Kuiper Belt: Behind the certain

Kuiper Belt: Behind the certain

Lakini kitu cha kustaajabisha sana ni kuwa wameweza kueleza kwa ufasaha sana vitu vinavyoishi ndani ya hiyo kuiper belt, hadi kufikia ku-categorize aina ya hao aliens na tabia zao hadi mission zao na jinsi wanavyotuchukulia sisi.
kila aina na mipango iliyonayo kuhusu binadamu, as if kama hao wataalamu walikaa meza moja na hao aliens na kupia story.

Sasa inakua vigumu kidogo mtu kuelewa kwa kweli maana kama huo ukanda tu bado hawaujui kwa asilimia mia unawezaje kujua kilichopo ndani yake na kukielezea kwa ufasaha namna hiyo.

kwa mafano mtu ameona nyumba kwa mbali na kwa sababu ya umbali hawezi kujua rangi ya bati la hiyo nyumba kuwa ni blue au kijani, lakini hapo hapo anakuelezea kwa ufasaha kuhusu mazingira ya ndani ya nyumba jinsi yalivyo.

inakua na ukakasi sana kuelewa
Mkuu

Nafurahi sana kusikia kuwa unasoma maandiko yangu kwa makini lakini pia ninafurahi kujua kuwa umesoma na baadaye umeuliza pale ambapo umeshindwa kuelewa....

Iko namna hii..

Uwepo wa Aliens upo kabla hata ya ugunduzi wa Kuiper Belt hivyo basi ya uwepo wa Aliens siyo Kuiper Belt isipokuwa tu baada ya kugunduliwa kwa mkanda huu kuna wataalam wamefanya utafiti na kujua kuwa huko ndiko makao ya hawa Aliens jambo ambalo linaweza kuwa siyo kweli...

Kwa taarifa nilizozipata siku chache zilizopita ni kwamba Aliens wanafanya kukutana huko kwenye Kuiper Belt kwaajili ya kuandaa mpango wao wa kuja duniani ramsi na inadaiwa kuwa siyo mbali sana tukio hili litatokea hivyo tunaambiwa tukae tayari tayari....

Pamoja na hayo yote ni kwamba uwepo wa Aliens na mission zao kutuhusu pamoja na aina ya hao Aliens haijajulikana baada ya kujulikana kwa Kuiper Belt bali kabla ya hapo kwasababu Aliens wamekuwa wakishirikiana na binadamu kwa mambo mengi sana na wamekuwa wakieleza mengi kuwahusu....

Kitu ambacho wengi wanapaswa wakielewe ni kwamba,haijajulikana haswa hawa Aliens wanapanga nini au lengo lao ni nini kwa hakika kwasababu inawezekana hao Alines hawatoi taarifa sahihi kwa binadamu au wanaweza kuwa wanatoa taarifa sahihi...

Pia inawezekana wanaotueleza hawatuelezi taarifa sahihi kuwahusu kwa faida yao wao wenyewe hivyo sisi watu wa kawaida tupo njia panda kuhusu jambo hili lakini ukweli ni kwamba hawa viumbe wapo....
 
Mkuu Eiyer
Hivi ni kwanini jamii za zamani ambazo zinadaiwa kuwa na mahusiano na hawa viumbe ziliwatesa sana Waebrania?

1. Wamisri- Jamii iliyukowa na nguvu sana duniani iliwatumikisha Waebrania kwa miaka 400.

2. Babeli- Ufalme wenye nguvu sana Mashariki ya Mbali chini ya Nebukadrezza aliwavamia Wayahudi na kuvunja hekalu la Mfalme Suleimani na kuwapeleka Wayahudi Utumwani.

3. Ujerumani- Taifa lenye nguvu Ulaya chini ya Adolf Hitler liliwaua Wayahudi wengi sana popote pale lilipowakuta.

Katika nyakati haya yanatokea historia inasema hawa viumbe walikuwa na muingiliano mkubwa sana na hizi jamii.

Kuna nini kilichojificha hapo?
 
1;Kwa mujibu wa taarifa nilizonazo ni kwamba Aliens wanaishi kwenye underground bases [D.U.M.Bs] zilizoko maeneo tofauto tofauti chini ya ardhi....

