Mkuu JB....Ahsante sana kwa kutuletea habari hii "japo haijathibitishwa" nakumbuka siku ile ulisema utatuletea ukweli wa jambo hili baada ya
masaa 48....lakini yakapita, si mbaya leo umetuletea. Nakumbuka siku ile nilikuiambia kuwa ninahisi wewe uko sehemu nyeti sana serikalini kutokana
na taharifa zako za jikoni. Ahsante sana mkuu kwa kutuletea umafia kama huu (kama ni kweli) ila narudia te tunes na kukuambia kuwa muangalifu sana
magamba wasikushtukie kama unamwaga data kama hizi
hadharani maana wanaweza kukukolimba na kukukombe!. Big up JB[/
As long as i know Polonium 236, scientifically if his wife she is still safe, no any infections, then sio kweli, jamani you people just ISIKIENI TU VERBALLY POLONIUM, is the most dangerous element, it's a desintegrating element, in kiswahili unapukutika if it affected u, na pia inasambaa kwa mtu wakaribu mnaeshea nae say kitanda, au taulo, au hata mate, ni HATARIIIII, search