Kuhusu Mwakyembe na Mwandosya this can be true kabisa!

Kuhusu Mwakyembe na Mwandosya this can be true kabisa!

mr 2 a.k.
a sugu mbunge wa mbeya mjini anusurika kifo kwa ajari ya gari
 
Mwanzo mzuri wa kuchambua na kujua mambo yanayotuzunguka,nimeipenda sana ripoti yako.
 
Nawashukuru sana wapiganaji wenzangu muhimu wa jf kwa kuukubali uchunguzi wangu japo kutofautia kifkra ndilo jambo jema ktk dunia hii!

Mkuu! Sisi ndio wa kukushukuru kwa kutujuza jinsi gani mapapa wanavyowameza wenzio,ingali humu jamvini utakutana na vikwazo kadha naomba usichoke kwn hao tunawajua kwa namna moja ama nyingine na hakika huyu MUNGU tunayemwamini ataonekana one day na maajabu ya ukombozi utatendeka. Mkuu! Kwa niaba ya wale wenzangu tunashukuru kwa nyeti kama hii. Hakika Nchi ye2 itang'atuka mikononi mwa wauaji siku cnyingi. Uwe na wakati mzuri Mkuu!
 
Hekaya za Abunuwasi, hivi Mwandosya ana usafi gani? hakuna wa kumuua ila dhambi zake za kutafuna pesa za miradi ya maji vijijini na kuwaacha akina mama wa same wakiendelea kuchota maji kwa ndoo na kutembea umbali mrefu ndoo zikiwa kichwani. Haihitaji huruma huyu, adhabu aipatayo inamtosha. Mkuu uliyefanya uchunguzi, pitia upya vielelezo vyako, wengine humo wanachomekwa tu!
 
Mimi simo, ila tujiulize mara mbilimbili, hivi unauhakika kuwa miradi ya maji ya vijijini(same) ilitengewa fedha?!, na unauhakika kuwa prof Mark alikula hizo pesa?!, mi nilidhani angalau mary ni mtu safi kwa kuwa aliwahi kupinga waziwazi ufisadi wa IPTL.
Hekaya za Abunuwasi, hivi Mwandosya ana usafi gani? hakuna wa kumuua ila dhambi zake za kutafuna pesa za miradi ya maji vijijini na kuwaacha akina mama wa same wakiendelea kuchota maji kwa ndoo na kutembea umbali mrefu ndoo zikiwa kichwani. Haihitaji huruma huyu, adhabu aipatayo inamtosha. Mkuu uliyefanya uchunguzi, pitia upya vielelezo vyako, wengine humo wanachomekwa tu!
 
Ulielezwa kwa nini wauawe hao na nani amepanga kuwaua, na kwa nini watumie mbinu ghali wakati siku zote kina mwakyembe wapo pamoja nao kwenye vikao na ofisi zao, kwa nini wasiwatumie wahudumu wao wa karibu nk?
 
Sasa kama rais JK ameamua ''kuwapumzisha'' watanzania wenzake kwa sababu ya kuwa na mitazamo tofauti kwanini aliwateua kuwa mawaziri?

Sasa wakishauawa ndo inakuwaje? Hajui kwamba wataibuka wengine? Hii tabia ni mbaya sana, si ajabu akahamia JF akishawamaliza walioko kwenye list yake ya sasahivi.

Aliwachagua mawaziri ili iwe rahisi kuwamaliza!
Bado mengi zaidi yatajulikana
 
Mtoa thread ni thairi shairi kuwa unajua mengi uendelee kutujuza yanayoendelea juu ya mauaji ya kidhalimu katika nchi yetu.
 
mkuu samahani huyu jamaa-Exaveri H.Limo naona umem-rank kama jasus mashuhuri nchini.umeshuhuri wake ulitokana oparation gani alizofanikisha kwa maslahi ya taifa?hata mataifa mengine yana mashujaa wake wa kijasus na michango yao inaheshimiwa.
 
