Luhaga Mpina: Wananchi kuporwa mali zao na kuuawa imekuwa kawaida siku za karibuni

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
"Wananchi kuuawa na kuporwa mali zao katika siku za karibuni imekuwa ni jambo la kawaida, wananchi kuuawa na kuporwa mali zao kwa visingizio vya kusimamia sheria za uhifadhi, mfano katika maeneo irani na hifadhi kunaripotiwa taarifa za wafugaji kuuawa, wanawake kuuawa wakiwa wanakusanya kuni kwenye misitu ya hifadhi, wengine mifugo yao kutaifishwa na kuuzwa kiholela na Serikali na hata wakishinda kesi Mahakamani mifugo yao hawarejeshewi, haya ni maonevu na dhuluma iliyopitiliza kwa wananchi wetu na ni kinyume kabisa na malengo ya Uhuru na Mapinduzi" -Mpina

Luhaga Mpina ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kisesa (CCM) amezungumza hayo alipokutana na Wanahabari kwenye Uwanja wa New Amani Complex, Zanzibar wakati wa maadhimisho ya miaka Sitini (60) ya Mapinduzi ya Zanzibar
 
"Wananchi kuuawa na kuporwa mali zao katika siku za karibuni imekuwa ni jambo la kawaida, wananchi kuuawa na kuporwa mali zao kwa visingizio vya kusimamia sheria za uhifadhi, mfano katika maeneo irani na hifadhi kunaripotiwa taarifa za wafugaji kuuawa, wanawake kuuawa wakiwa wanakusanya kuni kwenye misitu ya hifadhi, wengine mifugo yao kutaifishwa na kuuzwa kiholela na Serikali na hata wakishinda kesi Mahakamani mifugo yao hawarejeshewi, haya ni maonevu na dhuluma iliyopitiliza kwa wananchi wetu na ni kinyume kabisa na malengo ya Uhuru na Mapinduzi" -Mpina

Luhaga Mpina ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kisesa (CCM) amezungumza hayo alipokutana na Wanahabari kwenye Uwanja wa New Amani Complex, Zanzibar wakati wa maadhimisho ya miaka Sitini (60) ya Mapinduzi ya Zanzibar
Anajilipua mzee wa samaki
 
Ni Kweli anachoongea Luhaga ila kuna jambo anashndwa kuelewa eneo limeshaitwa hifadh inapaswa kuheshimiwa tukiacha mapori yetu yavamiwe na wakulima wafugaji wakata mikaa wachimbaji nch itakuwa jangwa na wenye kuathirika ni sisi wenyewe.

Na sisi wenyewe ndyo tutakuwa wakwanza kulaumu serikal kushndwa kulinda mapori yetu.mapori meng yamevamiwa na yamekuwa makaz ya watu hili bdo hatulioni.sheria iheshimiwe nakila mtu awe makundi yao.
 
ni Kweli anachoongea luhaga ila kuna jambo anashndwa kuelewa eneo limeshaitwa hifadh inapaswa kuheshimiwa tukiacha mapori yetu yavamiwe na wakulima wafugaji wakata mikaa wachimbaji nch itakuwa jangwa na wenye kuathirika ni sisi wenyewe.na sisi wenyewe ndyo tutakuwa wakwanza kulaumu serikal kushndwa kulinda mapori yetu.mapori meng yamevamiwa na yamekuwa makaz ya watu hili bdo hatulioni.sheria iheshimiwe nakila mtu awe makundi yao.
Hayo manyanyaso kwa wananchi hapo umeyatafsiri vipi chief
Pamoja na yote lakini kuna uonevu umetajwa hapo mbona umekaa kimya

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hayo manyanyaso kwa wananchi hapo umeyatafsiri vipi chief
Pamoja na yote lakini kuna uonevu umetajwa hapo mbona umekaa kimya

Uonevu upya ndyo mana nasema wote wawajibike km askar akifanya mauaji awajibishwe na pia hao wananchi pia sheria na ichukue mkondo wake.hakuna aliye juu ya sheria
 
"Wananchi kuuawa na kuporwa mali zao katika siku za karibuni imekuwa ni jambo la kawaida, wananchi kuuawa na kuporwa mali zao kwa visingizio vya kusimamia sheria za uhifadhi, mfano katika maeneo irani na hifadhi kunaripotiwa taarifa za wafugaji kuuawa, wanawake kuuawa wakiwa wanakusanya kuni kwenye misitu ya hifadhi, wengine mifugo yao kutaifishwa na kuuzwa kiholela na Serikali na hata wakishinda kesi Mahakamani mifugo yao hawarejeshewi, haya ni maonevu na dhuluma iliyopitiliza kwa wananchi wetu na ni kinyume kabisa na malengo ya Uhuru na Mapinduzi" -Mpina

Luhaga Mpina ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kisesa (CCM) amezungumza hayo alipokutana na Wanahabari kwenye Uwanja wa New Amani Complex, Zanzibar wakati wa maadhimisho ya miaka Sitini (60) ya Mapinduzi ya Zanzibar
Mpina Ni yule yule wa kupima samaki na rula au huyu Ni mwingine?
Mpina yule aliyekua anataifisha bus lililobeba samaki wafupi au wachanga as if mwenye Basi ndio mwenye mzigo.
Kama Ni huyo huyo muangalieni vizuri maana anaweza akavua nguo na kuokoya makopo
 
Back
Top Bottom