Mkuu unataka kusema kunampango wakusafisha viongozi wote mbeya
Mkuu watu wamekunywa maji ya bendera ya ccm! Hawaambiliki wala kusikia la mkuu!Hivi hii watanzania wanafahamu? kwanini watu wanaendelea kutetea ujinga wa CCM na viongozi wake? Hii ni hatari,tunashukuru mkuu kwa taarifa hii nzuri japo yenye huzuni.....
Hii thread imejaa mambo ya ndani sana, kama ni ya kweli, inawezekana huyu aliyeanzisha hii mada anahusika. Vinginevyo kuna walakini ndani yake.
kuna jambo kubwa hulijui juu ya kifo cha mwakyusa.......
hii inaweza kuwa kali kuliko hata Prison Break...
kuna jambo kubwa hulijui juu ya kifo cha mwakyusa.......
last to be killed!sawa. Nini kirefu cha ltk?
Wakuu mlioko huko mbele kaeni mkiomba msikutane uso kwa uso na Balali,na ukimuona usiseme na pia usigundulike kama ulimuona,katika ile most wanted list,jina la JB limeongezwa.Mbona wengine wanadai eti sababu ya kifo chake ni kua alimuona Balali wakati alipokua Marekani??
Ukipambana na adui unaemuona na yeye hakuoni na ukaujua uwezo wake wote ni nusu ya ushindi kwako!!Wakuu mlioko huko mbele kaeni mkiomba msikutane uso kwa uso na Balali,na ukimuona usiseme na pia usigundulike kama ulimuona,katika ile most wanted list,jina la JB limeongezwa.
ndugu inatisha hii. how comes u hv all information frm both sides. anyway kwa hali hii tanzanian we should join hands.
Nawashukuru sana wapiganaji wenzangu muhimu wa jf kwa kuukubali uchunguzi wangu japo kutofautia kifkra ndilo jambo jema ktk dunia hii!
"THE INQUISITIVE MONKEY GETS A BULLET IN THE FACE",by CHINUA ACHEBE.Take it easy buddy i'm just joking!Ukipambana na adui unaemuona na yeye hakuoni na ukaujua uwezo wake wote ni nusu ya ushindi kwako!!