Kujengea makaburi ya Waliotutangulia - Kuna umuhimu wowote?

Kujengea makaburi ya Waliotutangulia - Kuna umuhimu wowote?

Sawa ndugu. Ila swala hapa ni kumbukumbu ndio point yangu. Kama waishivyo ndani ya nyoyo zetu na swala la kujengea limekaa kihisia zaidi. Ukiona haina maana kumjengea ni una sababu zako ila kwa kuongelea hii thread basi nitasimamia katika kujengea makaburi kwasababu ya kumbukumbu

Kumbukumbu na hesabu za walio hai na walio kufa anazo Mungu sisi jukumu letu ni kutafakar tutakufaje na tukiwa upande gani? mengine ni ubatili.
 
Mtu akifa hapashwi kukumbukwa awe mama, baba, kaka dada etc. Yesu aliposema acha wafu wawazike wafu wenzao hakuropoka alikuwa na maana, Ukishakufa wewe ni mzoga, kinachachobakia ni kukuweka kwenye ardhi tu.

Kukumbukwa hakuepukwi na kufanywe kiroho physically ni kwishney
 
Tulifanya kwani ni utamaduni tuu kufanya hivyo.
Swali linasema kuwa je kufanya hivyo ni lazima au kuna umuhimu wowote?
Jibu kama nilivyosema,"hakunaga"

ndiyo ujue utamaduni una umuhimu wake.
 
ndiyo ujue utamaduni una umuhimu wake.

Ni kwamba,
1.Kuna vitu ambavyo ni muhimu na haraka lakini sio lazima.
2.Kuna vitu ambavyo ni vya haraka na lazima lakini sio muhimu.
3.Na vingine ambavyo ni vya haraka,lazima na pia ni muhimu.

Ujenzi wa makaburi upo kwenye kundi la kwanza.
 
Ni kwamba,
1.Kuna vitu ambavyo ni muhimu na haraka lakini sio lazima.
2.Kuna vitu ambavyo ni vya haraka na lazima lakini sio muhimu.
3.Na vingine ambavyo ni vya haraka,lazima na pia ni muhimu.

Ujenzi wa makaburi upo kwenye kundi la kwanza.

Hahahaaa, geuza sentensi mkuu, haina haraka, wala si lazima, lakini ni muhimu kama una uzewezo. Binafsi kuna makaburi kadhaa nafsi inaniambia nikayajengee, lakini hali inaniambia yanaweza kungoja kidogo, lakini ninao mpango wa kutekeleza, wala haina haja ya kusumbua wana ukoo ni kutoa pesa mfukoni na kufanya vile unavyoona vyema.
 
Unaijua Taj Mahal?
Soma hiyo utaona tofauti yako na wahenga! The Taj Mahal in India was built by a grief-stricken emperor Shah Jahan. His wife Mumtaz Mahal died in 1631 while giving birth to their 14th child. Construction of the Taj Mahal began one year later and it was built to be the final resting place of Mumtaz Mahal. Different types of marble from all over the world were used to build this mausoleum. Today, millions of people come from all over the world to visit this famous and beautifully designed Islamic tomb in Agra, a city in northern India.Interesting Taj Mahal Facts:Mumtaz Mahal was Shah Jahan's third wife. Her name was originally Arjumand Bano Begum but when she married Shah Jahan she was christened as Mumtaz Mahal which means ‘Jewel of the Palace', or ‘Chosen One of the Palace'.Taj Mahal means ‘crown of places'.The Taj Mahal took approximately 20 years and approximately 20,000 workers to complete. There were also about 1000 elephants used to transport the materials needed for construction.The Taj Mahal complex also has additional mausoleums, a mosque, a reflecting pool and large garden to add to its beauty.The Taj Mahal stands at 561 feet tall.The material used to build the Taj Mahal is white marble. The marble used in construction was brought from many different countries.The Taj Mahal has a large white dome surrounded by four smaller domes. The large white dome in the center is approximately 115 feet tall.The color of Taj Mahal appears to change color depending on the time of day. The color change also depends on whether there is moonlight at night.There were about 28 different types of precious and semi-precious stones inlaid into the burial tomb of the Taj Mahal. During the Indian Rebellion in 1857, many of the precious stones were stripped from the walls of the tomb.Over 200,000 tourists from overseas and as many as 2 to 4 million people visit the Taj Mahal every year.UNESCO has designated the Taj Mahal as a World Heritage Site and it is also one of the New Seven Wonders of the World. The ‘New' Seven Wonders of the world were chosen by people voting from all over the world.There are 99 names of Allah inscribed calligraphically on the side of Mumtaz Mahal's actual tomb.The four pillars around the main dome were built to slant away from the dome slightly. This was done to help protect the tomb if the pillars ever collapsed.The cost to build the Taj Mahal was about 35 million rupees, which would be about 1 million American dollars. In 1632 that would be an enormous amount of money to spend on a mausoleum.It was rumored that Shah Jahan had the hands cut off from the people who worked on the Taj Mahal once it was complete. His reasoning was that nobody would ever be able to build such a beautiful building ever again. Nobody has been able to prove that this story is true.Although the Taj Mahal was built for Mumtaz Mahal, Shah Jahan was also laid to rest in the tomb alongside his late wife.
Related Links:

