Kuhusu Muungano, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Adai ni Zanzibar Pekee iliyopoteza Sovereignty, Je Yuko Sahihi?

Mkuu Resurrection , chuki ya Zanzibar itoke wapi and for what?. Tena ujue kiukweli baadhi yetu huku bara, tunawapenda sana Wanzanzibari waki Zanzibari kuliko Wabara wakibara!. Kama unasubiria muungano uvunjike, then utasubiri sana, kama fisi anavyomfuata binadamu kwa nyuma, akiangalia jinsi anavyotingisha mikono, fisi anamfuata huku ana,ezea mate akiamini hiyo mikono imeregea karibu itaanguka. Utasuburi sana!.
P
Umeishi Zanziba? Kuna baadhi wana chuki sana kwa wale wanaowaita machogo. Na wengine dhidi ya wapemba. Kisiwa kimejaa sana chuki kile.

Amandla...
 
kweli lumumba imekuharibu,huyu ni mwanasheria na anajua nn anachoongea kama ZNZ ni nchi kwann iliondolewa OIC ?????
Wanabodi,

Wale wenye access na Plus TV, watch now kipindi cha Uso kwa Uso, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman asema uongo wa wazi wa mchana kweupe kuhusu muungano wetu.

Mhe. Masoud anadanganya u kuwa Tanganyika na Zanzibar tulipoungana, ile 1964, ni nchi moja tuu ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ndio pekee iliyopoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Jamhuri ya Tanganyika, lakini Tanganyika haikupoteza sovereignity yake, bali Tanganyika ilibadili tuu jina kutoka Tanganyika kugeuka Tanzania with its sovereignity, kitu ambacho sii kweli!.

Kiukweli kabisa Tanzania bado tunahitaji sana civic éducation kuhusu huu muungano wetu, hata kwa baadhi ya Viongozi wetu, hawaujui vizuri huu muungano wetu hivyo wanapotosha bure watu wao na umma kwa ujumla.

Msingi mkuu wa muungano wetu ni dhima, kuwa sisi Watanzania ni ndugu moja, sisi ni wamoja, hivyo muungano ni kurudisha tuu asili yetu iliyotenganishwa na wakoloni. Dhima hiyo ndio ikatumiwa na Nyerere na Karume kuasisi huu muungano uliopo hadi leo. Hivyo anapoibuka kiongozi yeyote kutaka kuipotosha hii Dhima, Wazalendo tuliopo tunaoujua ukweli huu hatuwezi kunyamaza !.

Ukweli ni kuwa, tulipoungana ile 1964, nchi zote mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi zote mbili zilipoteza sovereignity zake, kwa Zanzibar kupoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Tanzania, la Tanganyika pia sio tuu ikapoteza sovereignity yake, bali hadi jina lake la Tanganyika na kuikabidhi kwa Tanzania. Tukaunda taifa moja jipya la Tanzania lenye nchi mbili ndani yake na zote hazina sovereignity zake. Nchi iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ikawa haipo tena na nchi ya Jamhuri ya Tanganyika pia ikawa haipo, kilichopo ni nchi moja mpya ya JMT, ambayo ina sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Mimi sitatizwi na uongo wowote wa kawaida ambao hauna madhara, lakini uongo mkubwa kama huu, kuhusu muungano wetu adhimu, na kutoka kwa mtu mwenye cheo kikubwa kama hiki, aliyekuwa mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, huu ni uongo wenye madhara makubwa kwa mustakabali mwema wa muungano wetu. Uongo kama huu una kitu kinachoitwa "ill motives" kwenye "the reasons or motivés behind" Jee lengo la uongo huu ni nini?.

Wakati wa Bunge la Katiba, niliwahi kutoa angalizo hili kuhusu mtu huyu
na kweli Dr. Shein alimshughulikia.

Muungano wetu ni muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa sawa, hakuna mkubwa wala mdogo, ndani ya muungano Tanganyika na Zanzibar ziko sawa sawa na zote mbili zilipoteza sovereignity zake na kuikabidhi kwa serikali ya JMT.

Muungano wetu ni aina ya muungano very unique duniani, kimataifa muungano wetu ni union wa nchi mbili zimeungana na kuunda nchi moja ya Tanzania. Hivyo Tanzania kimataifa ni nchi moja ya JMT, ni taifa moja, ni dola moja yenye rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni Samia. Pia tuna Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu. Kimataifa Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.

