MkuuMkuu wangu Eiyer Saluti.
Hizi habari zamani sana Babu yangu amewahi nisimulia kwamba miaka mingi nyuma, wamerekani wamewahi waokota binadamu wawili wasio wa kawaida, wanaoaminika kutoka sayari nyingine, walipojaribu kuwakamata mmoja akakimbia kwa kupaa kwenye kitu kama kisosa kikubwa hivi na mwingine wakamkamata. ss inasemekana huyu waliemkamata wakagundua ana akili isiyo ya kawaida, hivyo basi inaaminika mpk leo huyo kiumbe yupo na wanamtumia katika mambo ya tekinolojia. umewahi kusikia hii?? na hapo eneo linaitwa Area 51 unalizungumziaje mkuu, nini haswa area 51?
Humbly With Regards.
labda unaweza kusema huu uzushi wanao ufanya watu weupe, wana malengo gani haswa na huu uzushi wao?uzushi tu wa wawatu weupe