The Taj Mahal in India was built by a grief-stricken emperor Shah Jahan. His wife Mumtaz Mahal died in 1631 while giving birth to their 14th child. Construction of the Taj Mahal began one year later and it was built to be the final resting place of Mumtaz Mahal. Different types of marble from all over the world were used to build this mausoleum. Today, millions of people come from all over the world to visit this famous and beautifully designed Islamic tomb in Agra, a city in northern India.Interesting Taj Mahal Facts:Mumtaz Mahal was Shah Jahan's third wife. Her name was originally Arjumand Bano Begum but when she married Shah Jahan she was christened as Mumtaz Mahal which means ‘Jewel of the Palace', or ‘Chosen One of the Palace'.Taj Mahal means ‘crown of places'.The Taj Mahal took approximately 20 years and approximately 20,000 workers to complete. There were also about 1000 elephants used to transport the materials needed for construction.The Taj Mahal complex also has additional mausoleums, a mosque, a reflecting pool and large garden to add to its beauty.The Taj Mahal stands at 561 feet tall.The material used to build the Taj Mahal is white marble. The marble used in construction was brought from many different countries.The Taj Mahal has a large white dome surrounded by four smaller domes. The large white dome in the center is approximately 115 feet tall.The color of Taj Mahal appears to change color depending on the time of day. The color change also depends on whether there is moonlight at night.There were about 28 different types of precious and semi-precious stones inlaid into the burial tomb of the Taj Mahal. During the Indian Rebellion in 1857, many of the precious stones were stripped from the walls of the tomb.Over 200,000 tourists from overseas and as many as 2 to 4 million people visit the Taj Mahal every year.UNESCO has designated the Taj Mahal as a World Heritage Site and it is also one of the New Seven Wonders of the World. The ‘New' Seven Wonders of the world were chosen by people voting from all over the world.There are 99 names of Allah inscribed calligraphically on the side of Mumtaz Mahal's actual tomb.The four pillars around the main dome were built to slant away from the dome slightly. This was done to help protect the tomb if the pillars ever collapsed.The cost to build the Taj Mahal was about 35 million rupees, which would be about 1 million American dollars. In 1632 that would be an enormous amount of money to spend on a mausoleum.It was rumored that Shah Jahan had the hands cut off from the people who worked on the Taj Mahal once it was complete. His reasoning was that nobody would ever be able to build such a beautiful building ever again. Nobody has been able to prove that this story is true.Although the Taj Mahal was built for Mumtaz Mahal, Shah Jahan was also laid to rest in the tomb alongside his late wife.
Related Links:
 