Muungano wetu ndani ya muungano, muungano wetu ni muungano wa nchi mbili, yaani federation, hivyo ndani ya muungano, Zanzibar ni nchi, yenye rais wake, serikali yake, ina katiba yake, ambayo mabadiliko yaliyofanywa 2010 kuunda SUK, hayatambuliwi na katiba ya JMT. Kwa vile ndani ya muungano Zanzibar ina mamlaka yake huru bila kuingiliwa na serikali ya JMT, la katiba hiyo ni kwa ajili ya mambo yake ya ndani, japo katiba hiyo iko kinyume cha katiba ya JMT, lakini kwa vile ni ya ndani ya Zanzibar,

Kwa upande wa GNU au SUK,
ni serikali ya coalition. Kwenye coalition zote kuna the majority na a minority. A minority ndani ya coalition anatekeleza sera za à majority. Hivyo Viongozi wa ACT ndani ya serikali ya SUK ya Zanzibar, wanatekeza sera CCM.

Hivyo Viongozi wote wa ACT Wazalendo waliomo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar wanapaswa kuhubiri na kutekeleza sera za CCM, hivyo hata wanapoalikwa popote kwenye public, watatanguliza maslahi ya Zanzibar kwa mujibu wa sera za chama tawala.

Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.

Paskali
 
Wanabodi,

Wale wenye access na Plus TV, watch now kipindi cha Uso kwa Uso, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman asema uongo wa wazi wa mchana kweupe kuhusu muungano wetu.

Mhe. Masoud anadanganya u kuwa Tanganyika na Zanzibar tulipoungana, ile 1964, ni nchi moja tuu ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ndio pekee iliyopoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Jamhuri ya Tanganyika, lakini Tanganyika haikupoteza sovereignity yake, bali Tanganyika ilibadili tuu jina kutoka Tanganyika kugeuka Tanzania with its sovereignity, kitu ambacho sii kweli!.

Kiukweli kabisa Tanzania bado tunahitaji sana civic éducation kuhusu huu muungano wetu, hata kwa baadhi ya Viongozi wetu, hawaujui vizuri huu muungano wetu hivyo wanapotosha bure watu wao na umma kwa ujumla.

Msingi mkuu wa muungano wetu ni dhima, kuwa sisi Watanzania ni ndugu moja, sisi ni wamoja, hivyo muungano ni kurudisha tuu asili yetu iliyotenganishwa na wakoloni. Dhima hiyo ndio ikatumiwa na Nyerere na Karume kuasisi huu muungano uliopo hadi leo. Hivyo anapoibuka kiongozi yeyote kutaka kuipotosha hii Dhima, Wazalendo tuliopo tunaoujua ukweli huu hatuwezi kunyamaza !.

Ukweli ni kuwa, tulipoungana ile 1964, nchi zote mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi zote mbili zilipoteza sovereignity zake, kwa Zanzibar kupoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Tanzania, la Tanganyika pia sio tuu ikapoteza sovereignity yake, bali hadi jina lake la Tanganyika na kuikabidhi kwa Tanzania. Tukaunda taifa moja jipya la Tanzania lenye nchi mbili ndani yake na zote hazina sovereignity zake. Nchi iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ikawa haipo tena na nchi ya Jamhuri ya Tanganyika pia ikawa haipo, kilichopo ni nchi moja mpya ya JMT, ambayo ina sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Mimi sitatizwi na uongo wowote wa kawaida ambao hauna madhara, lakini uongo mkubwa kama huu, kuhusu muungano wetu adhimu, na kutoka kwa mtu mwenye cheo kikubwa kama hiki, aliyekuwa mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, huu ni uongo wenye madhara makubwa kwa mustakabali mwema wa muungano wetu. Uongo kama huu una kitu kinachoitwa "ill motives" kwenye "the reasons or motivés behind" Jee lengo la uongo huu ni nini?.

Wakati wa Bunge la Katiba, niliwahi kutoa angalizo hili kuhusu mtu huyu
na kweli Dr. Shein alimshughulikia.

Muungano wetu ni muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa sawa, hakuna mkubwa wala mdogo, ndani ya muungano Tanganyika na Zanzibar ziko sawa sawa na zote mbili zilipoteza sovereignity zake na kuikabidhi kwa serikali ya JMT.

Muungano wetu ni aina ya muungano very unique duniani, kimataifa muungano wetu ni union wa nchi mbili zimeungana na kuunda nchi moja ya Tanzania. Hivyo Tanzania kimataifa ni nchi moja ya JMT, ni taifa moja, ni dola moja yenye rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni Samia. Pia tuna Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu. Kimataifa Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.

