Kuiper Belt: Behind the certain

Kuiper Belt: Behind the certain

Kabla ya kusoma / kuandika kuhusu Aliens ningewashauri watu wajiulize maswali haya

What is Alien...?

What is life....?

What is interagency..?

What's are necessary conditions for life to exist....?

Which are credible source to study about Aliens...?

Otherwise tutalishana "Hoax+conspiracy + wishful thoughts +believes "
Mkuu unajuaje kama watu hapa hawajajiuliza kuhusu haya yote?
 
Unashindwa nini kuweka hizo scientific arguments ili zioneshe utofauti wa hizi personal feelings na sisi tu comment, anzisha uzi ndugu kuuelewa na kutouelewa itabaki kwangu otherwise achana na huu uzi kama hutuwekei hizo scientific arguments ziache hizi personal feelings ziendelee kutamalaki hapa Jf.
Unapoteza wakati wako mkuu.Hawa watu wa namna hii wapokwaajili ya kupinga tu na siyo kuleta suluhu au mjadala wenye mantiki...

Kama mtu anajinadi kuelewa hadi anakuambia atakachokisema hutakielewa huyo utawezana naye kweli?

Watu wenye weledi na michango kwenye jamii yoyote wanaleta suluhu siyo majigambo.Jamaa anajiona anaelewa sana mambo na sisi hapa ni mambulula tu....

Huyo ni wa kuachana naye tu mkuu...
 
Asante kwa Uzi hawa viumbe wanaeasiliana na binadamu kwa Njia IPI na kwa lugha IPI?
Swali lako limelijibu kwenye mada na baadhi ya post mkuu wangu.hebu jaribu kutumia ka muda kidogo kupitia upya utaona mengi tu mkuu....
 
Provoking articles :-

Sio lazima uamini, ila soma kwa wakati wako, tafakari, endelea na safari ya JF..

Aliens may already be here, space exec says | Aliens may already be here, space exec says
: Six frontiers for alien life via @msnbc

New Potentially Habitable Planet with Possible Alien Life Discovered by UNSW Team New Potentially Habitable Planet with Possible Alien Life Discovered by UNSW Team > SilentCircle

Do science and evolution go hand in hand? Do science and evolution go hand in hand?

Humans Evolved Somewhere Else In The Galaxy - We Are Aliens On Our Own Planet - Scientist Says | MessageToEagle.com Humans Evolved Somewhere Else In The Galaxy - We Are Aliens On Our Own Planet - Scientist Says | MessageToEagle.com

The 12 most compelling scientific findings that suggest aliens are real The 12 most compelling scientific findings that suggest aliens are real via @BIUK_Tech
 
Kivipi mkuu?

Nahitaji ufafanuzi zaidi mkuu...
Kwasababu kama umejiuliza Alien ni kitu gani, Uhai ni nini, mazingira gani ya razima ili uhai uwepo na kivipi tunaweza hakikisha kama alien wapo. Basi huwezi kukubalina na huu uzi na wasio kubaliana nawe naona wanapingwa, nimeona mmoja hapo juu...
 
Kwasababu kama umejiuliza Alien ni kitu gani, Uhai ni nini, mazingira gani ya razima ili uhai uwepo na kivipi tunaweza hakikisha kama alien wapo. Basi huwezi kukubalina na huu uzi na wasio kubaliana nawe naona wanapingwa, nimeona mmoja hapo juu...
Kwanini uwepo wa Aliens ukinzane na uwepo wa au maana nzima ya maisha?

Huyo hapo juu hajapingwa tu hivi hivi bali hakuna alichokieleza kinachoeleweka zaidi ya kuzunguka bila maelezo ya maana.....
 
Je maisha yao yanaunasaba gani maisha ya binadam,wanatumia usafiri gani kuja duniani
 
Man you cant beat the bold! That guy is special. He was born to do do what he does. Baki msomaji kama mimi. Sio lazima wote tuandike. Makala ndeeefuu hadi usingizi. Acha kujaza server kwa nonsensical threads
Watu wenye akili kama zako ni kikwazo katika maendeleo....

Umetumia nguvu nyingi kuandika kitu ambacho ni upuuzi WA kiwango cha degree,

JF ni jukwaa huru Na hakuna anaye lazimishwa kuweka comment yake kwenye post fulani, ukiona andiko halijakupendeza ni bora ukae kimya kuliko huu upuuzi ulio uandika hapa..

Waandishi wanatumia nguvu kubwa sana mpaka hizi taarifa zinatufikia katika hali iliyo rahisishwa zaidi, hata mkuu The Bold atahuzunika sana akiona huo upuuzi ulio uandika...
 
Wakati nasoma hii makala yako ndugu muandishi, nilijikuta nasafiri Safari ya mbali sana kifikra juu ya mambo uliyo yaelezea...

Bado niko safarini kifikra ndugu lakini Nimatumaini yangu Nitarudi Salama na kupata majibu mazuri ya masuali ninayo jiuliza...

Sitaki kukataa wala kukubali lakini kitu kikubwa ninacho kupongeza ni kwamba, UMENIFANYA NIFIKIRI ZAIDI YA UWEZO WANGU ( out of the box)
 
Daah mkuu ulikua na haja gan ya kufanya hicho ulichokifanya, kama hujapendezwa we acha pita kushoto au na huku JF unataka kuleta mambo ya diamond na kiba au mesi na ronaldo??? Badilika
 
Watu wenye akili kama zako ni kikwazo katika maendeleo....

