Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,331
- 6,613
Nimewahi kuibiwa mara mbili kwenye daladala, pamoja na kujifanya mtoto wa town wa jamaa wakikuotea utalia peke yako....
Siku ya kwanza , gari la Tandika - Muhimbili , nilitoka kukopa kwa mshikaji chuoni Tsh elfu 20, nikatumia elfu 2 ikabaki elfu 18, nipo kwenye gari naenda zangu saloon kupunguza nywele, nimeshuka pale bora nikaingia saloon vizuri nikanyoa, nadaiwa hela wallet sioni, wajanja wamesepa nayo....
Siku ya pili gari la Mbagala- Tandika, nilipigwa na usingizi wa nusu kaputi, tumefika mwisho nipo peke yangu kwenye gari, fedha, vitambulisho , passport size. Vyote vimeenda kichwa kiliuma, mara kizunguzungu ... usiombe yakukute
Siku ya kwanza , gari la Tandika - Muhimbili , nilitoka kukopa kwa mshikaji chuoni Tsh elfu 20, nikatumia elfu 2 ikabaki elfu 18, nipo kwenye gari naenda zangu saloon kupunguza nywele, nimeshuka pale bora nikaingia saloon vizuri nikanyoa, nadaiwa hela wallet sioni, wajanja wamesepa nayo....
Siku ya pili gari la Mbagala- Tandika, nilipigwa na usingizi wa nusu kaputi, tumefika mwisho nipo peke yangu kwenye gari, fedha, vitambulisho , passport size. Vyote vimeenda kichwa kiliuma, mara kizunguzungu ... usiombe yakukute