Muungano wetu ndani ya muungano, muungano wetu ni muungano wa nchi mbili, yaani federation, hivyo ndani ya muungano, Zanzibar ni nchi, yenye rais wake, serikali yake, ina katiba yake, ambayo mabadiliko yaliyofanywa 2010 kuunda SUK, hayatambuliwi na katiba ya JMT. Kwa vile ndani ya muungano Zanzibar ina mamlaka yake huru bila kuingiliwa na serikali ya JMT, la katiba hiyo ni kwa ajili ya mambo yake ya ndani, japo katiba hiyo iko kinyume cha katiba ya JMT, lakini kwa vile ni ya ndani ya Zanzibar,

Kwa upande wa GNU au SUK,
ni serikali ya coalition. Kwenye coalition zote kuna the majority na a minority. A minority ndani ya coalition anatekeleza sera za à majority. Hivyo Viongozi wa ACT ndani ya serikali ya SUK ya Zanzibar, wanatekeza sera CCM.

Hivyo Viongozi wote wa ACT Wazalendo waliomo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar wanapaswa kuhubiri na kutekeleza sera za CCM, hivyo hata wanapoalikwa popote kwenye public, watatanguliza maslahi ya Zanzibar kwa mujibu wa sera za chama tawala.

Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.

Paskali
Kesho kutwa tutapofika December kutakuwa na sherehe ya UHURU.
uhuru upi ? Watanzania au watanganyika?

Maana Tanzaina haikupata uhuru imezaliwa tarehe 26 April 1964.
Lakini hiyo sherehe ni ya Uhuru wa Tanganyika.
Pia isitoshe angalia katiba ya mwanzo ya Tanzania ilivyo undwa. Ilichukuliwa katiba ya Tanganyika na kubadilishwa. Kila pahala panasomeka Tanganyika ikawekwa neno Tanzania.

kwa maana hiyo ni kama Tanganyika imebadili jina kutoka Tanganyika kuja Tanzania. Sawa Na Rhodesia kuitwa Zimbabwe.

Kwa hivyo Zanzibar hapo haipo.

Na sasa hakuna jambo Zanzizibar wanaloweza kufanya bila kupitia Katika Serikali Ya muungano Tanzania which is Tanganyika.

Samahani sana huwezi kumuita kiongozi muongo.
Kuna lugha unatumia ya watu wenye hekima na busara
 
Jidanganye mwenyw
Mkuu kipengele cha kwanza sio sahihi hata kidogo... Znz ina jiamulia mambo yake yote ambayo sio ya muungano na mengine kadhaa mfano mdogo swala la ardhi wameamua kuwa sideline wa tanganyika, znz walijiamukia kuwa na serikali ya maridhiano, znz walijiamulia kuwa na vitambulisho vya mkaazi ambavyo ww mbara huwezi pewa ng'oooo lkn huku bara vya NIDA ndivyo ivyo ivyo tuna gawana nawo
 
Huu ni muungano wa kisanii fullstop
Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili, serikali mbili na katiba mbili. Katiba moja ya JMT ya mwaka 1977 imesema Tanzania ni nchi moja ya JMT, Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT.

Katiba ya pili ni katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, ambayo ilirekebishwa mwaka 2010 inaitambua Zanzibar kuwa ni nchi na ni moja ya nchi mbili zinazounda JMT.

This is contradiction.
Kwa mujibu wa katiba ya JMT, Katiba ya Zanzibar ni Batili !. Ila kwa vile JMT inaendeshwa na katiba ya JMT na huo ubatili wa katiba ya Zanzibar hauhusu JMT, serikali ya JMT haijaingilia kati kuingilia mambo ya ndani ya Zanzibar yasituhusu. Ilichofanya katiba ya JMT ni kujinyamazia tuu kimya hivyo huo ubatili wa katiba ya Zanzibar, hauingii huku Bara, lakini ndani ya Zanzibar, katiba hiyo ni halali kabisa.
P
 
Ukwel lazma usemwe japo mchungu,zama za ulaghai na usanii zmekwisha
Kuna hatari siku watu watachoka kuvumiliana kwenye mfumo wa serikali ya umoja wa kitaifa zanzibar. Unakuta kiongozi mkubwa makamu wa kwanza wakati wote ana maoni ya kuudhi au kama huyo masudi saa zote anapinga muungano na anafanya mambo tofauti na sheria na taratibu. Amekua anaingilia mara kwa mara shughuli ya serikali ya muungano mambo ya nje kwa kutuma salamu kama zanzibar kwa viongozi wa dola za nje.
 