Unaijua Taj Mahal?
Soma hiyo utaona tofauti yako na wahenga! The Taj Mahal in India was built by a grief-stricken emperor Shah Jahan. His wife Mumtaz Mahal died in 1631 while giving birth to their 14th child. Construction of the Taj Mahal began one year later and it was built to be the final resting place of Mumtaz Mahal. Different types of marble from all over the world were used to build this mausoleum. Today, millions of people come from all over the world to visit this famous and beautifully designed Islamic tomb in Agra, a city in northern India.Interesting Taj Mahal Facts:Mumtaz Mahal was Shah Jahan's third wife. Her name was originally Arjumand Bano Begum but when she married Shah Jahan she was christened as Mumtaz Mahal which means ‘Jewel of the Palace', or ‘Chosen One of the Palace'.Taj Mahal means ‘crown of places'.The Taj Mahal took approximately 20 years and approximately 20,000 workers to complete. There were also about 1000 elephants used to transport the materials needed for construction.The Taj Mahal complex also has additional mausoleums, a mosque, a reflecting pool and large garden to add to its beauty.The Taj Mahal stands at 561 feet tall.The material used to build the Taj Mahal is white marble. The marble used in construction was brought from many different countries.The Taj Mahal has a large white dome surrounded by four smaller domes. The large white dome in the center is approximately 115 feet tall.The color of Taj Mahal appears to change color depending on the time of day. The color change also depends on whether there is moonlight at night.There were about 28 different types of precious and semi-precious stones inlaid into the burial tomb of the Taj Mahal. During the Indian Rebellion in 1857, many of the precious stones were stripped from the walls of the tomb.Over 200,000 tourists from overseas and as many as 2 to 4 million people visit the Taj Mahal every year.UNESCO has designated the Taj Mahal as a World Heritage Site and it is also one of the New Seven Wonders of the World. The ‘New' Seven Wonders of the world were chosen by people voting from all over the world.There are 99 names of Allah inscribed calligraphically on the side of Mumtaz Mahal's actual tomb.The four pillars around the main dome were built to slant away from the dome slightly. This was done to help protect the tomb if the pillars ever collapsed.The cost to build the Taj Mahal was about 35 million rupees, which would be about 1 million American dollars. In 1632 that would be an enormous amount of money to spend on a mausoleum.It was rumored that Shah Jahan had the hands cut off from the people who worked on the Taj Mahal once it was complete. His reasoning was that nobody would ever be able to build such a beautiful building ever again. Nobody has been able to prove that this story is true.Although the Taj Mahal was built for Mumtaz Mahal, Shah Jahan was also laid to rest in the tomb alongside his late wife.
Related Links:

The Taj Mahal in India was built by a grief-stricken emperor Shah Jahan. His wife Mumtaz Mahal died in 1631 while giving birth to their 14th child. Construction of the Taj Mahal began one year later and it was built to be the final resting place of Mumtaz Mahal. Different types of marble from all over the world were used to build this mausoleum. Today, millions of people come from all over the world to visit this famous and beautifully designed Islamic tomb in Agra, a city in northern India.Interesting Taj Mahal Facts:Mumtaz Mahal was Shah Jahan's third wife. Her name was originally Arjumand Bano Begum but when she married Shah Jahan she was christened as Mumtaz Mahal which means ‘Jewel of the Palace', or ‘Chosen One of the Palace'.Taj Mahal means ‘crown of places'.The Taj Mahal took approximately 20 years and approximately 20,000 workers to complete. There were also about 1000 elephants used to transport the materials needed for construction.The Taj Mahal complex also has additional mausoleums, a mosque, a reflecting pool and large garden to add to its beauty.The Taj Mahal stands at 561 feet tall.The material used to build the Taj Mahal is white marble. The marble used in construction was brought from many different countries.The Taj Mahal has a large white dome surrounded by four smaller domes. The large white dome in the center is approximately 115 feet tall.The color of Taj Mahal appears to change color depending on the time of day. The color change also depends on whether there is moonlight at night.There were about 28 different types of precious and semi-precious stones inlaid into the burial tomb of the Taj Mahal. During the Indian Rebellion in 1857, many of the precious stones were stripped from the walls of the tomb.Over 200,000 tourists from overseas and as many as 2 to 4 million people visit the Taj Mahal every year.UNESCO has designated the Taj Mahal as a World Heritage Site and it is also one of the New Seven Wonders of the World. The ‘New' Seven Wonders of the world were chosen by people voting from all over the world.There are 99 names of Allah inscribed calligraphically on the side of Mumtaz Mahal's actual tomb.The four pillars around the main dome were built to slant away from the dome slightly. This was done to help protect the tomb if the pillars ever collapsed.The cost to build the Taj Mahal was about 35 million rupees, which would be about 1 million American dollars. In 1632 that would be an enormous amount of money to spend on a mausoleum.It was rumored that Shah Jahan had the hands cut off from the people who worked on the Taj Mahal once it was complete. His reasoning was that nobody would ever be able to build such a beautiful building ever again. Nobody has been able to prove that this story is true.Although the Taj Mahal was built for Mumtaz Mahal, Shah Jahan was also laid to rest in the tomb alongside his late wife.
Related Links:

haya, jadili sasa ukirelate na mada ya mkuu charminglady.
 
