Kuhusu Mwakyembe na Mwandosya this can be true kabisa!

Kuhusu Mwakyembe na Mwandosya this can be true kabisa!

Wakuu mlioko huko mbele kaeni mkiomba msikutane uso kwa uso na Balali,na ukimuona usiseme na pia usigundulike kama ulimuona,katika ile most wanted list,jina la JB limeongezwa.

Unanikumbusha enzi zilee, tuko watoto wakati tunapewa stori za majini na vibwengo!!! Eti ukikutana na Jini halafu ukasimulia tu; anakuja kukudedisha!!! Ukikutana nae, unatakiwa kuuchuna!!!
 
Hivi ulishasoma maelezo ya Mwakyembe ya maandishi kwenda Polisi kuhusu njama za kuuawa kwake?

Yale maandishi ya Mwakyembe yalikuwa ni miongoni mwa simulizi tamu tu hakuna lolote la maana! Kama sikosei, taarifa iliwataja Mwakyembe, Sitta, Membe, Mengi, Mwandosya, Slaa na Mama Malecela.Haya nisaidie wewe; tuseme zile zilikuwa ni njama za serikali ya JK kutaka kuwanyamazisha wanaoisakama serikali. Au, karibu na hilo, tuseme zilikuwa ni njama za RA! Sasa je, hapo Membe na Mwandosya waliingia vp kwenye hiyo list?! Ni lini Membe au Mwandosya wamewahi kuishutumu serikali au RA hadharani?! Ni lini JK au RA wamepata kuwa adui wa Membe kiasi cha kutaka kumtumia Al Shabab?! Au tangu lini Al Shabab wakatumiwa kuua watu?! Al Shabab ni kundi la kigaidi na wala sio snipers wa kukodiwa!! Lakini Mwakyembe alifanya makusudi kuwaweka Al Shabab ili ionekane kinachotaka kufanyika hapo ni udini; waislamu against wakristo!!!!Ile taarifa aliitunga Mwakyembe ili kumuharibia Membe na kumfagilia njia mnyakyusa mwenzake Mwandosya! Ndani ya CCM kuna wapuuzi wengi tu wanaoongelea ukanda huku wengi wao wakionekana kutoridhishwa na urais kwenda kanda ya pwani misimu yote mitatu mfululizo. Alichotaka kukifanya Mwakyembe ni kuonesha kwamba waislamu wa CCM/waislamu wa serikali ya JK wanatumia Al Shabab(waislamu wenzao) kutaka kuua viongozi wakristo wanaotarajiwa kugombea urais wa nchi hii. Sumu hii endapo ingefanikiwa, ingeleta mgongano wa kimaslahi kati ya wana CCM wakristo na wale waislamu ambao wengi wao wapo pwani/mashariki ya tz. Kv waislamu wengi wanatoka east TZ, wakristo wa bara wangeacha kutofautisha kati ya mkristo na mtu wa pwani kwa kuona ili mradi wapo pwani, basi ni walewale tu! Bila shaka, hii ingewafanya wakristo wengi wa bara kumpigia Mwandosya baada ya kukosa imani na wakristo wenzao wa pwani, ambao angekuwa ni Membe! Likewise, simulizi ile ililenga kumfanya Membe asimwani JK na akishakosa kumwamini basi bila shaka angejitenga nae. Kujitenga huko kungemaanisha Membe kujitenga vilevile na uungwaji mkono toka kwa wapambe wa JK.....hilo lingefanikiwa, nalo lingeendelea kumweka Mwandoysa close na wapiga kura wa CCM! Kama kuna mtu hodari wa kucheza na akili za watu ni mwakyembe, hivyo kuwaweka akina Mengi, Anna Kilango na wengine ilikuwa ni danganya toto tu ya kuficha nia yake! Unfortunately, wenye akili zao wakashitukia kwani michezo kama hiyo ni mambo ya kawaida sana katika masuala ya ujasusi!!! Hushangai, Mwakyembe ni mwanasheria aliyebobea; na ukisoma riwaya ile utakuta mshikaji alikuwa na ushahidi wote wa kuwafikisha korokoroni wahusika!! Kwanini basi asingefungua jalada mahakamani?! guys, acheni kuchezewa akili na hawa manipulating politicians!!
 
