Naomba mnitoe porini wana Jf, eti kujenga makaburi au kumbukumbu ya kifo ni Siku ya SHEREHE au HUZUNI?
Inategemea na dini, kabila, na unachokiamini wewe.
Naomba mnitoe porini wana Jf, eti kujenga makaburi au kumbukumbu ya kifo ni Siku ya SHEREHE au HUZUNI?
Makaburi hupotea lakini ukiyajenga huweka kumbukumbu japo Ardhi hii tuliopo ina makaburi ya wafu wengi waliotutangulia enzi za Gharika, njoo uandaliwe michoro ya kaburi hapa kama uonavyo design hii na nyinginezo
Makaburi hupotea lakini ukiyajenga huweka kumbukumbu japo Ardhi hii tuliopo ina makaburi ya wafu wengi waliotutangulia enzi za Gharika, njoo uandaliwe michoro ya kaburi hapa kama uonavyo design hii na nyinginezo
Naomba mnitoe porini wana Jf, eti kujenga makaburi au kumbukumbu ya kifo ni Siku ya SHEREHE au HUZUNI?
Niko kwenye kelele....!
Naomba mnitoe porini wana Jf, eti kujenga makaburi au kumbukumbu ya kifo ni Siku ya SHEREHE au HUZUNI?
naona unajipiga promoMakaburi hupotea lakini ukiyajenga huweka kumbukumbu japo Ardhi hii tuliopo ina makaburi ya wafu wengi waliotutangulia enzi za Gharika, njoo uandaliwe michoro ya kaburi hapa kama uonavyo design hii na nyinginezo
Habari za asubuhi ya leo wapendwa wana Jamvi....
Kwanza niombe radhi kwa nitakaowakwaza kwa namna moja ama nyingine.
Kuna suala hili huwa linanitatiza naomba kuelewesha.
Kumezuka tabia ya kujengea makaburi kwa marumaru ya samani za aina tofauti tofauti tena zenye gharama kubwa, Utakuta mtu alikuwa anaumwa kwa muda mrefu lakini watu hawakujitokeza kumhudumia lakini baada ya mtu huyo kufariki dunia wanajitokeza ndugu, jamaa na marafiki wanapanga mipango ya kujengea kaburi lake na kuweka nakshi ya kila aina.
Je watu hawa walikuwa wapi wakati wa ugonjwa??
Je kujengea kaburi hilo kutamsaidia nini yule marehemu??
Kuna watu wanafariki ghafla aidha kwa ajali ama kifo cha aina yoyote ila kwa ghafla... Kuna ulazima gani wa kulinakshi kaburi???
Tena kuna wengine wamekwenda mbali wakaanza kutafuta makaburi haya ya mababu zao na kuanza kuyajengea na kuyaweka katika hali ya unadhifu kana kwamba kilichomo ndani yake kina thamani... Tena na kufanya sherehe sijui ya kujengea makaburi... Ni nini maana yake???
Kwa mtazamo wangu ujenzi huu wa kuweka nakshi ni kugharamika kusiko na faida...
N.B. Ni mtazamo tu naomba nisipondwe mawe....
upuuz tu kujengea makaburi na inatokana na mila za kipagani wale wanaoamini ukimuomba marehem basi atakusaidia WENYEWE WANA SALA HATA ZA MAREHEMU kinachoharibu ni kuwa wengine wamerithi hizi tabia bila kufahamu kama vile walivyomzalisha Yesu trh 25/12 HAKIKA ni vijidalili vya dunia kupinduka ndio maana tumesahaulishwa kumuuguza mgonjwa hila kufanya laana ya kifedha kwenye msiba DUNIA TAMU SANA HII.