kwa kifupi ni kwamba hujui unachokiongea...hujui LTK ni nini...hujui LTK wana mafungamanao gani na IKULU+ TISS, huwajui KGB...na pia hujui uwezo wa TISS...

ebu tupe ukweli wenyewe kiongozi
 
mkuu samahani huyu jamaa-Exaveri H.Limo naona umem-rank kama jasus mashuhuri nchini.umeshuhuri wake ulitokana oparation gani alizofanikisha kwa maslahi ya taifa?hata mataifa mengine yana mashujaa wake wa kijasus na michango yao inaheshimiwa.
wadau nijibuni swali langu kuhusu huyo mtu hapo kwenye red.
 
We unahitaji msaada, sasa ukianza kuamini kwa kuangalia signature hata hiyo ripoti hutaisoma maana muandishi ni Jason Bourne si ni picha hiyo? Ni hivi mi najaribu kusema kulingana na kilichowasilishwa kwenye ripoti. "Mtunzi" ameonesha kama LTK ni kundi na lina kiongozi wake, wakati sio kweli hao labda ni majambazi tu...LTK kwa level ya nchi yetu inatoka kwa Rais pekee kisheria ndo maana hata adhabu ya kifo lazima ipate GO AHEAD yake. Na sio kama alivyoweka yeye maana hao wahusika hawapo katika list ya watu hatari katika nchi hii sasa iweje wawekewe notisi ya kifo? Mbona yule Jasusi Kombe aliuwawa kiubua tu, klichofanyika ni kuiomba radhi familia yake mchezo ukaisha, huyo Mwakyembe kawa Jasusi lini hadi akwepe mitego ya akili 16? So unreal kwa kweli.


Sisemi kama ripoti ni sahihi au sio sahihi, isipokuwa:

1. Unajuaje kama LTK haijapewa go ahead na rais? Yaani unaona hili linashindikana? Wewe unafikiri rais wako ana uchungu na nchi labda kama alivyokuwa George Bush au Obama kwa Marekani? Yaani kama mtu anaweza kukutengenezea scandal na kukusokomeza jela kwa sababu mnagombania mwanamke atashindwa kufanya hili? Swali ni kwamba wewe umemwona huyo rais wako kuwa yuko makini kiasi cha kushindwa kufanya haya yaliyoandikwa?

2. Unaposema wahusika hawako katika list ya watu hatari katika nchi una maana gani? Kwa sababu hao watu ndio wanaoumbua magamba na serikali yake, uhatari wao ni kuhatarisha maslahi ya mafisadi, sasa hapo unashindwa kuelewa nini? Ni mara ngapi wahusika wenyewe wamedai kwamba wanataka kuuawa? Sasa kwa taarifa yako ni kwamba serikali hii ya Tz ya kifisadi adui zake ni watu wanaoumbua ufisadi au kuikosoa sana serikali au wakionekana wako kinyume na mtizamo wa serikali, kiujumla wanapopingana na maslahi ya mafisadi na ndio wenye uchungu na nchi. Rejea nyuma Sokoine aliuawa kwa nn? Na akina nani walipanga? Kwa nini Kolimba alikufa? Vifo vya utata vya akina chifupa? Viongozi wangapi Tz wanaopingana na ufisadi wametegwa ajali? Hujui? Akina Mrema walidai kufuatiliwa kutaka kuuawa! Hukusikia?

3. Unasema Kombe aliuawa kiubua, sasa huyo si walikuwa na sababu kwamba alivujisha siri za ndani za nchi? Kwa hiyo unataka wamuue Mwakyembe hadharani kama huyo halafua wakuambie tumemuua kwa sababu anapingana/anaumbua ufisadi?

4. Kama wewe unaona serikali yetu haiwezi kufanya huo upupu ingekuwa safi basi? Lakini mbona imejaa wezi, walaghai na wauaji! Wasingekuwa hivyo kungekuwa na kashfa zote hizi mpaka nyingine za waziwazi?