Yale maandishi ya Mwakyembe yalikuwa ni miongoni mwa simulizi tamu tu hakuna lolote la maana! Kama sikosei, taarifa iliwataja Mwakyembe, Sitta, Membe, Mengi, Mwandosya, Slaa na Mama Malecela.Haya nisaidie wewe; tuseme zile zilikuwa ni njama za serikali ya JK kutaka kuwanyamazisha wanaoisakama serikali. Au, karibu na hilo, tuseme zilikuwa ni njama za RA! Sasa je, hapo Membe na Mwandosya waliingia vp kwenye hiyo list?! Ni lini Membe au Mwandosya wamewahi kuishutumu serikali au RA hadharani?! Ni lini JK au RA wamepata kuwa adui wa Membe kiasi cha kutaka kumtumia Al Shabab?! Au tangu lini Al Shabab wakatumiwa kuua watu?! Al Shabab ni kundi la kigaidi na wala sio snipers wa kukodiwa!! Lakini Mwakyembe alifanya makusudi kuwaweka Al Shabab ili ionekane kinachotaka kufanyika hapo ni udini; waislamu against wakristo!!!!Ile taarifa aliitunga Mwakyembe ili kumuharibia Membe na kumfagilia njia mnyakyusa mwenzake Mwandosya! Ndani ya CCM kuna wapuuzi wengi tu wanaoongelea ukanda huku wengi wao wakionekana kutoridhishwa na urais kwenda kanda ya pwani misimu yote mitatu mfululizo. Alichotaka kukifanya Mwakyembe ni kuonesha kwamba waislamu wa CCM/waislamu wa serikali ya JK wanatumia Al Shabab(waislamu wenzao) kutaka kuua viongozi wakristo wanaotarajiwa kugombea urais wa nchi hii. Sumu hii endapo ingefanikiwa, ingeleta mgongano wa kimaslahi kati ya wana CCM wakristo na wale waislamu ambao wengi wao wapo pwani/mashariki ya tz. Kv waislamu wengi wanatoka east TZ, wakristo wa bara wangeacha kutofautisha kati ya mkristo na mtu wa pwani kwa kuona ili mradi wapo pwani, basi ni walewale tu! Bila shaka, hii ingewafanya wakristo wengi wa bara kumpigia Mwandosya baada ya kukosa imani na wakristo wenzao wa pwani, ambao angekuwa ni Membe! Likewise, simulizi ile ililenga kumfanya Membe asimwani JK na akishakosa kumwamini basi bila shaka angejitenga nae. Kujitenga huko kungemaanisha Membe kujitenga vilevile na uungwaji mkono toka kwa wapambe wa JK.....hilo lingefanikiwa, nalo lingeendelea kumweka Mwandoysa close na wapiga kura wa CCM! Kama kuna mtu hodari wa kucheza na akili za watu ni mwakyembe, hivyo kuwaweka akina Mengi, Anna Kilango na wengine ilikuwa ni danganya toto tu ya kuficha nia yake! Unfortunately, wenye akili zao wakashitukia kwani michezo kama hiyo ni mambo ya kawaida sana katika masuala ya ujasusi!!! Hushangai, Mwakyembe ni mwanasheria aliyebobea; na ukisoma riwaya ile utakuta mshikaji alikuwa na ushahidi wote wa kuwafikisha korokoroni wahusika!! Kwanini basi asingefungua jalada mahakamani?! guys, acheni kuchezewa akili na hawa manipulating politicians!!
Hujui ulichokiongea ila ni fikra zako laiti ungeomba msaada wa ufahamu kamwe usinge mwelambwela hivyo kijana!
 
Mods naomba thread hii isiondolewe mpaka siku Mwakyembe na Mwandosya warejee wakiwa hai au mufu!!
 
Hapa nilipo nimesoma habari hii kwny selula yangu ya kichina, kwa uoga nimejikuta nikiilowesha kwa jasho na machozi mpk imezimika! Ama kweli: TANZANIA ZAIDI YA TUIJUAVYO! Natafuta uraia wa Somalia!

Eti wanasema tz ni nchi yenye utulivu,kuna bomu linaandaliwa ambalo hakika litakuwa la kihistoria katika nchi hii
 
Pole mkuu kwa kudhani kuwa watu wa JF wameukubali uchunguzi wako, hongera kwa uchambuzi mzuri. Elewa kuwa sasa JF inatafakari kwa undani hii hali ya kisiasa inayoondelea hapa TZ na kwa kiasi kikubwa mwanga wa uelewa haujapatikana so ukija na tamthilia kama hii unanawachota wengi. Sidhani kama kuna serikali dhalim inayoweza kutumia nguvu nyingi kiasi hicho ku - eliminate single citizen.

