Kuiper Belt: Behind the certain

Kuiper Belt: Behind the certain

Kuna sehemu nilisoma kuwa hawa viumbe marekani anawatumia katika masuala ya tecknolojia ya midege ya ajabu na pia jeshini.. nilisoma muda ngoja nikapitie tarudi na inasemekana kuna sehemu amewaihifadhi na kuna ulinzi mkali sana jina nimesahau ni kama kwenye milima ya something like Dary space. Hivi vitu sio vya kupuuza maana inasemekana wanasababisha hadi ajali hawa viumbe.

I will be back ngoja nikafukunyue data.
 
Kuna sehemu nilisoma kuwa hawa viumbe marekani anawatumia katika masuala ya tecknolojia ya midege ya ajabu na pia jeshini.. nilisoma muda ngoja nikapitie tarudi na inasemekana kuna sehemu amewaihifadhi na kuna ulinzi mkali sana jina nimesahau ni kama kwenye milima ya something like Dary space. Hivi vitu sio vya kupuuza maana inasemekana wanasababisha hadi ajali hawa viumbe.

I will be back ngoja nikafukunyue data.
Fukunyua mkuu uje utuletee nondo....
 
Napenda Sana makala Kama hivi. Napenda kufahamu jambo mkuu Eiyer about UFO??
Cc relato unakumbuka movie ya alien Paul??
 
Napenda Sana makala Kama hivi. Napenda kufahamu jambo mkuu Eiyer about UFO??
Cc relato unakumbuka movie ya alien Paul??
Yes dear naikumbuka,such nice movie.Mi naaamini hawa viumbe wapo. Maana nikiunganisha na matukio ya kupotra kwa ndege,Ndio naamini kabisa wamechukuliwa na aliens
 
Unataka kujua nini kuhusu UFO's?
Nasikia shawahi kuwa spotted katika Uso wa dunia Mara chache sana. Vina speed and mwanga mkali sana. Baadhi ya watu wakavihusisha na aliens..
That's why napendelea kuvifahamu zaidi. Kama unaweza kunielezea kwa ufupi au uka brief kwa makala.
 
The bold is simply a genius. Our very own messiah of jamii intelligence. Do not compare him with "unknown things". His views, ideas, intellectual abilities are second to none. Simply the best!
duh ! kweli kienglish sio symbol of intelligency
 
Naona sasa umebadilika tena unadai ni uongo,basi sawa mkuu ni uongo...

Kuna mahali nimesema unachodai hapa? Hivi unaelewa ninayoandika kweli mkuu au umeamua tu kuja hapa kujaza sever za JF bila sababu ya msingi?

Kama unahitaji kujifunza,kwenye makala yangu nimetaja mambo mengi sana,kama unahitaji jina nenda kasome upya....

Nimeshasema lengo la mimi kuweka picha na litabaki kuwa ni hilo hilo,haya mengine na maneno yako yasiyokuwa na mshiko nitakuachia wewe mwenyewe mkuu...

Naona una tatizo la kuelewa au unataka tu kubishana hata kwenye mambo yasiyokuwa na msingi.Kama nimesema lengo la kuleta picha halafu wewe unag'ang'a nia habari za kuamini picha si kupotezeana wakati huko mkuu?

Msingi wa nilichoandika hujakielewa,naona unataka ubishe tu labda unataka uonekane na wewe unaelewa haya mambo lakini ulichokiandika hapa hata hiyo reasoning hakina,sasa sijui ni reasoning gani unayoisema mkuu....

Nikutakie kila la kheri mkuu....
hao ni wajuaji kwenye ubora wao mkuu
 
Nasikia shawahi kuwa spotted katika Uso wa dunia Mara chache sana. Vina speed and mwanga mkali sana. Baadhi ya watu wakavihusisha na aliens..
That's why napendelea kuvifahamu zaidi. Kama unaweza kunielezea kwa ufupi au uka brief kwa makala.
kwanza watu wanachanganya sana kati ya UFO,Aliens na Extraterrestrial...

UFO [Unidentified Flying Objects] ni aina ya kitu au chombo ambacho hakijaweza kueleweka au kufahamika ambacho kinaonekana kinaruka angani.Hii ina maana kwamba,hata Chopper kwa mfano,kwa wale ambao hawaielewi,wakiiona kwao ni UFO...

Aliens,hawa ni viumbe ambao wanasadikiwa kuwepo lakini wakiishi kwenye solar system yetu lakini kwenye sayari nyingine na wana uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko binadamu n.k....

