Kuhusu Mwakyembe na Mwandosya this can be true kabisa!

Kuhusu Mwakyembe na Mwandosya this can be true kabisa!

Thank you for the explanation. So in case somebody swallows this poison does it have a cure??? I mean if the treatment is applied before the estimated 30 days??

There are no chances of survival!

This is a radioactive substance, the damages inflicted by any radioactive substance

is irreversible. You got only one route to take i.e DEATH
 
Na akimjibu atakuwa amejianika....

watu hawajui kuwa huu mchakato na hadi hii kitu ikafika hapa imepita hatua nyingi...kuweka hii kitu hapa kulikuwa na umakini mkubwa ambao bwana jason toka siku taarifa za mwakyembe kuwa kapewa sumu kuandikwa gazetini alinuia kufanya kazi hii.....hakuna haja ya kumjibu maana tangu awali katika mabandiko yangu nilisema kuwa mpango juu ya mwakyembe umeshakamilka na wat wanagonga glasi kwa ushindi huu....katika taarfa hii ya bwana jason iko sahih maana ndivyo ilivyokuwa katika kufanikisha uuaji huu.....
 
Just to protect interests of the ruling elite, at whatever cost, like Robert Ludulum's "The Matarese Circle"
 
LTK hawa wana mbinu nyingi za kuua....wao wanaweza kuamu aina ya kifo utakachokufa then wakapanga mipango...ajali, kuvamiwa na majambazi (kumbe ni wao) sumu, snipers na nyingine nyingi......
 
Wasijaribu kusogeza pua zao kwa Dr. Slaa, tahadhari mapemaaaaa!! kwasababu itakuwa ni vita ya kistoria, tutakatana humu nchini.
 
mh!!!!!!!!!
nimetoka jasho mwili mzima, ..... tunaenda wapi jamani!!! endelea kutu-update bro
 
LTK hawa wana mbinu nyingi za kuua....wao wanaweza kuamu aina ya kifo utakachokufa then wakapanga mipango...ajali, kuvamiwa na majambazi (kumbe ni wao) sumu, snipers na nyingine nyingi......

hapa sasa umenifungua macho, kuna yule profesa wachuo kikuu alivamiwa na majambazi, hii inawezekana kukawa na chochote hapa?
 
hapa sasa umenifungua macho, kuna yule profesa wachuo kikuu alivamiwa na majambazi, hii inawezekana kukawa na chochote hapa?


ile ilipangwa tena kwa ustadi mkubwa sana...hata namna alivyopigwa risasi..nikuulize swali: si walisema wanaunda tume ya kuchunguza mauaji? ulishaiona riport ya tume hiyo achilia mbali kuisikia??
 
Kweli pesa ni kila kitu. Inaweza hata kuchukua uhai wa mtu.
 
Hivi wasira na said mwema wanajisikiaje wenzao wanapoumwa sasa na wao ndo sababu ya maradhi hayo, Mungu awalaani kabisa hawa wote ingawa si vema kuwalaani lakin wakati mwingine it is disgusting kwa nini tunashindana kwa hoja mbona haya mambo si magumu kihivyo. Nimewataja hawa coz walitajwa kuwa miongoni mwa watu waliosuka mpango pale moven pick. Inhuman sana jamani daaaah Ee Mungu unisamehe
 
nasema hivi,vita tanganyika inakuja,mimi nitashiliki kikamilifu..na vita hii haiepukiki bunduki ya maana nimeshapata...hakika vita hii itakua ya kutisha zaidi kama dr.slaa akiguswa!
 
Fiksi tupu hapo hamna kitu anatuyeyusha,

1. Hakuna mpuuzi wa kuongelea jambo nyeti na la hatari kama hilo Hotelini tena ya kimataifa

2. Ameshindwa nini kuwataja hao majasusi kama wengine wamewezekani, anaficha kitu au hana uhakika?

3. KGB hawa deals na individual au private group so anatueleza kuwa Usalama wa Taifa ndo wameshiliki katika mpango huo na hii maanake ni kuwa Serikali inautambua mpango mzima sasa vipi tena aombe Serikali hiyo hiyo kuchukua hatua?

4. Haingii akilini Usalama wa Taifa kwa resource zote walizo nazo wakafanyie kikao kama hicho upenuni huo ni uongo tena ni uchonganishi, hao watu anaowataja wanatakiwa kuuwa wako kwenye ngazi za juu Serikali na huyo Mwakyembe na wenzie wanauwezo gani wa kuzuia mafisadi kama wenyewe tu wamejaa vimeo vya kashfa....

Kama ningekuwa nawahitaji wala nisingetumia nguvu kubwa hivyo au kuhitaji damu kumwagika maana wote hao wamejaa uchafu wa kuwamaliza wenyewe.

5. Binafsi nimefika hadi nyumbani kwa Dr Mwakyembe yaani anamalizika kiubua kweli sasa hadithi za kwenda kununua sumu urusi mbona ya kufikirika sana.

NASEMA HIVI we ni mzushi na Mwanga.
 
Kuna kazi ipo kwa staili hii
Mtoa hoja hakuna haja ya kutotaja majina ya wahusika.
Mbona majina ya walengwa umeyataja kiufasaha?
 
Back
Top Bottom