thanks God kuna watu mnaowaza kama nyie, kwa anaejua nguvu za serikali hawawezi kuamini kitu kama hichi hasa kama kinahusisha intelligence za nje. How can u trust kwamba hawata kuchoma kwa washirika wao. Na mi nampa pole kwa kupoteza muda kutuletea kisa hiki unless anataka kuandika riwaya
 
LTK hawa wana mbinu nyingi za kuua....wao wanaweza kuamu aina ya kifo utakachokufa then wakapanga mipango...ajali, kuvamiwa na majambazi (kumbe ni wao) sumu, snipers na nyingine nyingi......
upo sahihi. Mmesahau waliyomuua dr. Balali ili tu kuondoa ushahidi?
 
Mmh hizi za alshabaab, I'm skeptical bt no one has the right kuchukua uhai wa mtu kama amepewa sumu basi govt shud take action
 
Sisemi kama ripoti ni sahihi au sio sahihi, isipokuwa:

1. Unajuaje kama LTK haijapewa go ahead na rais? Yaani unaona hili linashindikana? Wewe unafikiri rais wako ana uchungu na nchi labda kama alivyokuwa George Bush au Obama kwa Marekani? Yaani kama mtu anaweza kukutengenezea scandal na kukusokomeza jela kwa sababu mnagombania mwanamke atashindwa kufanya hili? Swali ni kwamba wewe umemwona huyo rais wako kuwa yuko makini kiasi cha kushindwa kufanya haya yaliyoandikwa?

2. Unaposema wahusika hawako katika list ya watu hatari katika nchi una maana gani? Kwa sababu hao watu ndio wanaoumbua magamba na serikali yake, uhatari wao ni kuhatarisha maslahi ya mafisadi, sasa hapo unashindwa kuelewa nini? Ni mara ngapi wahusika wenyewe wamedai kwamba wanataka kuuawa? Sasa kwa taarifa yako ni kwamba serikali hii ya Tz ya kifisadi adui zake ni watu wanaoumbua ufisadi au kuikosoa sana serikali au wakionekana wako kinyume na mtizamo wa serikali, kiujumla wanapopingana na maslahi ya mafisadi na ndio wenye uchungu na nchi. Rejea nyuma Sokoine aliuawa kwa nn? Na akina nani walipanga? Kwa nini Kolimba alikufa? Vifo vya utata vya akina chifupa? Viongozi wangapi Tz wanaopingana na ufisadi wametegwa ajali? Hujui? Akina Mrema walidai kufuatiliwa kutaka kuuawa! Hukusikia?

3. Unasema Kombe aliuawa kiubua, sasa huyo si walikuwa na sababu kwamba alivujisha siri za ndani za nchi? Kwa hiyo unataka wamuue Mwakyembe hadharani kama huyo halafua wakuambie tumemuua kwa sababu anapingana/anaumbua ufisadi?

4. Kama wewe unaona serikali yetu haiwezi kufanya huo upupu ingekuwa safi basi? Lakini mbona imejaa wezi, walaghai na wauaji! Wasingekuwa hivyo kungekuwa na kashfa zote hizi mpaka nyingine za waziwazi?

5. Jenerali alisema kama kuna dhambi ambayo haiwakilishwi ndani ya CCM hiyo dhambi bado haijashuka! Mara ngapi Tz umesikia mke au mme anamuua mwenzi wake kwa makosa madogo tu sana? Sasa kama mauaji yanawezekana kwa watu ambao tunadhani wanapendana, yaani wewe unaona serikali ya Magamba inashindwa kuua mtu yeyote anayezuia au kupinga maslahi yake ya kifisadi?

6. Hii serikali haina aibu! Mie nikuhabarishe, inafuata watu wengine tena ni wadogo sana, mpaka unajiuliza sasa kwa nini itumie nguvu nyingi kupambana na mtu kama huyu? Labda wakikusimlia ndio utaelewa! Nani amekuambia hii ni serikali ya haki? Kumbuka wale wachimba madini wa Moro ambao hawakuwa wanapingana na ufisadi wowote lakinia walikuwa busy na shughuli zao, walipigwa risasi kwa kisingizio kuwa ni majambazi na watu ambao walitakiwa wawalinde! Wakachukua zao hela wakatoweka. Nina mengi ya kuongea lakini sina muda.