2;Sijui chochote kuhusu kula yao,lakini kufikiria kuwa kuna "kula" kwa kila kiumbe ni dhana potofu mkuu...

3;Ishu ya kuvaa ni kama kula tu,unadhani kila kiumbe kinahitaji kuvaa kwanini? Hebu fikiria tu uwe hujawahi kumuona Tembo halafu ukakutana na mtu akakupa taarifa kuwa kuna mnyama mkubwa mwenye sifa kama za Tembo halafu wewe kwasababu hujawahi kumuona ukaanza kuingiwa na wasi wasi halafu ukamuuliza kuhusu kuvaa kwao,swali lako litakuwa na mantiki kweli?

Swali lako halina mantiki mkuu....

4;Sijui ni namna ipi wanayotumia kuongezeka,lakini,kama maswali yako mengine hili nalo ni swali linalotoka kwa mtu ambaye ana upungufu wa taarifa tu maana kama ungejua kuwa kuna viumbe havihitaji kuzaliana ili viongezeke wala usingeuliza swali hili...

5;Aliens wanachokifanya hapa duniani ni kuwasaidia binadamu katika eneo la maendeleo ya kiteknolojia ili aweze kuishi maisha rahisi zaidi lakini wana ajenda zao ambazo baadhi zimeelewa kwenye makala hii kwa sehemu....

6;Sijawahi kukutana na picha yao halisi lakini kutokuwepo kwa picha siyo sababu ya kuona ni uongo..

Namna ambayo wanaitumia ni ya kuzungumza,wana uwezo mkubwa wa kuongea ligha yoyote lakini wao kwa wao hawazungumzi isipokuwa wanawasiliana kwa kusoma mawazo ya wengine.Wanaweza kusoma mawazo ya binadamu pia lakini kwakuwa binadamu hawezi kusoma mawazo yao inabidi waongee ili kuwasiliana na binadamu....

Taarifa za jambo hili ni ndogo sana lakini ni kwamba hao hao Aliens walishakutana na binadamu na kusema kwa nyakattofauti tofauti na jambo hili halisemwi ndiyo maana taarifa ni ndogo....

Tatizo ni kwamba jambo hili ni miongoni mwa mambo ambayo yanafichwa sana lakini siyo jipya maana hata binadamu wa kale walishawahi kukutana na hawa viumbe....
hawa viumbe sindo marekani wanawatumia na wamewaweka kwenye area force one
 
hawa viumbe sindo marekani wanawatumia na wamewaweka kwenye area force one
Bold: Nadhani hapo ulimaanisha area 51 au sivyo?

Hawa viumbe siyo tu kwamba Wanawatumia Marekani bali wanatumiwa na serikali nyingi tu duniani kwa namna tofauti tofauti....
 
Mkuu Eiyer
Hivi ni kwanini jamii za zamani ambazo zinadaiwa kuwa na mahusiano na hawa viumbe ziliwatesa sana Waebrania?

1. Wamisri- Jamii iliyukowa na nguvu sana duniani iliwatumikisha Waebrania kwa miaka 400.

2. Babeli- Ufalme wenye nguvu sana Mashariki ya Mbali chini ya Nebukadrezza aliwavamia Wayahudi na kuvunja hekalu la Mfalme Suleimani na kuwapeleka Wayahudi Utumwani.

3. Ujerumani- Taifa lenye nguvu Ulaya chini ya Adolf Hitler liliwaua Wayahudi wengi sana popote pale lilipowakuta.

Katika nyakati haya yanatokea historia inasema hawa viumbe walikuwa na muingiliano mkubwa sana na hizi jamii.

Kuna nini kilichojificha hapo?
Mkuu

Kuna sababu ya kila jambo na kimsingi jambo hili linamuunganiko mkubwa sana na masuala ya kiroho.Sikutaka kuyaingiza haya mambo kwenye thread hii ili nisiwakere wale ambao hawapendelei kuyasikia lakini kimsingi kuna mengi sana yanayohusiana na masuala ya kiroho na kidini....

Jambo kubwa sana ni kuhusu mwanzo au chanzo cha hawa viumbe ambapo hapa ndipo kwenye mziki wenyewe sasa....

