Kuhusu Mwakyembe na Mwandosya this can be true kabisa!

Kuhusu Mwakyembe na Mwandosya this can be true kabisa!

Naona umeshanijibu hapa chini!

Hakika kwa hali hii hawa magamba ni hatari tena hatari ya mwisho. Ingali hii thread iko hivi hakika watu wako makini ndani ya Jamiiforums.com ila hakika tutafika tu. WAO WANA PESA sisi TUNA MUNGU.
 
mkuu, hebu nambie bana, hii ndo ile ulisema utaileta ya kutisha sana au ile haijakamilika??

Halafu wale jamaa zako wa Kijitonyama pale akili zao sio nzuri kabisa........wenyewe wataondolewa kama wanavyoondoa wenzao.........issue ni hela mzee!!!
 
Very sad, Kama hii taarifa ni ya kweli naamini tunapokenda lazima tuchinjane ili tueshimiane otherwise kunawatu nahisi wanajiona wanahaki ya kuishji hapa nchini kama vile ndiyo wenye haki hiyo pekee. Shinzi tipu!!!

Na huyu LIMO ni nani unaweza kutoa wasifu wake kidogo tumjue au ndiyo yule Mwakiembe alimtaja kama MAASTER?
 
]Mweeeeh. Hiyo ni nouma![/COLOR]

Zinapatikana wapi hizo makitu?

Umenichekesha wewe......Ni uoga au huamini vile!!!!

Anyway.....kama hii stori ni kweli yaaani yaaani tunakoelekea ni kubaya sana! Ole wao, Ole asema Bwana!!!
 
Yeah tunahitaji Intellectuals wa namna hii na sio kutwa kucha tunaandika mapenzi na ngono tu! 🙂thanks mpwa nimeisoma na imekaa vizuri hasa ile version ya asubuhi
 
Mara nyingi ndivyo inavyokuwa but Hawa Majasusi wakae wakijua wachezee kote ni Mheshimiwa Dr. Slaa Rais ajaye!

Hapo kama hawajui ndipo vita atakapoanza na watajua je JWTZ na USALAMA WA TAIFA ni Mali yetu au Yao Maana Libya itakuwa cha Mtoto!
 
Mmmh haya ila kweli polonium 236 imetumika ...................nashukuru kwa taarifa. How do you rate your source in a scale of (1-10).
 
Umeandika vizuri hii makala na uchunguzi wako ulioufanya ukiwa JF.Ungelinifanya niamini ila hiyo Polonium ndiyo umevuruga kila kitu.Kwa nini wasimuuwe Kikwete kama wana uwezo wa kuwa nayo? Kutumia KIFARU kuuwa mtu mmoja, inanipa sana shida kuamini.Hizo hizo POLONIUM mnafikiri unaenda tu RUSSIA na unaletewa? Hahaaaaa...... 🙂
 
aiseeeeehhh hii nchi kila kitu ni uwalakini.....................sijui itakuaje huko mbele,lets wait
 
For curiosity, waheshimiwa waligonga
kikombe semunge maanaake kuna maradhi wanayo na wanayajua.

Ila Kyela na rungwe na mbeya kwa ujumla wake kuna ngoma ya ukweli na mamia wanateketea, vigogo ni sehemu ya jamii na inawezekana kabisa na wao kuwa connected.

Tunajua bongo zipo excuse kwa wakubwa kupata ila si vibaya likatazamwa btn lines pamoja na hujuma.
 
Amaa kweli ccm imekosa sera sasa imeamua kumwaga damu, hii ripoti imenifundisha kuwa ccm hawatakua teyari kuondoka madarakani hata kama damu ikimwagia either maandamano yasiyo ya amani au kivyovyote nadhani wanesahau ule usemi unaosema chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho. Poleni sana ccm kwani damu ya mtu/watu inatesa sana huenda hata hii kuyumba kwenu ni mambo kama haya mliyafanya huko tulikotoka
 
Kama movie vile tunazoangalia zile za kijasusi wajuzi wa movie watanisaidia.....aisee hii ni hatari kubwa

Hakuna movie hapo, hiyo ndio kazi ya TISS. Wale walioachiwa kwa kumuua Kombe ni movie? Style zao nyingine ni kuua kwa style ya majambazi.
 

Baada ya kushauriwa na afisa mwandamizi wa JF bwana PAW kuwa niifanyie marekebisho kidogo hii ripoti na mimi bila hiyana nimefanya hivyo. Ni matumaini yangu kuwa japo uhalisia kamili wa ripoti utakuwa umepungua lakini nitawaomba kuweni wavumilivu.