Kwa maono yangu Zanzibar walibaki na Serikali yao! Serikali ya Tanganyika iko wapi? Paschal pamoja na usomi ulio nao hulioni hilo?

Tusiwekeane mabanzi kwenye macho jamani! Kwenye Muungano bado kuna mambo hayako sawa! Wazanzibar ruhusa kugombea uongozi huku Bara! Wabara hawaruhusiwi! Paschal hilo hulioni hilo? Wala halihitaji elimu ya PHD. Mfano mzuri ni Rais wa sasa wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar! Amewahi kuwa Mbunge huku Bara, akatoka akaenda Zanzibar, miaka mitano akarudi Bara, akalamba uwaziri JMT na sasa Rais wa Zanzibar! Je kuna uwiano hapo?
 
Wanabodi,

Wale wenye access na Plus TV, watch now kipindi cha Uso kwa Uso, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman asema uongo wa wazi wa mchana kweupe kuhusu muungano wetu.

Mhe. Masoud anadanganya u kuwa Tanganyika na Zanzibar tulipoungana, ile 1964, ni nchi moja tuu ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ndio pekee iliyopoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Jamhuri ya Tanganyika, lakini Tanganyika haikupoteza sovereignity yake, bali Tanganyika ilibadili tuu jina kutoka Tanganyika kugeuka Tanzania with its sovereignity, kitu ambacho sii kweli!.

Kiukweli kabisa Tanzania bado tunahitaji sana civic éducation kuhusu huu muungano wetu, hata kwa baadhi ya Viongozi wetu, hawaujui vizuri huu muungano wetu hivyo wanapotosha bure watu wao na umma kwa ujumla.

Msingi mkuu wa muungano wetu ni dhima, kuwa sisi Watanzania ni ndugu moja, sisi ni wamoja, hivyo muungano ni kurudisha tuu asili yetu iliyotenganishwa na wakoloni. Dhima hiyo ndio ikatumiwa na Nyerere na Karume kuasisi huu muungano uliopo hadi leo. Hivyo anapoibuka kiongozi yeyote kutaka kuipotosha hii Dhima, Wazalendo tuliopo tunaoujua ukweli huu hatuwezi kunyamaza !.

Ukweli ni kuwa, tulipoungana ile 1964, nchi zote mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi zote mbili zilipoteza sovereignity zake, kwa Zanzibar kupoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Tanzania, la Tanganyika pia sio tuu ikapoteza sovereignity yake, bali hadi jina lake la Tanganyika na kuikabidhi kwa Tanzania. Tukaunda taifa moja jipya la Tanzania lenye nchi mbili ndani yake na zote hazina sovereignity zake. Nchi iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ikawa haipo tena na nchi ya Jamhuri ya Tanganyika pia ikawa haipo, kilichopo ni nchi moja mpya ya JMT, ambayo ina sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Mimi sitatizwi na uongo wowote wa kawaida ambao hauna madhara, lakini uongo mkubwa kama huu, kuhusu muungano wetu adhimu, na kutoka kwa mtu mwenye cheo kikubwa kama hiki, aliyekuwa mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, huu ni uongo wenye madhara makubwa kwa mustakabali mwema wa muungano wetu. Uongo kama huu una kitu kinachoitwa "ill motives" kwenye "the reasons or motivés behind" Jee lengo la uongo huu ni nini?.

Wakati wa Bunge la Katiba, niliwahi kutoa angalizo hili kuhusu mtu huyu
na kweli Dr. Shein alimshughulikia.

Muungano wetu ni muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa sawa, hakuna mkubwa wala mdogo, ndani ya muungano Tanganyika na Zanzibar ziko sawa sawa na zote mbili zilipoteza sovereignity zake na kuikabidhi kwa serikali ya JMT.

Muungano wetu ni aina ya muungano very unique duniani, kimataifa muungano wetu ni union wa nchi mbili zimeungana na kuunda nchi moja ya Tanzania. Hivyo Tanzania kimataifa ni nchi moja ya JMT, ni taifa moja, ni dola moja yenye rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni Samia. Pia tuna Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu. Kimataifa Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.