5. Jenerali alisema kama kuna dhambi ambayo haiwakilishwi ndani ya CCM hiyo dhambi bado haijashuka! Mara ngapi Tz umesikia mke au mme anamuua mwenzi wake kwa makosa madogo tu sana? Sasa kama mauaji yanawezekana kwa watu ambao tunadhani wanapendana, yaani wewe unaona serikali ya Magamba inashindwa kuua mtu yeyote anayezuia au kupinga maslahi yake ya kifisadi?

6. Hii serikali haina aibu! Mie nikuhabarishe, inafuata watu wengine tena ni wadogo sana, mpaka unajiuliza sasa kwa nini itumie nguvu nyingi kupambana na mtu kama huyu? Labda wakikusimlia ndio utaelewa! Nani amekuambia hii ni serikali ya haki? Kumbuka wale wachimba madini wa Moro ambao hawakuwa wanapingana na ufisadi wowote lakinia walikuwa busy na shughuli zao, walipigwa risasi kwa kisingizio kuwa ni majambazi na watu ambao walitakiwa wawalinde! Wakachukua zao hela wakatoweka. Nina mengi ya kuongea lakini sina muda.
 
Sisemi kama ripoti ni sahihi au sio sahihi, isipokuwa:

1. Unajuaje kama LTK haijapewa go ahead na rais? Yaani unaona hili linashindikana? Wewe unafikiri rais wako ana uchungu na nchi labda kama alivyokuwa George Bush au Obama kwa Marekani? Yaani kama mtu anaweza kukutengenezea scandal na kukusokomeza jela kwa sababu mnagombania mwanamke atashindwa kufanya hili? Swali ni kwamba wewe umemwona huyo rais wako kuwa yuko makini kiasi cha kushindwa kufanya haya yaliyoandikwa?

2. Unaposema wahusika hawako katika list ya watu hatari katika nchi una maana gani? Kwa sababu hao watu ndio wanaoumbua magamba na serikali yake, uhatari wao ni kuhatarisha maslahi ya mafisadi, sasa hapo unashindwa kuelewa nini? Ni mara ngapi wahusika wenyewe wamedai kwamba wanataka kuuawa? Sasa kwa taarifa yako ni kwamba serikali hii ya Tz ya kifisadi adui zake ni watu wanaoumbua ufisadi au kuikosoa sana serikali au wakionekana wako kinyume na mtizamo wa serikali, kiujumla wanapopingana na maslahi ya mafisadi na ndio wenye uchungu na nchi. Rejea nyuma Sokoine aliuawa kwa nn? Na akina nani walipanga? Kwa nini Kolimba alikufa? Vifo vya utata vya akina chifupa? Viongozi wangapi Tz wanaopingana na ufisadi wametegwa ajali? Hujui? Akina Mrema walidai kufuatiliwa kutaka kuuawa! Hukusikia?

3. Unasema Kombe aliuawa kiubua, sasa huyo si walikuwa na sababu kwamba alivujisha siri za ndani za nchi? Kwa hiyo unataka wamuue Mwakyembe hadharani kama huyo halafua wakuambie tumemuua kwa sababu anapingana/anaumbua ufisadi?

4. Kama wewe unaona serikali yetu haiwezi kufanya huo upupu ingekuwa safi basi? Lakini mbona imejaa wezi, walaghai na wauaji! Wasingekuwa hivyo kungekuwa na kashfa zote hizi mpaka nyingine za waziwazi?

5. Jenerali alisema kama kuna dhambi ambayo haiwakilishwi ndani ya CCM hiyo dhambi bado haijashuka! Mara ngapi Tz umesikia mke au mme anamuua mwenzi wake kwa makosa madogo tu sana? Sasa kama mauaji yanawezekana kwa watu ambao tunadhani wanapendana, yaani wewe unaona serikali ya Magamba inashindwa kuua mtu yeyote anayezuia au kupinga maslahi yake ya kifisadi?