Vilevile nitawaomba radhi wale mtakao kerwa na mpangilio mbovu wa hii ripoti, hii ni kwa kuwa mimi si mtaalamu sana wa uandaaji wa ripoti.





RIPOTI YA UCHUNGUZI BINAFSI JUU YA UGONJWA WA DR HARISON MWAKYEMBE 12/10/ 2011

JASON BOURNE
TEL:*********
ID************

Hatua ya kwanza:
Niliamua kujua kama ni kweli kalishwa sumu au laa. Na watu nilio wahusisha katika kujua huko ni TISS.

Katika uchunguzi niliweza kuzungumza na LTK wapatao kumi na tano.
  1. Maboharia wawili
  2. Wapanga mikakati wawili
  3. Mkuu wa LTK
  4. Vijana wa kazi kumi
Wote maelezo yao yalifanana kwa maana ya (walishiriki kupanga na kutekeleza kumlisha sumu Dr Harison Mwakyembe)

Hatua walizopitia:

Kwa mujibu wa maelezo ya LTK/D00/B1 mkuu wa kitengo hicho ambae kwa kweli niliongea nae kama rafiki yangu wa karibu ndie aliyenipa mwangaza wakufanikisha kazi yangu.

Katika misheni hii watu wengi wanatakiwa KUFA, nitawataja wale muhimu tu:
1. Wilblod Slaa
2. Samweli Sitta
3. Harison Mwakyembe
4. Said Kubenea
5. Mark Mwandosya

Mnamo ijumaa ya tarehe 01/10/2010 saa 4:25, kikao kikuu cha mikakati kilikalika Moven Pick kikihudhuriwa na watu sita,
  1. TISS/A001 XXX
  2. TISS/B1
  3. TISSB32
  4. TISS/B5
  5. TISS/A6
  6. TISS/F5
Baada ya mjadala wa saa moja uliogusa magumu inayokumbana serikali na watu walio waona wao ni vikwazo na waliosababisha magumu hayo, ndipo wakaibuka na listi ya wanaotakiwa kusalimisha uhai wao:

Bada ya hapo kesho yake TISS/B1 alikutana na LTK/D00/B1 na kumpa amri ya misheni hiyo na orodha kamili ya watuhumiwa bila kumwambia sababu za mauaji hayo, zaidi alisema "nahitaji ripoti ya utekelezaji".



Baada ya amri kuwa chini ya LTK, mikakati ya aina ya kifo kwa kila mtuhumiwa ilipangwa ambapo walipamgwa katika makundi matatu,

1 Samweli Sitta
2 Harison Mwakyembe
3 Mark Mwandosya
Hawa wamepangiwa vifo vya aina mbili kwanza ajali na ikishindikana watalishwa sumu.

1 Said Kubenea

Kumwagiwa tindikali, baada ya kufeli ile ya kwanza imeagizwa nyingine toka Bulgaria yenye kuua baada ya masaa kumi na mbili tu!

1.Wilblod Slaa

Huyu anatakiwa kufa kwa shabaha ya risasi (snipers) ndio wanao andaliwa tu kwa sasa.

Waliopewa kipaumbele kufa ni Samweli Sita, Mark Mwandosya na Harison Mwakyembe ambapo LTK/D00/B10, LTK/D00/B14, LTK/D00/B17 na LTK/D00/B21 walipewa kazi hiyo.

Kikwazo kikuu walichokumbana nacho vijana wa kazi, ni kuwa, Sita, Mwandosya na Mwakyembe wote ni majasusi na kwapamoja walifanikiwa kufumbua njama hizo chafu za mauaji kwa siri.

Mitego ya ajari 16 kwa Mwakyembe yote imemkosa, 12 kwa Sita nayo ikamkosa,7 kwa Mwandosya nae kakoswa.

Walipoona mbinu zote za vifo vya ajali zimefeli wakahamia kwenye aina ya pili ya vifo vya kulishwa sumu:


Katika aina hii ya mauaji kwa muujibu wa vijana wa kazi wanashangaa uimara wa Samweli Sita na Mwakyembe kwani wameshalishwa aina nyingi za sumu lakini bado wanadunda tu, kwanza sumu ya kwanza kuwalisha ni katika kikao cha kwanza cha bunge mwa 2011, hawakupata madhara yoyote.


Wakabadilishiwa aina ya sumu, hakika hii ilimpata zaidi Mwandosya kwani ilipandikizwa katka simu yake ya mkononi bila yeye kujua saa 4:40 asubuhi ofisini kwake tarehe 7/3/2011.

Aina hii ya sumu (jina sikupata kujua lakini hapa huitwa LTK/XXX) nayo ilishindwa kuzaa matunda kwa Mwakyembe na Sita licha ya kupewa katika mazingira tofauti,hii ilitokana na kuwa kidogo.