Kama nilivyosema unahitaji ELIMU tena kubwa tu:

1. Hakuna kundi la kijajusi la kijajusi lenye jina LTK, hili ni neno la kisheria linalotumika kumpa mtu au maofisa wa ngazi fulani kinga wanapotekeleza operation/mission ya kinchi iwe ndani au nje ya nchi. Na kwa nchi yetu kinga hii hutolewa na Rais pekee. Sasa ni kuongopeana mtu akisema mkuu wa LTK akatoa oda ya kumuua mtu bahati mbaya mwandishi hakuonyesha kama huyo mkuu alimaanisha Rais. Hivyo nimepingana nae kwa hoja hii.

2. Mwakyembe anaweza kuwa na maadui lakini si kwa nchi yetu, definition yako ya hatari kwa mafisadi ingefaa kama ripoti ingeweka wazi kuwa waliotumika hapo ni kikundi cha kimafia na hawana affiliation na serikali....again ningehoji mafia na ujanja wao wote kamwe hawana uhusiano na Usalama wa taifa katika nchi yoyote je hawa waliowaleta KGB mafia gani? Labda hujui ngoja nikwambie hakuna ndege inaweza kuingia nchini bila jeshi kujua. Sasa kama hawa walikuja na kutua private haiingii akilini kwa kweli.

3. Hao uliowataja hawana ulinzi zaidi ya madereva wao, kama watu hao wamediriki kuwawekea sumu kwa kuwafuata maeneo husika walishindwa nini kuwa tumia majambazi au hata njia zingine kuliko hizo zilizotajwa? Wamekunywa sumu kibao bado wanadunda jamani hata sumu ya panya lazima itakufikisha hospitali vipi wenzetu wadunde tu kwa misumu ya kutisha? So fiction kwa kweli

4. Suala la Rais kuwatumia majasusi kumfanyia mtu mwingine ni la kudhania sana, upo huo uwezekano lakini si kwa hili, kwanza nahisi unahitaji elimu ya mfumo wa usalama wa taifa ila nitasamehe mi sio mahiri eneo hilo. Kifupi Rais sio mtu mmoja ni taasisi hakuna anachokifanya bila watu wengine ndani ya taasisi yake kufahamu. Na pia akiamua fulani afe wala hana haja ya kuitikisha kikao Movenpick au kuagiza sumu urusi na Bulgaria. Walipona makomandoo waliotaka kupindua nchi ndo wawe hawa.

Sitakulazimisha ufuate maoni yangu maana wapo watu wataikubali ripoti hii kwa utashi wao wa kisiasa na wengine kama sie tutaikaa kwa weledi wetu maana ripoti za aina hii ni rahisi kuona mapungufu ukiwa NEUTRAL kuliko ukilalia upande wa kushoto. kwahiyo naelewa kuwa mjadala huu unategemea sana na unaelemea upande gani, kama ule wa vidole viwili utajulikana, kama wa Nyundo na Jembe pia utajuliakana na bahati mbaya wengine tusio na upande tutawekwa huu wa Nyundo.....sitajali ila kikubwa nina asilimia MIA MOJA kuwa THIS IS NOT EVEN CLOSE TO THE TRUTH.
 
Wana JF, kinachofanyika kwa Mwakyembe kwa sasa ni kutaka kuwauwa mapema kabla ya mwaka 2015 ili tunapofika katika uchaguzi tuwe tumekwisha sahau maovu ya CCM. Watanzania ni wepesi wa kusahau na mitindo ya CCM ni kufanya "uchafu" mapema uchaguzi ukiwa mbali kwakuwa wanafahamu kuwa Wa TZ wanasahau haraka. Ili nimelipata sehemu wazee wakiwa wanalizungumza kuhusiana na mpango huo wa CCM. Kaeni macho muda wote, tusilale hadi kieleweke hapa.
 
Dr Mwakyembe anaendeleaje mpaka hivi sasa? Wizara ya miundombinu tafadhali??
 
upo sahihi. Mmesahau waliyomuua dr. Balali ili tu kuondoa ushahidi?

Kafa we umeiona maiti yake?
Wacha kumchulia Mzee wa watu wewe!!!
Ulisikia hata ndugu zake wakitoka japo tone moja la chozi???
 
Kama nilivyosema unahitaji ELIMU tena kubwa tu:

1. Hakuna kundi la kijajusi la kijajusi lenye jina LTK, hili ni neno la kisheria linalotumika kumpa mtu au maofisa wa ngazi fulani kinga wanapotekeleza operation/mission ya kinchi iwe ndani au nje ya nchi. Na kwa nchi yetu kinga hii hutolewa na Rais pekee. Sasa ni kuongopeana mtu akisema mkuu wa LTK akatoa oda ya kumuua mtu bahati mbaya mwandishi hakuonyesha kama huyo mkuu alimaanisha Rais. Hivyo nimepingana nae kwa hoja hii.