Last edited by a moderator:
Wengine tutakaochomwa moto na majivu kutupwa baharini hatutaacha maswali kama hayo.

Ila mimi naweza kuelewa watu wakitaka kujenga kwa.kuonesha heshima.

Ingawa hizo funds zingeweza kumsaidia vizuri marehemu kabla hajafa.

Hata hivyo zitaenda kusaidia wengine katika.mzunguko wa fedha, vibaya kuziweka.kwenye mabenki ya nje mpaka.unakufa halafu zinapotea.

Lakini ukijengea kaburi hata fundi atapatia hapo hapo.

Kufa kufaana, kuishi milele laana.
 
Ni vizuri kujengea kwa ajili ya kumbukumbu. Fikiria mzazi aliyefariki akaacha watoto wadogo wakija kukua wataonyeshwa kuwa pale ndipo alizikwa mzazi wenu ukiliacha tu ule udongo utasambaratika na kaburi halitoonekana tena.
Nakshi kwenye ujenzi sasa inategemea na uwezo wa familia husika,wakati wewe unaona kuweka tiles ni gharama kuna wanaoona huo ndio ujenzi wa kawaida kabisa. Hata nyumba tunazoishi zinatofautiana thamani kutegemeana na uwezo wa wanafamilia.

Kujengea kaburi siyo kosa hata, fedha itumikayo kujengea kaburi haichangishwi kutoka mifukoni mwa watu kadhaa kama inavyoelezewa na mleta mada hii ni gharama ambayo huwa inatolewa
 
We mdada ni mbururaa kama huna ela kaa kimyaaaa hayakuhusu makaburi ya watu,me mama yangu kafariki nipo kwenye mpango wakujengea kaburi tena natamani niwaweke wachina kabisa pia inaonesha upendo kwa ndugu aliyekutoka so we kama huna ela kopa au pitisha bakuri humu jamvini na sio kupost utumbo kama huo.
 
Yesu alisema waache wafu wazikane wenyewe, wewe unauchungu na huruma kuliko yesu aliyekufa kwa ajili ya ulimwengu? Baada ya dhambi Mungu alisema tuliumbwa kwa udongo mavumbini tutarudi tusiishi kuufata mwili tuishi kwa kanuni za Mungu tunapotea bila kujijua.

Lugha ya Biblia ni ngumu, Yesu alizikwa na Yusuf wa Alimataya wakishirikiana na Nicodemo baada ya wanafunzi wake kuingia mitini,tena alizikwa ktk kaburi lilichongwa mwambani kwa ajili ya tajiri fulani wa mji ule.

Je Yusuf na Nicodemo na yule mwenye kaburi walikuwa wafu? Wawili hawa ( Yusuf na Nicodemo walikuwa wanafunzi wa siri wa Yesu na ndio waliomzika). Unaweza kufafanua hapo kidogo?
 
Nazungumzia kisa cha mmoja wa wanafunzi wake aliyetaka kwenda kumzika baba yake ndipo yesu akamjibu wache wafu wazikane. kikubwa nacho maanisha marehemu wasichukuwe nafasi hadi kuwa kama ibada na utamaduni wa maisha ya wasio na imani.
 
Nazungumzia kisa cha mmoja wa wanafunzi wake aliyetaka kwenda kumzika baba yake ndipo yesu akamjibu wache wafu wazikane. kikubwa nacho maanisha marehemu wasichukuwe nafasi hadi kuwa kama ibada na utamaduni wa maisha ya wasio na imani.

Lugha ya Biblia ni ngumu, Yesu alizikwa na Yusuf wa Alimataya wakishirikiana na Nicodemo baada ya wanafunzi wake kuingia mitini,tena alizikwa ktk kaburi lilichongwa mwambani kwa ajili ya tajiri fulani wa mji ule.