Umetumia nguvu nyingi kuandika kitu ambacho ni upuuzi WA kiwango cha degree,

JF ni jukwaa huru Na hakuna anaye lazimishwa kuweka comment yake kwenye post fulani, ukiona andiko halijakupendeza ni bora ukae kimya kuliko huu upuuzi ulio uandika hapa..

Waandishi wanatumia nguvu kubwa sana mpaka hizi taarifa zinatufikia katika hali iliyo rahisishwa zaidi, hata mkuu The Bold atahuzunika sana akiona huo upuuzi ulio uandika...
Kwa kifupi jamaa siyo intellectual. Kwanza kiungwana alitakiwa amuombe msamaha kwa jinsi alivyochafua watu wengi. Anyway, huenda ndo aliens wenyewe hawataki tuwajue.
 
Wakati nasoma hii makala yako ndugu muandishi, nilijikuta nasafiri Safari ya mbali sana kifikra juu ya mambo uliyo yaelezea...

Bado niko safarini kifikra ndugu lakini Nimatumaini yangu Nitarudi Salama na kupata majibu mazuri ya masuali ninayo jiuliza...

Sitaki kukataa wala kukubali lakini kitu kikubwa ninacho kupongeza ni kwamba, UMENIFANYA NIFIKIRI ZAIDI YA UWEZO WANGU ( out of the box)
Pamoja sana mkuu....

tuendelee kufikiri nje ya box ili tuweze kujua mengi....
 
Mkuu nakuomba tafadhali, acha kupoteza watanzania.
Acha waliopo ambao hawajui huu ujinga wakae wafanye mambo mengine ya msingi. Ulichondika ni uongo mtupu na huna evidence hata moja zaidi ya vipicha ulivyoleta kutoka kwenye blog ambazo hata miminilishiriki kuziandika miaka ya zamani kusambaza uongo maana zilikua zinalipa, kutengeneza $150 kwa siku ilikua ni kugusa tu. Ila nimeelimika nikaona negative side of it nikaacha nikaanza kufanya mambo mengine ya halali ya maana. Nilikua natumia hata photoshop kukaa na kutengeneza picha fake za aliens kua wameonekana maeneo mbalimbali kama evidence na watu wanaamini, I'm super good at photoshop huwezi ona picha ukasema its fake. Picha zote ulizoleta hapo ni fake, I am 100% sure.

Aliens labda wapo, ila hatujadetect hata moja, the closest thing ambacho tumedetect tukajichanganya kusema ni aliens ni Pulsars, hizi ni neutron stars zinakua zinaemit huge amounts of radiations katika interval moja nzuri sana kiasi kwamba the first time inakua detected miaka ya 1960s wanasayansi walidhani ni message kutoka kwa aliens imekua decoded, later on wakaja kugundua ni just stars. Nimeattend meetings nyingi sana za astronomy, nilikua napenda sana astronomy wakati nipo chuoni, nimekaa nawasikiliza watu wengine very popular duniani in science live, ukipeleka huu ujinga mbele yao watakucheka.

Huwajui NASA, wala any space agency wanavyo-operate, wala hujui wanaohusika na space research, ila ungekua umezunguka au umesumbua hata kichwa kidogo ungetambua kua ni watu ka wewe na mimi tu na they are smart enough kutokukaa wanafuatilia huu ujinga, ukiwa bongo kila kitu unaaminishwa unabeba, kikiwa tu kwenye blog watu mnameza, hizo blog tunaandika sisi sio malaika, advertising is a serious business. Ngoja nikwambie how it will happen, siku ikitokea tumedetect aliens, dunia nzima itajua, na utasikia kwenye reputable sources zote dunia nzima, wala haitofichwa, na kama extraterrestrial beings wapo hadi sasa na hatujawatambua basi ni obvious they are smarter than us, wanafikiria kwa uwezo zaidi kuliko wa kwetu, au wapo kwenye a completely different life form sio tuliyozoea, if thats the case probability ya sisi kuwatambua ni next to zero.

TLDR Tafadhali usipotoshe watanzania.
Acha majigambo toa hoja usijifanye fundi sana
 
Acha majigambo toa hoja usijifanye fundi sana
Hii mada nishaifunga, sina muda kubishana na watu wanaoamini conspiracy theories, from my experience hamna kitu mtaambiwa mkubali maana hata sayansi iliwapita pembeni. So mwisho wa siku we endelea kuamini unachoamini, hainipunguzii kitu.
 
Hii mada nishaifunga, sina muda kubishana na watu wanaoamini conspiracy theories, from my experience hamna kitu mtaambiwa mkubali maana hata sayansi iliwapita pembeni. So mwisho wa siku we endelea kuamini unachoamini, hainipunguzii kitu.
Umiefunga kwani umeanzisha wewe, acha majigambo ya kike sayansi yako kafanye na mumeo
 
thanks kwa Tag mkuu. ila naitwa Merengo90 not Marengo.

nimeisoma, ngoja nikae chini then tutafakari pamoja ila mim nipo ur side on this, kuwa kuna super existance beings wapo na wanajifunua kwa namna mingi thou source yao ni moja.....

I ll be ryt back
 
thanks kwa Tag mkuu. ila naitwa Merengo90 not Marengo.

nimeisoma, ngoja nikae chini then tutafakari pamoja ila mim nipo ur side on this, kuwa kuna super existance beings wapo na wanajifunua kwa namna mingi thou source yao ni moja.....

I ll be ryt back
Pamoja sana mkuu....
 
Back
Top Bottom