Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,039
- 3,480
- Thread starter
- #21
Kwa kuwa una uwezo wa kumiliki gari na kutambia wengine kwa kazi na biashara za haramu ndio unawataka wenzio waondoke kama fisi? Haya hebu tuone..Waondoke, kwanini wanafanya biashara kwenye reserve za barabara?