Kuepusha stress za ndoa, do not marry a first born... Responsibility kibao!

Kuepusha stress za ndoa, do not marry a first born... Responsibility kibao!

Hayo ndio maisha yetu yalivyo, mtoto wa 1 hasa wa kiume ni kama baba katika familia. Si hilo tu, kuna mengi yanakuja na yatahitaji attention yake. The price of greatness is responsibilities.
 
Najuta kuchelewa kuchangia huu uzi.Yaani vitoto vya kike vya siku hizi vingi vina roho mbaya sana kazi kupenda pesa tu, havina utu kabisa kama humpendi mama yangu hata mimi hunipendi tena nikikugundua nakupa talaka 3 yenye nukta.Pambaf...!

Kwa kweli kuna wanawake wenzetu wanajijali wao tu. Hata sielewi Natalia huwa anawaza nini. Naowambea kaka zangu wasije wakaoa wake aina ya Natalia.
 
huyu ndo Nataly bwana 'boss lady'
sio tu ana-run familia yake, ila ana-run jf kitengo cha MMU
 
Sasa nimemsoma Natalia uzi na comments zake nimekereka sana! Bora hata ningekacha kipindi!
Natalia asikukere wangu, utajiumiza mwenyewe, kichwa chake chamtosha mwenyewe. mzima ww?
 
Last edited by a moderator:
Kweli ukioa mke mtoto wa kwanza kwa familia ni majanga mkuu
 
Laiti angejua kuwa mama ana umuhimu gani, basi anagetamani awe anam'beba mgongoni masaa 24.
Tupunguze uzungu jamani kumbukeni maisha mliyolelewa tangu mkiwa wadogo.

Hakuna aliyesema mama hana umuhimu, lkn mnapoingia kwenye ndoa maana yake ni kuanza maisha ya peke yenu. Hapo kwenye mada tunaelezwa kuwa huyo mama kaja na wajukuu watatu, je huyo muolewaji anaridhia kuishi kambini?

Ndoa ni privacy bwana, tusiendekeze tamaduni za kijinga. Huyo mama siku zote alikuwa anaishi wapi? Hao wajukuu baba na mama zao wako wapi? Je huyo mke naye akileta mama na watoto wa mdogo wake hapo nyumbani, hiyo inakuwa nyumba au kambi?

Mama ana umuhimu yes, lakini asiwe kikwazo cha furaha ya mwanamke mwenzake. Yeye alishafaidi ndoa yake enzi hizo, kama kuhudumiwa na ahudumiwe huko alikokuwa akiishi.

Mnaanzaga kukosa maamuzi kwenye ndoa zenu halafu wake zenu wakitoka nje mnaanzisha thread nyiiingi hapa kujaza server. Mke anataka wasaa wa kuifurahia ndoa, akigeuka huku kuna vitoto sijui vya nani, akigeuka huku kuna mama, wewe mume bize na ukoo wako muda naye huna, asiende kuigawa huko anakakumbatiwa kwa amani gesti?

Kama unajua una kambi ya kulea usioe. Unaleta usumbufu kwa mwenzio
 
Natalia asikukere wangu, utajiumiza mwenyewe, kichwa chake chamtosha mwenyewe. mzima ww?

Unajua sometime mtu unajaribu kutomjali lakini unakutana na comments zake za ajabu unajikuta unakereka, maana unajiuliza hivi huyu mtu ambaye ni Mtanzania anaishi ulimwengu gani?

Ngoja niachane na Natalia. Mie mzima best, sijui wewe.
 
mmmmmh, maisha hayana formula jamani, leo unamuona mama mkwel wako mzigo, lakini mama yako na ndugu zako wakija je? na wewe utakuwa na fiorst born siku moja, na utafikia pia hatua unaumwa unataka kwenda kwake kutibiwa, mkweo akubague? wanawake tuacheni tabia za kichoyo na uzungu usiokuwa na maana!
 
Then unawezaje kutoa ushauri wa namna hiyo?
Nimesema tangu mwanzo tuweke uzungu pembeni, tuishi kiafrika zaidi.
Familia zetu ni extended si jambo la kushangaza.
Alafu muwe na imani japo kidogo jamani, unapomsaidia mtu hata Mungu naye hukuangalia na hukuongezea riziki.
Ndibalema,ndiyo shida ya watu kusahau kila kilicho kizuri cha mwafrika. Mwafrika halisi anaamini kugawana kile kidogo kilichopo. Ndio maana kikwetu chakula ni vizuri kiliwe sehemu ya wazi ili hata mpita njia apite ale na baadae aendelee na safari yake.
 
haya ni mambo ya kuelezana na kukubaliana kabla ya ndoa sio baada ya ndoa ndo unamletea mwenzio timu ya mpira,hii ni kutafutana ubaya!:A S angry:
 
Kilio cha uchungu sasa kinahitaji definition mpya! Yaani wahamie watu tu home kwako ulie kwa uchungu? Ukifiwa na mume ama mtoto?
Afu natalia yaani nikisoma title tu huwa najua thread umeanzisha wewe. You have very selfish solutions to everything!
selfish kweli hata like given=0
 
Ninezaliwa muhimbili miaka 35 iliyopita .wazazi wangu wawili wote walikuwa na masters degrees.my parents are wealth na nimeolewa na mwanaume wealth sina shida hata kidogo .

Huyu ndo Natalia....ukiweka majibu yake moyoni mwako... Lazima umeze panadol
 
Last edited by a moderator:
user-online.png
Natalia

Yesterday 22:56
#1
JF Senior Expert Member Array


Join Date : 3rd July 2011
Posts : 1,719
Rep Power : 0
Likes Received364
Likes Given0


Huyo ni mchoyo asilia na mbinafsi angalia toka amejiunga amepata likes364 yeye hajawi toa hata moja, atasingizia anatumia simu.
 
Natalia asikukere wangu, utajiumiza mwenyewe, kichwa chake chamtosha mwenyewe. mzima ww?

Unajua sometime mtu unajaribu kutomjali lakini unakutana na comments zake za ajabu unajikuta unakereka, maana unajiuliza hivi huyu mtu ambaye ni Mtanzania anaishi ulimwengu gani?

Ngoja niachane na Natalia. Mie mzima best, sijui wewe.
 
Ninezaliwa muhimbili miaka 35 iliyopita .wazazi wangu wawili wote walikuwa na masters degrees.my parents are wealth na nimeolewa na mwanaume wealth sina shida hata kidogo .

"My parents are wealth"...

Duh!

Na hapo ndo wazazi wote wamezaa wakiwa na masters degree, wangezaa na cheti cha darasa la saba?
 
Back
Top Bottom