Zoezi hili zito na la hatari baada ya kuwa gumu kupita kiwango kwakuwa hata Mwandosya hakudhurika sana, ilibidi uhitajike msaada toka nje ya nchi na ndipo jasusi mashuhuri wa kitanzania Exaveri H.Limo akaenda Urusi kutafuta aina nyingine ya sumu kali.

Tarehe 11/7/2011 akafanikiwa kukutana na Zudrav Ghev mmoja wa wakemia wa KGB katka kituo cha Moscow akapata Polonium 236, kutokana na unyeti na hatari ya sumu hiyo ilimlazimu bwana Zudrav Ghev kuchukua ndege ya watu wa tano na kuruka mpaka tz .

Baada ya kufika tz bwana Zudrav alitoa mafunzo ya wiki moja jinzi ya kuhifadhi na kutumia kisha akatokomea kurudi kwao na vijana wake wanne.


Baada ya Mrusi kuondoka misheni zikaendelea na mnamo tarehe 24 /7/ 2011 wakati afya ya Mwandosya ikiendelea kuzorota mmoja wa LTK/D00/B10 wa kike alifanikiwa kumuwekea Polonium 236 katika chai nyumbani kwake akiwa ni miongoni mwa watu waliokwenda kumjulia hali,

Na Mwakyembe alikuja kuwekewa ktk maji ya kunywa na kwenye kitambaa cha kufutia uso LTK/D00/B17 siku ya uzinduzi wa kikao cha Makandarasi,Wahandisi na Wakadiriaji majenzi pale Mlimani City kilichohudhuriwa na rais.

Kuonyesha kuwa Mwakyembe ni jasusi aliye kubuhu siku hiyo maji hakuyanywa wala kugusa kabisa lakini mungu si athumani kitambaa akakitumia, jambo la kushangaza nikuwa baada ya kama dakika 20 kukitumia kile kitambaa alikitupa wakati anatoka eneo la Mlimani City.

Hivi sasa LTK wameshamaliza kazi yao kwa watu wawili na anayefuata ni Samweli Sita
Na uwezekano wa kupona kwa India ni mdogo ila wanaweza kupunguza makali na kusogeza mbeli mauti yao hiyo ni kwa mujibu wa mkuu wa LTK.

Slaa maandalizi yake yanaangalia zaidi uchaguzi ujao ingawa kumeingia aina ya mabishano makali juu ya kumuua hasa wakihofia kutokea kwa vita ya wenyewe kwa wenyewe kwakuwa jamii ya kitanzania na kimatafa inamtambua.


Said Kubenea amekabidhiwa LTK/D00/B21 ambae anasubiri kitendea kazi toka Bulgaria ambapo jasusi Yugrov Dittzov ndie atakae ileta.





Huu ndio uchunguzi wangu binafsi baada ya kupata taarifa juu ya hali ya Dr Harison Mwakyembe kuwa ni tete.

Nasema kuwa serikali ya Tanzania inafanya mauaji ya rai wake hasa viongozi wenye mtazamo tofauti na serikali.

Naiomba serikali ya Mh rais isikilize kilio cha watanzania isisikilize kilio cha wa kwasi na mafisadi.

Nina waomba watanzania tuungane pamoja bila kujali dini zetu,makabila yetu wala rangi zetu kulikataa kundi hili la wahalifu lisilozidi watu 30.




Huu ni uchunguzi wangu, unahaki ya kusubiri uchungu wa madaktari wa India

ASANTENI SANA:
JASON BOURNE

Dr. Slaa akiuawa, kushika 'mtutu' itakuwa ni wajibu wangu wa kwanza kwani mafunzo ninayo. Dr. Slaa hana historia ya ugonjwa wowote ndio maana wanataka kutumia u-sniper.
 
Sasa hii ndo nini? kumbe marekebisho yenyewe ni kuondoa majina. Sasa kunatofauti gani kati ya JF na magazeti mengine ambayo yanakataa kutaja wahusika. Ipo wapi ile kauli ya "where we dare to talk openly" au JF imeingiliwa? Aaaghh...

haina haja ya kuandikana majina huku!i blv he did right!
 
Hii nchi tusipoangalia kuna watu watatupeleka pabaya kutokana na uchu na uroho wa madaraka.
 
Hapa nilipo nimesoma habari hii kwny selula yangu ya kichina, kwa uoga nimejikuta nikiilowesha kwa jasho na machozi mpk imezimika! Ama kweli: TANZANIA ZAIDI YA TUIJUAVYO! Natafuta uraia wa Somalia!
 
Back
Top Bottom