Extraterrestrial,hawa ni viumbe wa roho ambao hawatokei kwenye solar system hii na hawaonekani kwa macho ya kawaida hadi watake uwaone.Hawa wanatokea anga za mbali sana....

Nimejaribu kuelezea kwa lugha nyepesi sana ili wengi waelewe hili....

Nikirudi kwenye ulichouliza ni kwamba hatujui chochote kuhusu UFO NA na kama tungejua tusingewaita au tusingeita UFO's maana tungekuwa tunajua....

Kwa maana hii hakuna maelezo ya kutosha kuwahusu hawa "viumbe"....
 
Wanajua wachokuwa wanakifanya mkuu....
Basi me hua naishia kucheka na kupita zangu kimyakimya.

Halafu mkuu naomba uwe unanitag kwenye post zako.

Ila haya mambo yana ukweli mkuu hasa ile miji ya chini ya ardhi, kuna siku niliwah kubahatika kusikia kua hata ile nchi ya maziwa matatu hiyo miji/mji ipo pia, tusione ni burebure tu viongozi wa mataifa makubwa kupishana kwenye ile nchi na mara nyingine hukutana pamoja,shortly tunavovijua ni kama kisoda tu kwenye pipa lililojaa maji mengi

form1
Wanajua wachokuwa wanakifanya mkuu....
 
Wewe umesoma hujanielewa kumbe.
Sijasema watu waache utafiti, utafiti upo, ulikuwepo toka hujazaliwa na utaendelea kuwepo hata baada ya sisi kufariki, sema usije na specifications zako za aliens wakati unajua fika ni za uongo, kama ni za uongo kwa nini umeziweka?

Unasema wataalamu wa mambo ya anga, nitajie mtaalamu moja unayemjua ambaye alishawahi kusema kaona alien, story za watu ambazo hazina backing yoyote ile ndiyo unataka tuziamini? Haya basi na mimi niliona mnyama mwenye mwili wa simba na pembe za ng'ombe, umeamini kua ni kweli?

Unaweza jitetea ila ukweli unabaki kua uliamini hizo story hadi kuzileta hapa na picha kibao, kama ungekua huamini usingezileta maana kiukweli unajua ni za uongo, hizo random images zimetengenezwa tu, nyingine for films, nyingine 3d artists, nyingine watu ka mimi tu tunaedit kwa kujifurahisha.

Ungekuja na reasoning mfano the universe is too big, sayari nyingi zinazidi kupatikana ambazo zipo kwenye habitable zone kwenye star system zao, hiyo yaweza kua moja ya vitu vikasababisha uwepo wa viumbe wengine, ila siyo reasoning yako kua chizi moja kasema alipaa akaondoka na alien sijui wapi, hehehe!
Sorry man ila hujaja na hoja za kisomi, umekuja na conspiracy kujaribu kuback up your claim, so nitakupa 5% for trying.
Nimekupa like ila naona kama unakitu unakijua vizuri ila unataka kurukaruka tu au kuleta ujuaji kwenye Uzi wa mwenzio, hapa tunabadilishana uelewa mkuu eiyer tangu kaleta uzi huu hapa wengine tunasoma polepole na kwa umakini mkubwa kuogopa kuchangia hovyo au kudanganyika we kama umekuta tunadanganywa sema ulijualo wewe tushirikiane tuelewe kama mtoa mada kakosea mahali rekebisha kiungwana tu acha shobo mkuu au leta unachokijua sie tutaelewa kati yako na mkuu eiyer nani anaelewa vzuri habari hizi.
 
Nikija na hoja huwezi elewa, hoja ni scientific, kama ungekua na scientific mind hata kidogo ungejua kabisa alichoandika hapa sicho. Zipo post nyingine hapa hapa JF zinazoongelea same thing ila zimebase kwenye science na sio story za uongo. Kama jamaa alivyosema hapo juu wengi wape, society yetu siku hizi watu mnajali sana feelings zenu kuliko facts, sasa ngoja nikuache, endelea kumeza huu ujinga, hata hivyo haisaidii chochote, usijejaza tu watoto wako upuuzi ukawa unaendeleza generation za wanaoamini maduduwasha, tunahitaji wanasayansi wanaojielewa sio imbeciles.
We jamaa unajiona mjuaji sana ila ujue nini kama husemi kwa ushahidi basi hukuwa na haja ya kuja kutuletea ujuaji wako ambao hatuujui wala kuuamini bora tuendelee na mada iliopo we una masifa ya kijinga baki nayo.
 
Back
Top Bottom