6. Hii serikali haina aibu! Mie nikuhabarishe, inafuata watu wengine tena ni wadogo sana, mpaka unajiuliza sasa kwa nini itumie nguvu nyingi kupambana na mtu kama huyu? Labda wakikusimlia ndio utaelewa! Nani amekuambia hii ni serikali ya haki? Kumbuka wale wachimba madini wa Moro ambao hawakuwa wanapingana na ufisadi wowote lakinia walikuwa busy na shughuli zao, walipigwa risasi kwa kisingizio kuwa ni majambazi na watu ambao walitakiwa wawalinde! Wakachukua zao hela wakatoweka. Nina mengi ya kuongea lakini sina muda.

Umesema kweli mkuu ila unaemwambia ni sikio la kufa.
 
Duuu! Hii kasumba inayowagagadua Watanzania wengi ya kuwa na majibu mepesi kwa maswali magumu inatupumbaza na kutufanya tuonekane kama tuna mtindio wa ubongo na taahira ya akili....km riwaya hiyo iqualify kuitwa uchunguzi basi we are a living corpses.
 
Katika kutafakari ripoti hii, ilinibidi kwanza nirejee ni nini hasa shughuli za TISS. Well, kwa mujibu wa sheria iliyounda chombo hiki, hilo la 'kushughulikiana' halimo. Kama kweli haya yanafanyika, kuna wanaopaswa kuujibu umma.
ref. http://www.parliament.go.tz/Polis/PAMS/Docs/15-1996.pdf

THE TANZANIA INTELLIGENCE AND SECURITY SERVICE
ACT, 1996
Service shall be-

5.-(1) Subject to the control of the Minister, the functions of the

Functions

of TISS

(a) to obtain, correlate, and evaluate intelligence relevant to security,and to communicate any such intelligence to the Minister and topersons whom, and in the manner which, the Director-Generalconsiders it to be in the interests of security;

(b) to advise Ministers, where the Director-General is satisfied thatit is necessary to do so, in respect of matters -relevant to security,so far as those matters relate to departments or portfolios ofwhich they are in charge;

(c) to cooperate as far as practicable and necessary with such otherorgans of state and public authorities within or outside Tanzaniaas are capable of assisting the Service in the performance of itsfunctions.

(d) to inform the President, and any other person or authority whichthe Minister may so direct, of any new area of potential espionage,sabotage, terrorism or subversion in respect of which the Director-General has considered it necessary to institute surveillance.

(2) It shall not be a function of the Service-

(a) to enforce measures for security; or

(b) to institute surveillance of any person or category of persons byreason only of his or their involvement in lawful protest, or dissentin respect of any matter affecting the Constitution, the laws or
the Government of Tanzania.
 
[/QUOTE]
Mnh!!! hivi ni mtu wa TISS wa aina gani awezae kutoa taarifa nzito kama hizi kwa asiye mtu wao?! Na kama ni mtu wao ( kwa maana ya mkuu Jason); ni mtu wao gani huyo awezae kuanika mambo mazito kama haya kwenye mtandao?!

Hivi LTK wanaweza kutoa taarifa nzito kama hiyo kwa mtu ambae baadae anakuja kuimwaga hapa wakati anajuwa akifanya hivyo nao hawataachwa waendelee kupumua?! Tuseme LTK hakufahamu kwamba Jason atakuja kumwaga mchele hapa JF na kwavile wanamwamini, walimweleza kwa kufahamu itakuwa siri yake......

Je, mkuu Jason wewe huogopi kwamba washikaji wanaweza kukuondoa kabla hawajaondolewa wao kwa kuvujisha taarifa nyeti na za hatari kwa usalama wa taifa kama hizi?!

Kwa mwandishi wa riwaya kama mimi; hii ni moja tu ya riwaya tamu ambazo nachukua nafasi kukuomba mkuu Jason nitumie idea yako kwenye riwaya yangu ya Hujuma ambayo karibuni itachapishwa.

Am serious chuck, let me use de idea.
 
Back
Top Bottom