Ukitaka kujua mahali ambapo shida ilianzia ni kwenye mwanzo 6,lakini labda nikupe tu "clue" ni kwamba maneno ya Mungu kwenye Mwanzo 3:15 pale ndipo kwenye mengi....

Ngoja nisiseme mengi sana mkuu kwenye upande huu ili wengine waweze kuisoma hii thread vizuri lakini maswali yako kuhusiana na mataifa yaliyowahi au yenye mahusiano na hawa Viumbe waliwatesa sana Waisrael umeegemea hapo...

Swali kubwa kwako mkuu ni kwamba,Marekani wana uhusiano na hawa viumbe leo,ni kwanini hawafanyi kama wengine walivyofanya juu ya Wayahudi?

Hapo napo kuna mengi sana mkuu lakini taratibu tutafanya utafiti na tutajua mkuu....
 
Mkuu

Kuna sababu ya kila jambo na kimsingi jambo hili linamuunganiko mkubwa sana na masuala ya kiroho.Sikutaka kuyaingiza haya mambo kwenye thread hii ili nisiwakere wale ambao hawapendelei kuyasikia lakini kimsingi kuna mengi sana yanayohusiana na masuala ya kiroho na kidini....

Jambo kubwa sana ni kuhusu mwanzo au chanzo cha hawa viumbe ambapo hapa ndipo kwenye mziki wenyewe sasa....

Ukitaka kujua mahali ambapo shida ilianzia ni kwenye mwanzo 6,lakini labda nikupe tu "clue" ni kwamba maneno ya Mungu kwenye Mwanzo 3:15 pale ndipo kwenye mengi....

Ngoja nisiseme mengi sana mkuu kwenye upande huu ili wengine waweze kuisoma hii thread vizuri lakini maswali yako kuhusiana na mataifa yaliyowahi au yenye mahusiano na hawa Viumbe waliwatesa sana Waisrael umeegemea hapo...

Swali kubwa kwako mkuu ni kwamba,Marekani wana uhusiano na hawa viumbe leo,ni kwanini hawafanyi kama wengine walivyofanya juu ya Wayahudi?

Hapo napo kuna mengi sana mkuu lakini taratibu tutafanya utafiti na tutajua mkuu....

Nimekusoma mkuu,
Itabidi nianzishie uzi kabisa kule Jukwaa la Dini ili tuweze kuzungumza chimbuko lake katika mtizamo wa Kibiblia zaidi.
Nadhani kule tutajimwaga na kwenda mstari baada ya mstari...
 
Man you cant beat the bold! That guy is special. He was born to do do what he does. Baki msomaji kama mimi. Sio lazima wote tuandike. Makala ndeeefuu hadi usingizi. Acha kujaza server kwa nonsensical threads
Akili zako za hovyo kweli unataka watu wote wawaze sawasawa? Huyu mbona anaeleza vitu vya undani vya kimwili na kiroho? Tumia kichwa chako kufikiri sio ku disappoint watu wanaotufikirisha.
 
Nimekusoma mkuu,
Itabidi nianzishie uzi kabisa kule Jukwaa la Dini ili tuweze kuzungumza chimbuko lake katika mtizamo wa Kibiblia zaidi.
Nadhani kule tutajimwaga na kwenda mstari baada ya mstari...
Haina shida mkuu....

Pamoja sana....
 
Man you cant beat the bold! That guy is special. He was born to do do what he does. Baki msomaji kama mimi. Sio lazima wote tuandike. Makala ndeeefuu hadi usingizi. Acha kujaza server kwa nonsensical threads
Ninaamini kabisa wewe haujatumwa na Mr The bold hasa kwa kuzingatia kariba yake. Najishawishi kuwa haya ni maoni yako binafsi na kwa hivyo umemkosea mtoa mada. Kama umemsoma vizuri mtoa mada na kama unafuatilia mada zake toka huko nyuma, (unless kama wewe ni mgeni) utagundua hajaandika kwa kushindana na The bold King. Kwa ustaarabu kabisa ni vyema ukamuomba radhi mtoa mada na jukwaa kwa ujumla. Kumbuka hii sio bongo fleva kwamba tunahitaji timu, hapana, hii ni issue ya utafiti na uandishi. Kwa sababu hiyo ni vyema ku-encourage watu kuandika as much as possible ili tupate ubora wa kazi, radha tofauti pamoja na vipaji vingi. Ninamheshimu sana The bold kwa uwezo wake wa pekee (kipaji) lakini natamani tanzania tuwe na akina The bold wengi.
 