2. Mwakyembe anaweza kuwa na maadui lakini si kwa nchi yetu, definition yako ya hatari kwa mafisadi ingefaa kama ripoti ingeweka wazi kuwa waliotumika hapo ni kikundi cha kimafia na hawana affiliation na serikali....again ningehoji mafia na ujanja wao wote kamwe hawana uhusiano na Usalama wa taifa katika nchi yoyote je hawa waliowaleta KGB mafia gani? Labda hujui ngoja nikwambie hakuna ndege inaweza kuingia nchini bila jeshi kujua. Sasa kama hawa walikuja na kutua private haiingii akilini kwa kweli.

3. Hao uliowataja hawana ulinzi zaidi ya madereva wao, kama watu hao wamediriki kuwawekea sumu kwa kuwafuata maeneo husika walishindwa nini kuwa tumia majambazi au hata njia zingine kuliko hizo zilizotajwa? Wamekunywa sumu kibao bado wanadunda jamani hata sumu ya panya lazima itakufikisha hospitali vipi wenzetu wadunde tu kwa misumu ya kutisha? So fiction kwa kweli

4. Suala la Rais kuwatumia majasusi kumfanyia mtu mwingine ni la kudhania sana, upo huo uwezekano lakini si kwa hili, kwanza nahisi unahitaji elimu ya mfumo wa usalama wa taifa ila nitasamehe mi sio mahiri eneo hilo. Kifupi Rais sio mtu mmoja ni taasisi hakuna anachokifanya bila watu wengine ndani ya taasisi yake kufahamu. Na pia akiamua fulani afe wala hana haja ya kuitikisha kikao Movenpick au kuagiza sumu urusi na Bulgaria. Walipona makomandoo waliotaka kupindua nchi ndo wawe hawa.

Sitakulazimisha ufuate maoni yangu maana wapo watu wataikubali ripoti hii kwa utashi wao wa kisiasa na wengine kama sie tutaikaa kwa weledi wetu maana ripoti za aina hii ni rahisi kuona mapungufu ukiwa NEUTRAL kuliko ukilalia upande wa kushoto. kwahiyo naelewa kuwa mjadala huu unategemea sana na unaelemea upande gani, kama ule wa vidole viwili utajulikana, kama wa Nyundo na Jembe pia utajuliakana na bahati mbaya wengine tusio na upande tutawekwa huu wa Nyundo.....sitajali ila kikubwa nina asilimia MIA MOJA kuwa THIS IS NOT EVEN CLOSE TO THE TRUTH.
Pole sana ndugu kwa kuwa na uelewa finyu nilidhamiria nisikujibu lakini niona nikuulize swali moja tu!

Je unawajua wahusika halisi waliowakilishwa kwa cods hizi?


TISS/A001 XXX

TISS/B1

TISSB32

TISS/B5

TISS/A6

TISS/F5

Ukiwajua hautahangaika kubishana, Ninge kusihi usubiri ripoti ya madaktari wa India !
 
Kibona aliwaaga marafiki pale salender B club mapema kabisa akielekea nyumbani, ajabu gari lake lilikutwa asubuhi limeegemea ukuta wa jengo la ubalozi wa burudi na ikatangazwa kuwa amepata ajali mbaya na kufariki hapohapo- ukuta haukubomoka na gari halikubonyea sana. Hii taarifa ya Mwakyembe ni ya ku-read bth the lines, ina lengo zaidi ya kuomba msaada wa ulinzi.
upo sahihi. Mmesahau waliyomuua dr. Balali ili tu kuondoa ushahidi?
 
JF elimisha hii jamii inayotaka kupotoshwa na hila za akina Mwakyembe, kwanza hakuna existing figures zinazoitwa LTK, kwa hiyo- hii ni riwaya.
Kama nilivyosema unahitaji ELIMU tena kubwa tu:

1. Hakuna kundi la kijajusi la kijajusi lenye jina LTK, hili ni neno la kisheria linalotumika kumpa mtu au maofisa wa ngazi fulani kinga wanapotekeleza operation/mission ya kinchi iwe ndani au nje ya nchi. Na kwa nchi yetu kinga hii hutolewa na Rais pekee. Sasa ni kuongopeana mtu akisema mkuu wa LTK akatoa oda ya kumuua mtu bahati mbaya mwandishi hakuonyesha kama huyo mkuu alimaanisha Rais. Hivyo nimepingana nae kwa hoja hii.

