Kuepusha stress za ndoa, do not marry a first born... Responsibility kibao!

Ndio maana sijaolewa na mwaafrica hayo maadili siyawezi

Ila natalia huyo rafik ako nae anapenda makuu??nyumba ya mil mbili mikochen?au?na analipiwa na wazazi?huoni na yy mpumbavu?kashaolewa bado tu analipiwa na wazazi?then mwache akome afuge ndugu wa mume ebo,au ndio ndoa za siku hizi dar Wasichana wanalzimisha wanaume halafu wakiingia ndani ndo anaanza kuona mapungufu..sidhani kama hiyo ndoa ita last kama hata mwezi haujafika wazazi wa mke washamuuliza bint yao kama ameoa au ameolewa??hapo kuna tatzo..hwakuyajadili before???/Nahis shogako alilazimisha nkuolewa,alitakiwa amjue mumewe na familia yake kabla na hali yake kiuchumiii ebo ..ushaur vwatafute nyumba za bei nafuu na nzur aache mashauzi ya kuvaa pete,alifikir ndoa ni kuvaa pete eeeh??atajuuuuta na bado
 
unajua tusijisahau sisi ni waafrika,kama wazazi au mrezi wako nae angekuwa na mawazo kama,tusingefikia hapa turipo,tukumbuke tulikotoka,tujiyahidi kutoa msaada pale unapohitijika hata kama ni kidogo.
 
Kwani mama mkwe na ndugu wanakufanyaje mwanamke ulie au huione ndoa yako chungu!? Ukiona mwanamke yupo kama rafiki yako hujue ana matatizo ya akili, hapendi ndugu. Kwani yeye alipoolewa hakujua kuna ndugu wa pande zote mbili? Hakujua familia ya mumewe haina uwezo?, hakujua mumewe anategemewa?. Familia za "treni" kwa Afrika haziepukiki mama. Angekuja mamake mzazi au wadogo zake huyo mwanamke unadhani angekulalamikia!?
 
Mmezoea ndoa Za mateso .Africa ndoa ni mateso na uvumilivu.Najiona nina bahati sana nina mume ananipenda na ananiweka no moja .Ndio maana nimeolewa na mzungu mateso na mapenzi siwezi .sio Siri uvumilivu wa ndoa Za kiafrika siwezi kabisa ningekufa na stroke au depression.kila mtu ana choice yake ila siwezi ubumilivu kabisaaaaaa.wanangu wanajua ata kelele sipendi .I like clea n neat organized house .sipendi vurugu wala wageni wasio na Faida.Ndio maana sijaolewa na mwafrika maana ningeshaachika kitambo.I like happiness and peace all the time na mume wangu anajua hayo .Ugomvi sipendi kabisa nipo tayari nivunge ndoa.my health is very important kwa wanangu stress Za ndugu wa mume hazinihusu .Kila mtu Ana choice yake na akili yake .Nikiamka asubuhi nawaza wanangu sina Muda na watoto wa watu .100 percent wanangu wanapata wanachotaka hapa duniani .

No wonder ulimtega sana mzungu wa watu ilimradi tu na wewe uolewe na mzungu, cjui mayb it waz ur childhood dream that u v been craving to make it come true!
*#Team MaNgE KiMaMbi*#

Umeolewa na mzungu ni hivyo imehappen tu lakin cyo kwa sababu ndoa za waafrica ni living hell, kuna African couples kibao tu zinaishi heaven on earth kwenye ndoa zao na zipo millions wazungu couples zinaishi hell on earth kwenye ndoa zao, so don't be conclusive kuolewa na mzungu kusikufanye udiss vya kwenu na kutuona African Men ovyo, inategemea 'ntu na ntu' regardless of their skin color!
 
kiko kama vitambaa vya zamani vilikuwa tunaviita 'japan' usipopiga pasi gauni unajikuta limekuwa ka-blauzi kadogo, vilikuwa vinaruka na kumkataa mvaaji kabisa
Hahahaaaa, ndio naiona hii, sijapita humu siku chache hizi nilikuwa busy na 'run my married'
 
Back
Top Bottom