Mkuu nakuomba tafadhali, acha kupoteza watanzania.
Acha waliopo ambao hawajui huu ujinga wakae wafanye mambo mengine ya msingi. Ulichondika ni uongo mtupu na huna evidence hata moja zaidi ya vipicha ulivyoleta kutoka kwenye blog ambazo hata miminilishiriki kuziandika miaka ya zamani kusambaza uongo maana zilikua zinalipa, kutengeneza $150 kwa siku ilikua ni kugusa tu. Ila nimeelimika nikaona negative side of it nikaacha nikaanza kufanya mambo mengine ya halali ya maana. Nilikua natumia hata photoshop kukaa na kutengeneza picha fake za aliens kua wameonekana maeneo mbalimbali kama evidence na watu wanaamini, I'm super good at photoshop huwezi ona picha ukasema its fake. Picha zote ulizoleta hapo ni fake, I am 100% sure.
Aliens labda wapo, ila hatujadetect hata moja, the closest thing ambacho tumedetect tukajichanganya kusema ni aliens ni Pulsars, hizi ni neutron stars zinakua zinaemit huge amounts of radiations katika interval moja nzuri sana kiasi kwamba the first time inakua detected miaka ya 1960s wanasayansi walidhani ni message kutoka kwa aliens imekua decoded, later on wakaja kugundua ni just stars. Nimeattend meetings nyingi sana za astronomy, nilikua napenda sana astronomy wakati nipo chuoni, nimekaa nawasikiliza watu wengine very popular duniani in science live, ukipeleka huu ujinga mbele yao watakucheka.
Huwajui NASA, wala any space agency wanavyo-operate, wala hujui wanaohusika na space research, ila ungekua umezunguka au umesumbua hata kichwa kidogo ungetambua kua ni watu ka wewe na mimi tu na they are smart enough kutokukaa wanafuatilia huu ujinga, ukiwa bongo kila kitu unaaminishwa unabeba, kikiwa tu kwenye blog watu mnameza, hizo blog tunaandika sisi sio malaika, advertising is a serious business. Ngoja nikwambie how it will happen, siku ikitokea tumedetect aliens, dunia nzima itajua, na utasikia kwenye reputable sources zote dunia nzima, wala haitofichwa, na kama extraterrestrial beings wapo hadi sasa na hatujawatambua basi ni obvious they are smarter than us, wanafikiria kwa uwezo zaidi kuliko wa kwetu, au wapo kwenye a completely different life form sio tuliyozoea, if thats the case probability ya sisi kuwatambua ni next to zero.
TLDR Tafadhali usipotoshe watanzania.