Muungano wetu ndani ya muungano, muungano wetu ni muungano wa nchi mbili, yaani federation, hivyo ndani ya muungano, Zanzibar ni nchi, yenye rais wake, serikali yake, ina katiba yake, ambayo mabadiliko yaliyofanywa 2010 kuunda SUK, hayatambuliwi na katiba ya JMT. Kwa vile ndani ya muungano Zanzibar ina mamlaka yake huru bila kuingiliwa na serikali ya JMT, la katiba hiyo ni kwa ajili ya mambo yake ya ndani, japo katiba hiyo iko kinyume cha katiba ya JMT, lakini kwa vile ni ya ndani ya Zanzibar,

Kwa upande wa GNU au SUK,
ni serikali ya coalition. Kwenye coalition zote kuna the majority na a minority. A minority ndani ya coalition anatekeleza sera za à majority. Hivyo Viongozi wa ACT ndani ya serikali ya SUK ya Zanzibar, wanatekeza sera CCM.

Hivyo Viongozi wote wa ACT Wazalendo waliomo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar wanapaswa kuhubiri na kutekeleza sera za CCM, hivyo hata wanapoalikwa popote kwenye public, watatanguliza maslahi ya Zanzibar kwa mujibu wa sera za chama tawala.

Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.

Paskali
Wajitenge waone!
Zitarushwa fighter jets 38 usawa wa mapaa ya mji mkongwe kama China kwa Taiwan, alafu tuone ataenda kumlilia nani @#$&+*#@!
 
Unauliza chuki ya wabara kwa wazenji mbna ipo wazi tu,au Lukuvi alipotamka maneno yake kuhusu ZNZ ulikuwa mtoto?????
Mkuu Resurrection , chuki ya Zanzibar itoke wapi and for what?. Tena ujue kiukweli baadhi yetu huku bara, tunawapenda sana Wanzanzibari waki Zanzibari kuliko Wabara wakibara!. Kama unasubiria muungano uvunjike, then utasubiri sana, kama fisi anavyomfuata binadamu kwa nyuma, akiangalia jinsi anavyotingisha mikono, fisi anamfuata huku ana,ezea mate akiamini hiyo mikono imeregea karibu itaanguka. Utasuburi sana!.
P
 
Muungano wetu una walakini kuanzia day one..hakuna terms zinazoeleweka, ndo mana upo fragile chama kimoja tu ndo kinaupgania. Siku chama kingine upande wowote kikachukua full authority ndo itakua mwisho wa huu muungano. Binafs sijawahi kuupenda, sijaona sababu ya kuungana nao kabsa..
 
Jemshed alikataliwa na ndugu zake wa Oman mpaka alipokaribia kufariki. Mnajidanganya kama mnadhani kuwa wa Oman wangewagia mafuta yao. Kule wanawapokea katika nafasi za kitwana lakini sio za utawala. Jemshed aliruhusiwa kurudi Oman kwa sharti kuwa yeye ni sehemu tu ya ukoo wa kisultani lakini sio mrithi wa usultani.

Mnapenda mno dezo. Mngekuwa kama Comoro sio Oman au Singapore.

Amandla...

Ugomvi wa familia ya Al Said siyo ugomvi wa watu wote wa Zanzibar na Oman. Wazanzibari na Waomani wana undugu mzuri tuu. Halafu kama unaona Wazanzibari ni wapenda dezo, kwa nini bado tunaung'ang'ania Muungano? Waache wafanye vyao ili wakupunguzie mzigo.
 
Hlo jibu lake lipo wazi kwa kila mwnye akili timamu,nchi ambayo hata kiongozi wake hatambulik kmataifa c usanii huo?????
Na vipi kuhusu sie wa bara, mbonà huku bara wa pemba wengi wana miliki ardhi tena na majumba lkn hukonznz mbara hata kibaraza tu hana haki ya kumiliki ?
 
Ugomvi wa familia ya Al Said siyo ugomvi wa watu wote wa Zanzibar na Oman. Wazanzibari na Waomani wana undugu mzuri tuu. Halafu kama unaona Wazanzibari ni wapenda dezo, kwa nini bado tunaung'ang'ania Muungano? Waache wafanye vyao ili wakupunguzie mzigo.
Unadhani wananchi wa Oman ndio wangewapa mafuta? Kama masultan hawaelewani hamna namna Zanzibar ingepewa mgao wa mafuta yao.
Wanaolalamikia Muungano ni wazanzibari kwa hiyo ni wajibu wao kuuvunja kama wanaona hauwafai. Wewe mume anakutesa, anakupiga, anakudhalilisha, anawatesa watoto lakini hautaki kuondoka mpaka akupe talaka. Zanzibar si nchi? Wana Rais, wana bunge lao na serikali yao, wanashindwa nini kuiambia JMT kuwa Muungano hawautaki? Kama kweli hawautaki, wawatume wawakilishi yao wakadai talaka. Kama wanaona CCM watawasiliti wawatume ACT Uzalendo wadai talaka na sio huu upuuzi wa kusema wanataka serikali tatu au serikali ya mkataba. Hivi unadhani mtanganyika gani anafaidika na huu Muungano moja kwa moja? Wangapi wana mashamba au biashara Zanzibar? Wangapi wanapeleka watoto wao wakasome Zanzibar? Wangapi wanapeleka wagonjwa wao Zanzibar? Wangapi ndugu zao wamehamia Zanzibar? Huu Muungano ukivunjika watakaoguswa zaidi ni wazanzibari kuliko mtanganyika wa Newala. Ndio maana hawataki kuuvunja bali wanataka watanganyika wauvunje ili mambo yakiwaharibikia wawatupie lawama machogo.

