Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,467
Hilo jicho limetoka
Ulikosea kukubali akuwekee kwenye bahasha...hapohapo ndo ulipoibiwa...akishakupa uikague mpe hela tia kwenye begi...huwa hawakubali kwanza mana anajua ushamuwezaweeeee!!!! basi dawa yao hakuna kuongea nao kabisa.
Mimi mara moja mara ya pili huyo mtu huwa akiniona ana badili njia nilimsaka miezi 3 nilipompata tulichomtendea Mungu atusamehe tu kisa laki tano ila aliijutiamie nimetapeliwa mara moja na hela yenyewe ni ya nyanya tu.. tangia siku hiyo nipo makini vibaya mnoooo.... mie huwa napoteza vitu na sio kuibiwa
Pole sana dada.Niliibiwa mkufu wa dhahabu wakati najiandaa kuteremka kutoka kwenye daladala nilihisi ni panga limekata shingo kumbe ni kofi lililonishtua na jamaa kuambaa na mkufu nikiwa namuona. Ni kitambo kdg miaka ya 90+
Mkuu hawatumii dawa ni tekniki tu, ile ukishaishika mara moja weka mfukoni kwako usimrudishie tena wee lipa ela uone kama watakubali, ule mfuko anaoweka ile simu kuna sabuni imefanana vilevile kwa hiyo akitoa mfukoni unaona ndio ile kumbe tayari keshabadilisha.Mimi nilikua naskia simu kuwa sabuni,nilikua nawadharau wanaoibiwa.
Mwaka flani hivi nilipita pale kariakoo teja akanionesha simu kali ilikua Huawei.Nikajisemea moyoni ngoja nione hawa maboya huwa wanaiba vipi,nikamvuta pembeni.
Niliikagua simu zaidi ya mara 5,ipo fresh tukakubaliana nimpe 22,000/=.Nilizingatia hatua zote ili nisipigwe,simu nilikua nayo nikampa ela lakini alinilazimisha niiweke kwenye baasha yake sababu watu wataiona.
Nilihakikisha abadilishi kitu,mara tu alivyo nipa nilitoka nduki ghafla nikaanza kukimbizwa na watu wengine wawili lakini nikasikia sauti ya yule teja akisema muacheni.
Nilipanda daladala bila kujua linaelekea wapi huku nikijiona nimewakomesha.Gari ilivyofika muhimbili nikaona ngoja niiangalie simu yangu niliyojipatia bila jasho.
Duuuh,Sikuamini macho yangu....kukuta kipande cha sabuni.
Wale huwa wanatumia NDUMBA
Yaani wale wakati mnajibizana huku mkisukumana wengine wanafanya yao, alkua mpole maana aliona wenzie washamaliza kazi,
Mi walining'iniza mguu mmoja juu huku ananitingisha sana kwa sababu naujua mchezo nkawa nawangalia wale wa pembeni wanaosachi wakasepa na jamaa kaniachia


nililizwa kishamba sana, nimekomaa na mmoja kumbe kuna wenhine walinilia mingo ila ndio kujifunza pia.Ndio style zao walenililizwa kishamba sana, nimekomaa na mmoja kumbe kuna wenhine walinilia mingo ila ndio kujifunza pia.
Vipi ulimtia vitasa ninihaiwezekani kwa upande wangu labda NIDONDOSHE na sio niibiwe... kuna kibaka mmoja nilimfanya kitu kibaya sana... mpaka leo kahama kituo
Mimi nilikua naskia simu kuwa sabuni,nilikua nawadharau wanaoibiwa.
Mwaka flani hivi nilipita pale kariakoo teja akanionesha simu kali ilikua Huawei.Nikajisemea moyoni ngoja nione hawa maboya huwa wanaiba vipi,nikamvuta pembeni.
Niliikagua simu zaidi ya mara 5,ipo fresh tukakubaliana nimpe 22,000/=.Nilizingatia hatua zote ili nisipigwe,simu nilikua nayo nikampa ela lakini alinilazimisha niiweke kwenye baasha yake sababu watu wataiona.
Nilihakikisha abadilishi kitu,mara tu alivyo nipa nilitoka nduki ghafla nikaanza kukimbizwa na watu wengine wawili lakini nikasikia sauti ya yule teja akisema muacheni.
Nilipanda daladala bila kujua linaelekea wapi huku nikijiona nimewakomesha.Gari ilivyofika muhimbili nikaona ngoja niiangalie simu yangu niliyojipatia bila jasho.
Duuuh,Sikuamini macho yangu....kukuta kipande cha sabuni.
Wale huwa wanatumia NDUMBA
Vipi ulimfanya kitu mbaya niniM
Mimi mara moja mara ya pili huyo mtu huwa akiniona ana badili njia nilimsaka miezi 3 nilipompata tulichomtendea Mungu atusamehe tu kisa laki tano ila aliijutia
Ni kipigo cha mbwa mwiziVipi ulimfanya kitu mbaya nini
ulimlawiti nini?M
Mimi mara moja mara ya pili huyo mtu huwa akiniona ana badili njia nilimsaka miezi 3 nilipompata tulichomtendea Mungu atusamehe tu kisa laki tano ila aliijutia
Unatapeliwaje mtoto wa kiume?kutapeliwa.... hiyo kweli nimewahi... kudadeki... ila nilikuja kuwarudia wale washenzi... nikawachimba mkwaraaaa... ila ndio hivyo nimeshatapeliwa
Mbona wewe unatapeliwa kila siku... maana hela zako unazolipa kodi sie tupo bize tunanunua wapinzani...Unatapeliwaje mtoto wa kiume?