Ninaamini kabisa wewe haujatumwa na Mr The bold hasa kwa kuzingatia kariba yake. Najishawishi kuwa haya ni maoni yako binafsi na kwa hivyo umemkosea mtoa mada. Kama umemsoma vizuri mtoa mada na kama unafuatilia mada zake toka huko nyuma, (unless kama wewe ni mgeni) utagundua hajaandika kwa kushindana na The bold King. Kwa ustaarabu kabisa ni vyema ukamuomba radhi mtoa mada na jukwaa kwa ujumla. Kumbuka hii sio bongo fleva kwamba tunahitaji timu, hapana, hii ni issue ya utafiti na uandishi. Kwa sababu hiyo ni vyema ku-encourage watu kuandika as much as possible ili tupate ubora wa kazi, radha tofauti pamoja na vipaji vingi. Ninamheshimu sana The bold kwa uwezo wake wa pekee (kipaji) lakini natamani tanzania tuwe na akina The bold wengi.
The bold is simply a genius. Our very own messiah of jamii intelligence. Do not compare him with "unknown things". His views, ideas, intellectual abilities are second to none. Simply the best!
 
The bold is simply a genius. Our very own messiah of jamii intelligence. Do not compare him with "unknown things". His views, ideas, intellectual abilities are second to none. Simply the best!
Hujui unachokifanya mkuu,nahisi hata The Bold anaona aibu kuwa na shabiki kilaza kama wewe.
 
The bold is simply a genius. Our very own messiah of jamii intelligence. Do not compare him with "unknown things". His views, ideas, intellectual abilities are second to none. Simply the best!
Ngoja kwanza nitulie mpaka ntapoona reaction ya The bold ndo ntaendelea kuchangia.
 
pongezi mr Eiyer kwa kutushirikisha mambo haya hatakama hayapo lakini ukisoma kwa makini hukosi hapo kitu cha kujifunza, nimekua nikikufuatilia kwa makini sana poti zako tok 2012 na juve ingawa hayupo tena ila mko poa sana naomba unitag kaka pleas
 
pongezi mr Eiyer kwa kutushirikisha mambo haya hatakama hayapo lakini ukisoma kwa makini hukosi hapo kitu cha kujifunza, nimekua nikikufuatilia kwa makini sana poti zako tok 2012 na juve ingawa hayupo tena ila mko poa sana naomba unitag kaka pleas
Haina tatizo mkuu,tupo pamoja.....
 
Haina tatizo mkuu,tupo pamoja.....

Kaka Eiyer , hii ni maada nzuri na fikirishi sana, kuna mambo mengi sana ya kustaabisha yanayokea hapa Duniani ambayo kwa akili za kawaida ni vigumu kuyapatia ufafanuzi wa kuridhisha,
kuna theory nyingi kuwa baadhi ya vitu vya ajabu vilivyofanyika hapa duniani havikufanywa na binadamu wa Kawaida bali ni Aliens,
Kianzia Wamisri wa kale na ujenzi wao wa Mapiramidi ya kushangaza, Mayan, inca, nazca lines, nk
1: Watu wanajiukiza hivi ni kweli mapiramidi hayo makubwa yamejengwa kwa ajili ya kuzikia Mapharao tu?
2: Nazca lines zilichorwa kwa ajili ya nini?, ni image ambazo ukiwa chini (Ardhini) huwezi kujua ni image ya nini, lakini ukiwa juu (Angani) ndio unaoana ni kitu gani, sasa watu wanajiuliza hizo line zilichorwa kipindi ambacho hakuna Ndege, sasa nani aliyekuwa anaweza kuzisoma hizo image? Au kuna watu "watu" waliokuwa na uwezo na vyombo bya angani?
image.jpg

image.jpg


3: Crop circle , watu wenye mashamba Makubwa walikuwa waaamka asubuhi na kukuta mimea kwenye mashamba yao imevunjwa vunjwa, lakini walikiwa hawajui ni nani aliyevunja na kwa sababu gani, lakini watu wanaopita juu na ndege wanaona mimea imevunjwa kwa pattern nzuri yenye michoro tata (complex), je hiyo michoro imechorwa na nani kwa faida gani?
image.jpg

image.jpg
 
Kuna story pia za Anunak, na Dogon tribe la pale Mali (West Africa) hawa wana uelewa mkubwa sana wa mambo ya Anga na wanasema walishawahi kupata Wageni kutoka Sirius