2. Mwakyembe anaweza kuwa na maadui lakini si kwa nchi yetu, definition yako ya hatari kwa mafisadi ingefaa kama ripoti ingeweka wazi kuwa waliotumika hapo ni kikundi cha kimafia na hawana affiliation na serikali....again ningehoji mafia na ujanja wao wote kamwe hawana uhusiano na Usalama wa taifa katika nchi yoyote je hawa waliowaleta KGB mafia gani? Labda hujui ngoja nikwambie hakuna ndege inaweza kuingia nchini bila jeshi kujua. Sasa kama hawa walikuja na kutua private haiingii akilini kwa kweli.

3. Hao uliowataja hawana ulinzi zaidi ya madereva wao, kama watu hao wamediriki kuwawekea sumu kwa kuwafuata maeneo husika walishindwa nini kuwa tumia majambazi au hata njia zingine kuliko hizo zilizotajwa? Wamekunywa sumu kibao bado wanadunda jamani hata sumu ya panya lazima itakufikisha hospitali vipi wenzetu wadunde tu kwa misumu ya kutisha? So fiction kwa kweli

4. Suala la Rais kuwatumia majasusi kumfanyia mtu mwingine ni la kudhania sana, upo huo uwezekano lakini si kwa hili, kwanza nahisi unahitaji elimu ya mfumo wa usalama wa taifa ila nitasamehe mi sio mahiri eneo hilo. Kifupi Rais sio mtu mmoja ni taasisi hakuna anachokifanya bila watu wengine ndani ya taasisi yake kufahamu. Na pia akiamua fulani afe wala hana haja ya kuitikisha kikao Movenpick au kuagiza sumu urusi na Bulgaria. Walipona makomandoo waliotaka kupindua nchi ndo wawe hawa.

Sitakulazimisha ufuate maoni yangu maana wapo watu wataikubali ripoti hii kwa utashi wao wa kisiasa na wengine kama sie tutaikaa kwa weledi wetu maana ripoti za aina hii ni rahisi kuona mapungufu ukiwa NEUTRAL kuliko ukilalia upande wa kushoto. kwahiyo naelewa kuwa mjadala huu unategemea sana na unaelemea upande gani, kama ule wa vidole viwili utajulikana, kama wa Nyundo na Jembe pia utajuliakana na bahati mbaya wengine tusio na upande tutawekwa huu wa Nyundo.....sitajali ila kikubwa nina asilimia MIA MOJA kuwa THIS IS NOT EVEN CLOSE TO THE TRUTH.
 

Baada ya kushauriwa na afisa mwandamizi wa JF bwana PAW kuwa niifanyie marekebisho kidogo hii ripoti na mimi bila hiyana nimefanya hivyo. Ni matumaini yangu kuwa japo uhalisia kamili wa ripoti utakuwa umepungua lakini nitawaomba kuweni wavumilivu.

Wakabadilishiwa aina ya sumu, hakika hii ilimpata zaidi Mwandosya kwani ilipandikizwa katka simu yake ya mkononi bila yeye kujua saa 4:40 asubuhi ofisini kwake tarehe 7/3/2011.

Na Mwakyembe alikuja kuwekewa ktk maji ya kunywa na kwenye kitambaa cha kufutia uso LTK/D00/B17 siku ya uzinduzi wa kikao cha Makandarasi,Wahandisi na Wakadiriaji majenzi pale Mlimani City kilichohudhuriwa na rais.

Nina waomba watanzania tuungane pamoja bila kujali dini zetu,makabila yetu wala rangi zetu kulikataa kundi hili la wahalifu lisilozidi watu 30.

Mheshimiwa;
Kwanza bila hiyana yoyote napenda kukupongeza kwa ujasiri uliouonesha ktk kufatilia halihalisi japo naamini kabisa kuwa ulikumbana na vikwazo mbalimbali lakini kwa kuwa ww nishujaa then hizo challenges zikakuzidishia motisha.

Pili;
Naafikiana na ww kuwa tuungane bila ya kujali itikadi zetu za kidini,kabila, Siasa n.k

Tatu:
(a) Naomba unijuze kuwa Mwandosya alipandikiziwaje (mbinu gani ilitumika) kwenye simu yake?
(b) Je huyo alomwekea Mwakyembe mbali na kuwa ni xxxxx analink yoyote na waandaaji wa kile kikao?

Once again thanks very much....
 
Back
Top Bottom