Je Yusuf na Nicodemo na yule mwenye kaburi walikuwa wafu? Wawili hawa ( Yusuf na Nicodemo walikuwa wanafunzi wa siri wa Yesu na ndio waliomzika). Unaweza kufafanua hapo kidogo?

Nimeeleweka?
 
hapana ni mhim sana cz hii ianabaki kuwa kumbukumbu za vizazi na vizaz bila hivyo kabur hupotea na kupoteza kumbukumbu
 
Mie hata wakinitupa bila kuzika it up to wao.. Wakati huo sitakuwa charminglady bali marehemu. Uzuri hakuna jalala la binadamu najua tu watanichimbia shimo waniweke....

Tena nitapenda hata mwili wangu ufanyiwe "practical" Ngoja nitafute ni jinsi gani naweza fanya hivi. Sitaki kumbukumbu yangu iwekwe katika kaburi langu!!! Nawish nipoteelee mavumbini tu!!

Nenda Muhas au Bugando. Na uandike wosia uuache kwa mwanasheria. Nahisi cadava yako itakuwa safi sana
 
Last edited by a moderator:
kujengea kabuli kuna maana kubwa sana, sababu ni kumbukumbu ya mpendwa wenu kwa kizazi cha sasa na cha baadaye,pia kuna ashiria iwapo hayupo lakin stil mwamthamin kwa kupaweka safi na pa kudugu sehemu mwili wake ulipopumzika,swala la kuweka maru maru na urembo mwingine..hiyo ni uwezo wa mtu au familia husika,coz kama unaweza kufanya hivyo why usimfanyie mpendwa wenu.
Ni sawa sawa na nyumbwa tunazo ishi,wengine wanajenga magorofa,wengine nyumbwa za kawaida,wengine wanaweka vigae, wengine wanaweka bati, wengine wanapaka rangi nyumba, wengine hawapaki rangi......... hii ni kutokana tu na kipato ulicho nacho.
 
Ww usijenge sist tutawaenzi marehemu mpk kufa.baba yangu kafariki nikiwa mdogo. Sasa nimekua nna uwezo nisimjengee kaburi lake?angekua hai ningemnunulia suti. Kafariki hela ya suti itamjengea kaburi. We yako kanywee bia bahili wahed
acha hizo mtu asha kufa unahangaika nini, jengea ila siyo sana,jengea kwani ni tendo la kiimani zaidi
 
Habari za asubuhi ya leo wapendwa wana Jamvi....

Kwanza niombe radhi kwa nitakaowakwaza kwa namna moja ama nyingine.

Kuna suala hili huwa linanitatiza naomba kuelewesha.

Kumezuka tabia ya kujengea makaburi kwa marumaru ya samani za aina tofauti tofauti tena zenye gharama kubwa, Utakuta mtu alikuwa anaumwa kwa muda mrefu lakini watu hawakujitokeza kumhudumia lakini baada ya mtu huyo kufariki dunia wanajitokeza ndugu, jamaa na marafiki wanapanga mipango ya kujengea kaburi lake na kuweka nakshi ya kila aina.

Je watu hawa walikuwa wapi wakati wa ugonjwa??

Je kujengea kaburi hilo kutamsaidia nini yule marehemu??

Kuna watu wanafariki ghafla aidha kwa ajali ama kifo cha aina yoyote ila kwa ghafla... Kuna ulazima gani wa kulinakshi kaburi???

Tena kuna wengine wamekwenda mbali wakaanza kutafuta makaburi haya ya mababu zao na kuanza kuyajengea na kuyaweka katika hali ya unadhifu kana kwamba kilichomo ndani yake kina thamani... Tena na kufanya sherehe sijui ya kujengea makaburi... Ni nini maana yake???

Kwa mtazamo wangu ujenzi huu wa kuweka nakshi ni kugharamika kusiko na faida...

N.B. Ni mtazamo tu naomba nisipondwe mawe....

Ni kwa mantiki sawa na ile ya historical sites, ni kuweka kumbukumbu kwa waliobaki.Babu yako aliyefariki kabla hujazaliwa unapata nafsi ya kujua aliishi wapi na alizikwa wapi, na lini, nadhani ni hilo tu!
 
Back
Top Bottom