Amandla...
 
Dawa ya jambo hili ni maamuzi magumu yafuatayo: Kutoa notisi ya siku 90 wazanzibara wote walioko ZANZIBAR warudi Tanzania bara, na Wazanzibari wote walioko Tanzania bara warudi wZanzibar!!. Kila sehemu ya Jamhuri ya Muungano ione itawahifadhi vipi watu wao. Baada ya siku hizo 90, itolewe notisi ya siku 90 ya kutafakari, siku hizi zikiisha iitishwe kura ya maoni Tanzania bara na kule Zanzibar watu waamue aidha kuuvunja muungano au kuuimarisha kwa kuwa na nchi moja ya Tanzania yenye serikali moja tu! Hakuna cha serikali ya Zanzibar kama ilivyo hakuna serikali ya Tanganyika!! Matokeo ya kura hiyo yaheshimiwe!! Tanzania visiwani iwe mikoa miwili tu ya Tanzania!!
Hawa wazenji wametuchosha!! Wapemba wamejaa kila kona ya Tanzania bara lakini hawaridniki !! Waondoke warudi kwao!!!
Nakuhakikishia wazanzibar walio bara wapige kura ya maoni wao tu kwa niaba ya wazanzibar wote .basi wataukataa muungano na Mali zao watakao ziacha zitapelekea WATANGANYIKA kuwana sanaaaa
 
Mayala unamzidi nn othman masoud kuhusu Sheria wewe jarib kumuheshim hata kidogo inakuonesha waziwazi muungano huujui
 
Unadhani wananchi wa Oman ndio wangewapa mafuta? Kama masultan hawaelewani hamna namna Zanzibar ingepewa mgao wa mafuta yao.
Wanaolalamikia Muungano ni wazanzibari kwa hiyo ni wajibu wao kuuvunja kama wanaona hauwafai. Wewe mume anakutesa, anakupiga, anakudhalilisha, anawatesa watoto lakini hautaki kuondoka mpaka akupe talaka. Zanzibar si nchi? Wana Rais, wana bunge lao na serikali yao, wanashindwa nini kuiambia JMT kuwa Muungano hawautaki? Kama kweli hawautaki, wawatume wawakilishi yao wakadai talaka. Kama wanaona CCM watawasiliti wawatume ACT Uzalendo wadai talaka na sio huu upuuzi wa kusema wanataka serikali tatu au serikali ya mkataba. Hivi unadhani mtanganyika gani anafaidika na huu Muungano moja kwa moja? Wangapi wana mashamba au biashara Zanzibar? Wangapi wanapeleka watoto wao wakasome Zanzibar? Wangapi wanapeleka wagonjwa wao Zanzibar? Wangapi ndugu zao wamehamia Zanzibar? Huu Muungano ukivunjika watakaoguswa zaidi ni wazanzibari kuliko mtanganyika wa Newala. Ndio maana hawataki kuuvunja bali wanataka watanganyika wauvunje ili mambo yakiwaharibikia wawatupie lawama machogo.

Amandla...

Kwani Waomani wangapi wamepewa mafuta? Hata Wazanzibari wasingepewa mafuta wangefaidika tuu na utajiri ulioletwa na mafuta kama Waomani wengine wenzao ambao nao hawajapewa hayo mafuta. Halafu kwa jinsi unavyoiponda Zanzibar unaonyesha ni jinsi gani huo Muungano umeshindwa kuwaletea faida Wazanzibari. Hawana shule nzuri, hospitali nzuri, biashara haziendi wamebaki na umasikini. Ndiyo maana wameuchoka.
 
Back
Top Bottom