kuwa sehemu ya landscape badala ya kuruhusu tu kuinuka kwa landmark ambazo zinachukua sehemu kubwa na kuwa uchafu kwa kukosa matunzo