Lakini na wafatiliaji wa mambo ya Aliens ambao hawaamini mambo ya Dini wanasema hao wote wanaoitwa mitume Kwenye vitabu vitakatifu walikuwa ni Aliens na walikuja Duniani kwenye misheni zao, na wanabase sana kwenye mfano wa Eliya alivyokuwa anaondoka, maana aliondoka na chombo chenye mzunguko mkali na miale ya moto, kwa kipindi hicho chombo pekee cha usafiri kilichokuwa kinajulikana ni kigali cha kukokotwa na Farasi (chariots), so watu waliomuona Eliya akiondoka walisema anaondoka na hiyo chariot lakini kiuhalisia alikuwa anaondoka na UFO
Pia wanaamini kuwa hata Yona hakumezwa na Samaki kama inavyojulikana bali alichukuliwa kwenye kitu kama manuari ndogo na kupelekwa kwenye misheni zake Ninawi
 
Mkuu nakuomba tafadhali, acha kupoteza watanzania.
Acha waliopo ambao hawajui huu ujinga wakae wafanye mambo mengine ya msingi. Ulichondika ni uongo mtupu na huna evidence hata moja zaidi ya vipicha ulivyoleta kutoka kwenye blog ambazo hata miminilishiriki kuziandika miaka ya zamani kusambaza uongo maana zilikua zinalipa, kutengeneza $150 kwa siku ilikua ni kugusa tu. Ila nimeelimika nikaona negative side of it nikaacha nikaanza kufanya mambo mengine ya halali ya maana. Nilikua natumia hata photoshop kukaa na kutengeneza picha fake za aliens kua wameonekana maeneo mbalimbali kama evidence na watu wanaamini, I'm super good at photoshop huwezi ona picha ukasema its fake. Picha zote ulizoleta hapo ni fake, I am 100% sure.

Aliens labda wapo, ila hatujadetect hata moja, the closest thing ambacho tumedetect tukajichanganya kusema ni aliens ni Pulsars, hizi ni neutron stars zinakua zinaemit huge amounts of radiations katika interval moja nzuri sana kiasi kwamba the first time inakua detected miaka ya 1960s wanasayansi walidhani ni message kutoka kwa aliens imekua decoded, later on wakaja kugundua ni just stars. Nimeattend meetings nyingi sana za astronomy, nilikua napenda sana astronomy wakati nipo chuoni, nimekaa nawasikiliza watu wengine very popular duniani in science live, ukipeleka huu ujinga mbele yao watakucheka.

Huwajui NASA, wala any space agency wanavyo-operate, wala hujui wanaohusika na space research, ila ungekua umezunguka au umesumbua hata kichwa kidogo ungetambua kua ni watu ka wewe na mimi tu na they are smart enough kutokukaa wanafuatilia huu ujinga, ukiwa bongo kila kitu unaaminishwa unabeba, kikiwa tu kwenye blog watu mnameza, hizo blog tunaandika sisi sio malaika, advertising is a serious business. Ngoja nikwambie how it will happen, siku ikitokea tumedetect aliens, dunia nzima itajua, na utasikia kwenye reputable sources zote dunia nzima, wala haitofichwa, na kama extraterrestrial beings wapo hadi sasa na hatujawatambua basi ni obvious they are smarter than us, wanafikiria kwa uwezo zaidi kuliko wa kwetu, au wapo kwenye a completely different life form sio tuliyozoea, if thats the case probability ya sisi kuwatambua ni next to zero.

TLDR Tafadhali usipotoshe watanzania.
 
Bold: Nadhani hapo ulimaanisha area 51 au sivyo?

Hawa viumbe siyo tu kwamba Wanawatumia Marekani bali wanatumiwa na serikali nyingi tu duniani kwa namna tofauti tofauti....
ndio mkuu ni 51 kwa nini Tanzania tusiwatafute na sisi sasa tuwatumie
 
Back
Top Bottom